Escolar Documentos
Profissional Documentos
Cultura Documentos
UTANGULIZI.
Kazi hii ilifanyika siku ya tarehe 08/05/2012 katika kitongoji cha mabatini A kijiji cha Tairo
Kata ya Guta Tarafa ya Serengeti Wilaya ya Bunda kwa njia ya mahojiano na ujazaji wa fomu
hojaji.Hii ilikuwa ni baada ya kupokea fomu hojaji ya Bw. Jacob Oyange Robert kutoka katika
ofisi ya uhamiaji mkoa akiwa amemjaza Bibi Winfrida kama mama yake mzazi na Bw. Zadok
kama ndugu wa kuzaliwa pamoja na mama(mjomba).
Mahojiano yalifanywa kwa Bw. Zadok peke yake baada ya kupata taarifa kuwa Bibi. Winfrida
haishi kijijini hapo.
Mambo yaliyobainika ni kama ifuatavyo:
NOTE: Taarifa hizi zimetolewa na Bw. Zadok Awino kwani mtajwa ni mdogo wake wa
kuzaliwa nae.
MAPENDEKEZO.
I.
II.
Nawasilisha
MOSES J. MUTASH-MKAGUZI