S.L.P. 512 DAR ES SALAAM YAH: MALIPO YA HATI YA UKAAZI (RESIDENCE PERMIT CLASS C)FR ZACHARIAS A. POULOSE Mtajwa hapo juu ni Padre wa Kanisa Katoliki ambaye anatarajia kufanya kazi katika jimbo la Bunda baada ya kupata kibali cha kuishi nchini. Ombi lake liko makao makuu ya Uhamiaji na limeshaidhinishwa . Jimbo Katoliki la Bunda limelipia ombi hilo kwenye risiti (ERV) namba 4532417 na cash deposit slip namba 798232 zote za tarehe 5/5/2015 hapa Ofisi ya Uhamiaji Bunda. Pamoja na barua hii naambatanisha hati tajwa kwa hatua zako muhimu. Nawasilisha DCIS E. Mushongi Afisa Uhamiaji Wilaya BUNDA Nakala kwa