Escolar Documentos
Profissional Documentos
Cultura Documentos
ISSN 0856 - 3861 Na. 987 MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
harakati za Al Shabaab wameachiwa huru. Wameachiwa baada ya kugundulika kuwa, hawana wanachojua Inaendelea Uk. 3
ADHANA iliyopigwa saa nne usiku imemnusuru Muislamu kulala rumande. Adhana hiyo ilipigwa kama namna nzuuri iliyoonekana na Waislamu ya kupinga uonevu na dhulma aliyokuwa afanyiwe mwenzao na polisi. Polisi hao walimkamata Ustadh Mwindadi Abuhi
wakitaka asipige na kuuza kanda zinazozungumzia hatari ya mfumokristo chini. Kanda hizo-CD, ni zile zilizorekodiwa makongamano yaliyofanyika nchi nzima kuzungumzia hatari ya mfumo huo ambayo yalihitimishwa na kongamano la Diamond 2. Katika kongamano hilo,
Inaendelea Uk. 11
MAREHEMU Dkt. Kilima akiwa katika mafunzo nchini Ujerumani wakati wa uhai wake. Habari Uk. 8.
JOTO la kudai nchi na mfumo mpya wa muungano linazidi kupanda Zanzibar. Kinachobainika hivi sasa ni kuwa, wakati katika Tanzania (Bara) kilio ni kutaka katiba mpya, kwa Zanzibar zoezi hilo linaonekana halina maana kama halitarejesha heshma ya visiwa hivyo ya kuwa nchi na Dola kamili. Kwa kuisoma na kuielewa hali hiyo, Makamu wa Kwanza wa serikali ya Zanzibar, Maalim Seif Shari Hamad, ametoa wito kwa Wazanzibari kuitumia vyema fursa ya
Inaendelea Uk. 11
2 AN-NUUR
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110148, 0755 260 087, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
TAHARIRI/MAONI
MAONI YETU
Huu ni mwaka mpya wa Kiislamu, mwaka wa 1433 ikiwa na maana kuwa imepita miaka 1433 toka Mtume Muhammad (s.a.w) ahamie Madina kutoka Makkah. Mara nyingi watu hufanya sherehe zinazoitwa za kuzaliwa, yaani birth day. Aidha, kumekuwa kukifanyika sherehe za mwaka za kumaliza mwaka na kuanza mwaka mpya. Hii imekuwa kawaida katika baadhi ya familia, lakini zaidi katika maosi ya kiserikali, taasisi za watu binafsi na mashirika ya umma. Haja ya maoni haya sio kuonesha kufaa au kutokufaa kwa sherehe kama hizi. Tunachotaka kufanya hapa ni kuonesha n a m n a b o r a z a i d i ya kusherehekea kuingia mwaka mpya. Iwe ni katika masuala binafsi, ya kifamilia na ya kiofisi, tunachoamini ni kuwa kuna malengo ambayo huwa watu hujiwekea katika kujiletea maendeleo. Kwa hiyo, kila unapomalizika mwaka, namna bora ya kuaga mwaka unaomalizika na kukaribisha mwaka mpya, ni kutizama vipi mtu alitenda, wapi alifanikiwa na wapi alikwama na kwa nini. Akitizama hivi, basi aweke malengo mapya akiwa makini zaidi na kuwa na mikakati mizuri zaidi ya kiutekelezaji. Ni kwa mtizamo huo, inapokuja katika masuala ya kidini, mtu anapaswa k u f a h a m u k u wa k i l a sekunde, kila dakika, kila saa, kila siku, mwezi na mwaka unaomalizika, uhai nao unakatika. Kwa hiyo anachotakiwa kufanya mwanadamu, ni kujitathmini ni kwa kiwango gani ametekeleza wajibu wake kwa Mola wake katika mwaka unaomalizika. Uzuri ni kuwa Mwenyezi Mungu amejaaliya kila nafsi kujua jambo lililo la
sawa na lisilo. La halali na haramu, baya na zuri. Ndio maana hata mtu aliyezoeya kusema uwongo, ukimwambia mwongo hukasirika kwa sababu hataki kunasibishwa na jambo baya. Kwa maana hiyo, kila nas inatakiwa itathmini kwa mwaka huu unaomalizika, imefanya yapi mazuri na ya kiibada na imefanya yapi mabaya, maovu na ya haramu. Akifanya hivyo, ajute na kuomba msamaha kwa makosa aliyofanya na kuchukua ahadi ya kutokurudia tena. Lakini kwa upande mwingine, achukue pia ahadi na kuweka mipango na m a l e n g o ya k u f a n ya mazuri zaidi ya kiibada na kujiletea maendeleo binafsi, familia na jamii kwa mwaka unaofuata. Waislamu tuna matatizo mengi yakiwemo yale ya l i y o s a b a b i s h wa n a mfumokristo, huu ni wakati wa kufanya tathmini tumefanya nini katika mwaka uliopita kuondoa mfumo huu wa kidhalimu na mwaka huu unaoingia tutafanya nini ili hatimaye mfumo huu ungoke. Tunayo mengi yaliyo katika uwezo wetu katika kujiletea maendeleo. Moja ni taasisi zetu za elimu tulizo anzisha. Ni lazima tufanye tathmini tunavyokwenda i l i k u z i f a n ya z i w e z e kuwa bora kitaaluma na maadili. Ni wakati pia wa kutizama yale maeneo ambayo bado hatujaingia vema. Hii ni pamoja na afya na vyombo vya habari. Kuna haja Waislamu kutumia masiku haya ya kusherehekea mwaka huu mpya wa Muharram 1433 kwa kuangalia namna gani tutaweza kushiriki vyema na kwa namna bora kabisa katika kutoa huduma za afya katika nchi yetu na pia kuwa na vyombo vya habari makini na madhubuti.
BI Hillary Clinton, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani wapi? Nini historia ya kuibuka kwao na nini malengo yao? Je, ni magaidi wenye mtandao wa k i - A l Q a i d a h k a m a tunavyoambiwa au ukweli hasa ni upi? Labda nianze kwa kusema kuwa unaoweza kuitwa usamaria mwema wa Marekani haukuanzia Somalia wala Iraq, Afghanistan na Libya. Vitabu vya historia vimerekodi kuwa miaka ya 1950 mpaka m a p e m a 1 9 7 0 s , i l i k u wa zama za harakati kubwa za makundi ya kizalendo na kamii katika nchi za Latin Amerika kupigania haki zao walizoona zinafisidiwa na watawala wao. Hii ilikuwa ni miaka ambayo ilishuhudia makundi yenye silaha mfano wale Campesinos wakichukua silaha katika nchi za El Salvador, Guatemala na Nicaragua, kupambana na watawala. Kwa upande mwingine, serikali za nchi hizo zikitumia nguvu kubwa za kijeshi walizowezeshwa na serikali ya Marekani kupitia misaada ya kijeshi, waliangamiza mamia kwa maelfu ya wakulima waliokuwa wakipinga mashamba yao yenye rutuba kunyakuliwa na makampuni ya kibeberu. Makampuni hayo yakishirikiana na watu wa wachache, waliokuja kuwa matajiri wakubwa, walimiliki takriban ardhi yote ya kulima na kuwaacha wananchi walio wengi masikini wa kutupwa. N a wa l e wa l i o b a h a t i k a kuajiriwa katika mashamba hayo, wakawa wakipewa ujira haba usiokidhi mahitaji muhimu ya maisha. Mfano katika miaka ya 1950s, uchumi wa Guatemala ulitegemea sana kilimo na hasa kilimo cha ndizi. Hata hivyo, ardhi kubwa iliyofaa kwa kilimo hicho ilikamatwa na makampuni ya kibeberu ikiwemo United Fruit Company (UFC) ya Marekani. Waandishi Schelsinger, Stephen na Stephen Kinzer, katika kitabu chao Bitter Fruit: The Untold Story of the American, wanasema kuwa kampuni hiyo ya Kimarekani ilifanya uharamia mkubwa ikiwa ni pamoja na kupora na kunyanganya ardhi, kutoa rushwa kwa viongozi, na uharamia wa namna mbali mbali, ili kuiwezesha kudhibiti mashamba ya ndizi na kujizolea faida kubwa. Wananchi wa Guatemala hawakuweza kuvumilia hali hii. Zikaibuka harakati kutaka mabadiliko. Rais Jacobo rbenz Guzmn aliposhika m a d a r a k a m wa k a 1 9 5 1 hakufurahishwa na hali ile ya wananchi kufukarishwa na kutaabishwa kwa faida ya makampuni ya kibeberu. Akaweka mikakati ya kuwapa wananchi ardhi na kuondoa udhibiti wa uchumi wa nchi mikononi mwa wageni. Aliona na kuchukizwa n a u n yo n ya j i u l i o k u wa ukifanywa na kampuni ya UFCO akiwa na lengo la kuipa Inaendelea Uk. 12
HABARI
AN-NUUR
kinachotajwa kwa utesaji, Kigoso, Kirumba akitakiwa kueleza uhusiano wake na Al Shabaab. Kijana huyo Hassan Jumanne Hassan ndiye alionekana kama mtuhumiwa mkuu kwa sababu ndiye alimpokea kijana kutoka Uganda ambaye alidai kuwa anatokea Somalia akiwa mtaalamu wa masuala ya keshi. Hassan ni Khatib katika msikiti wa Buzuruga, Nyakato na mara kadhaa huwa mawaidha yake hugusia masuala ya Al Shabaab. Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana jana kutoka Mwanza, polisi wa m e wa a c h i a v i j a n a hao baada ya kugundua hawana uhusiano wowote, wala hawana wanalojua juu ya Al Shabaab zaidi ya taarifa wanazopata juu ya suala hilo kupitia vyombo vya habari. Imeelezwa kuwa upo wasiwasi mkubwa kuwa yule Mganda aliyedai kuwa aliharibikiwa akitokea Somalia, huenda ni Al Shabaab wa kupandikiza aliyetumiwa kuwanasa vana wa Kiislamu. Mazingira ya kufika kijana yule na alivyojitambulisha kuwa anatoka Somalia akiwa mtaalamu wa kijeshi na alivyotoweka, kuna kila sababu ya kuamini kuwa kulikuwa na mchezo, kulikuwa na usanii wa k u w a n a s a Wa i s l a m u na kuwapachika u-Al Shabaab, amesema mzee mmoja wa jini Mwanza. Akijibu ni kwa nini ilionekana mtego uletwe katika msikiti wa Buzuruga a l i s e m a k u wa , k i j a n a Hassan aliyekamatwa
IGP Said Mwema k u f a n ya k i t e n d o C h a kigaidi kulipua hekalu la Mayahudi New York pamoja na kulipua ndege ya keshi kwa kombora. Kwa mujibu wa makala hiyo ya Guardian iliyoandikwa na Paul Harris, mtego huu wa kuwanasa watu katika ugaidi wa k u p a n g a u n a wa l e n g a zaidi Waislamu, ila wakati mwingine huingia na akina Willium, Wamarekani Weusi. Anasema Paul Harris katika habari yake katika Guardian aliyoipa jina Fake terror plots, paid informants: the tactics of FBI entrapment questioned kuwa kumekuwa na m c h e z o wa k u wa t e g a Waislamu na kuwaingiza katika mtego wa kufanya au kutaka kufanya vitendo v ya k i g a i d i n a k i s h a kuwakamata. Katika mchezo huo, makachero hupewa fedha na kutumwa misikini na mitaani ambapo hujifanya kuwa wachamungu na wanaharakati. Wa k i s h a k u b a l i k a , huanza kuwatega baadhi ya watu kwa kupenyeza kra za jihad na kulipiza kisasi kwa makari. Wakishafanikiwa kunasa shabaha, makachero hao huwa wafadhili wa mpango kwa fedha na silaha. Usanii ukikamilika kwa shambulio kufanyika au kiasi tu cha kuwaunganisha na mtu anayedaiwa kuwa Al Shabaab au gaidi kama ilivyokuwa kwa yule mtaalamu wa keshi wa Uganda anayetokea Somalia na kutua Masjid Buzuruga, Nyakato, polisi huingia na kuanza k u k a m a t a wa l i o k u wa naye. Ikifikia hapo kachero ama hutoweka au huwa shahidi na hata kuhukumiwa pamoja na vana walionaswa, lakini baadae huachiwa. Tuliwahi kutahadharisha juu ya suala hili la Al Shabaab kuwa maadhali Israel iliyofuzu na yenye uzoefu wa kutosha katika masuala ya ufaidi wa kupanga, imealikwa kusaidia kupambana na Al Shabaab, basi watu wawe makini. Tukasema kuwa yaweza kufanyika mashambulizi ya kutisha kama ilivyowahi kufanyika katika Operation Cynide, kashfa ya Lavon (Lavon Aair in 1954) na Operation Trojan. L a k i n i k wa u p a n d e mwingine ni huu mchezo wa entrapment ambapo m a k a c h e r o h u t u m wa misikitini na kwa Waislamu wakifanya watu wema na wachamungu kisha huwatega na kuwakamatisha kwa tuhuma za ugaidi.
4 AN-NUUR
MAKALA
RAIS Barack Obama wa Marekani (kushoto). Rais wa Kenya Mwai Kibaki(kulia) yake na usalama katika mipaka yake na kwamba inaheshimu uamuzi wa Kenya kuingia kijeshi Somalia. Kauli hii ya Balozi Sco inaonesha wazi kuwa Marekani ipo pamoja na Kenya katika vita yake na Al Shabaab, ila ambalo si la kweli ni ile kauli kwamba nia ya Marekani ni kuona Al Shabaab wanatokomezwa n a m i p a k a ya K e n ya kubaki shwari na salama. Hili si la kweli. Hii sio nia na agenda ya Marekani. Marekani haina agenda ya kuleta amani Somalia, Uganda wala Kenya. Awali katika zile zama za vita baridi, Washington ilikuwa ikimsaidia Mohamed Siad Barre kwa silaha na fedha ili asaidie kuzuiya ushawishi wa Urusi katika eneo hilo. Siad Barre akapinduliwa mwaka 1991 na Mohamed Farrah Aidid. Washington ikavamia Somalia mwaka 1992, lakini Clinton akalazimika kuondoka baada ya kipigo cha aibu na fedheha mwaka 1994. Kutokea hapo Washington ikabadili mbinu. Sasa inatumia nchi nyingine kama inavyofanya Kenya hivi sasa kupigana kwa niaba yake (proxy war). Awali ilitumia wababe wa kivita ndani ya Somalia kupigana na Aidid, kisha baadae ikatumia proxy forces kutoka Ethiopia na sasa wale wanajeshi wa Uganda na Burundi wa n a o d a i wa k u l i n d a serikali ya mpito (TFG). Mahakama za KiislamIslamic Courts Union (ICU), zilianza kama mfumo wa kisheria na mahakama wa kusimamia sheria, lakini baadae zikashika mambo ya uongozi na utawala kuziba ombwe la serikali lililokuwepo. Mara moja ikaweza kurejesha amani Somalia na kupata kuungwa mkono na zaidi ya asilimia 90 ya Wasomali walio ndani na nje. Kuona hali hiyo, Washington ikawaelekea magaidi na wababe wa kivita. Ikawa inatoa misaada ya keshi na fedha kwa wababe wa kivita kuvuruga amani iliyorejea Somalia. Ilipoona wababe wa kivita waliojipa jina la Alliance for the Restoration of Peace and Counter-terrorism (ARPCT), wameshindwa kuwakabili UIC, ikaitumia Ethiopia kuisambaratisha Somalia njema na tulivu iliyokuwa ikichipua. Kuangushwa kwa serikali ya ICU, ndio kulikopelekea kuibuka kwa Al-Shabaab waliojikusanya kama kikosi cha harakati za kupinga uvamizi wa Ethiopia na majeshi mengine ya kigeni. Baada ya kukaa kwa muda, jeshi la Ethiopia likaondoka Mogadishu. Jukumu la kulinda serikali ya mpito, TFG, iliyoundwa uhamishoni bila ridhaa ya wananchi wa S o m a l i a i k a l e t wa kukaa Ikulu Mogadishu na jukumu la kuilinda ikapewa AMISOM, (kikosi cha jeshi chini ya Umoja wa Afrika kinachoungwa mkono na kinachosaidiwa na Marekani pamoja na Umoja wa Mataifa). Kuingia kwa Kenya kunafanya nchi zinazopambana na Al Shabaab sasa kuwa nne, kwa maana ya Uganda, Burundi, Ethiopia na sasa Kenya. Pamoja na ngonjera na porojo nyingi zitakazopigwa kuhusu nia ya Kenya kuingia vitani Somalia, lakini ukweli unabaki kuwa inachofanya K e n ya n i s e h e m u ya m p a n g o m k u b wa wa Marekani na nchi za Ulaya wa kulinda masilahi yao ya kibeberu. Sisi tunajikuta tu tukitumika bila kujua. Kama anavyosema mwandishi Eddie Haywood katika makala yake, US-backed Kenyan forces invade Somalia: K e n ya s i n c u r s i o n into Somalia is part of a broader campaign by the US and other Western powers to reassert their imperialist interests on the
continent and counter the rising influence of their global rivals, particularly C h i n a . T h e l a t t e r s deepening integration into the global economy has seen its emergence as a major economic power in Africa, heightening concerns in Washington that China could threaten its hegemony on the continent. Katika ufafanuzi wake Haywood anasema kuwa mwaka 2008, Pentagon ilianzisha Kamandi ya Keshi ya Marekani katika Afrika, yaani AFRICOM command. Akasema kuwa hii ni kamandi ya keshi inayoweka mazingira ye n ye k u we z e s h a n a k u f a n ya we p e s i k wa Marekani kujitanua kijeshi katika Afrika. K i l i c h o f a n y i k a L i b ya hivi karibuni, imetajwa kuwa ni katika harakati zilizowezeshwa na Africom. Kwamba kamandi h i yo i p o k u i we z e s h a Marekani kuingia mahali popote kijeshi katika Afrika, lakini na wakati huo huo kuzifanya nchi za Kiafrika, kinadharia ziwe zinajitawala, lakini kwa mtandao na utando wa kijeshi utakao kuwa umewazinga, wawe wanapokea amri kutoka Washington. K i l i c h o t o k e a L i b ya ambapo ndege za Marekani na zile za NATO zilifaya mashambulizi ya kihalifu n a k u u wa m a e l f u ya watu pamoja na kufanya uharibifu mkubwa wa miji na miundo mbinu yake, ni kielelezo cha siasa za kibeberu za nchi hizo zinazotoa salamu mbaya kwamba kuingia kwa Africom, Afrika isitarajie kuwa salama tena. Kwamba kila nchi itatakiwa kutumikia masilahi ya mabeberu wakiongozwa na Washington. Ikisita inapata kilimchotoa kanga manyoya. Inashughulikiwa kama alivyopigwa na kuuliwa Gaddafi. Sasa hizi si salamu njema za kuzikenulia meno, kuzishabikia na kuzililia k a m a i n a v yo o n e k a n a tukifanya katika huu mchezo wa Al Shabaab. Kinyanganyiro cha kupigania udhibiti na u p o r a j i wa m a l i a s i l i kinachofanywa na mabeberu, ndio kiini na sababu kuu ya mapigano na mchafukoge uliopo Inaendelea Uk. 6
HABARI ZA KIMATAIFA/TANGAZO
AN-NUUR
TANZANIA na Uganda zimedaiwa kwamba zinapinga ombi la Sudan kupatiwa uanachama katika Jumuiya ya Afrika Afrika. Msimamo huo wa Kampala na Dar es Salaam unabainishwa huku wakuu wa J u m u i ya ya A f r i k a Mashariki wakitarajiwa kukutana katika kikao chao Novemba 30 huko Bujumbura, Burundi na moja ya ajenda kuu ikiwa ni kujadili ombi la Sudan Kusini na Kaskazini kupatiwa uanachama katika jumuiya hiyo. Waziri wa Uganda katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, Eriya Kategaya, amesema kuwa nchi yake pamoja na
RAIS wa zamani wa Marekani George W. Bush that the US, under the na serikali za Marekani na leadership of Bush, fabricated Uingereza kuonesha kuwa documents to make it appear Saddam Hussein alikuwa that Iraq possessed weapons na WMDs, jambo ambalo of mass destruction. However, Bush na Blair walua kuwa the world later learned that ni uwongo. the former Iraqi regime did Taarifa ya Mahakama not possess WMDs and that hiyo imetaka uhalifu wa the US and British leaders Bush na Blair usajiliwe knew this all along. k a t i k a M a h a k a m a ya Kwamba katika jumla Kimataifa ya Uhalifu wa ya ushahidi uliotizamwa Kivita (ICC) na hatua ni pamoja na taarifa za zichukuliwe vinginevyo, k u g h u s h i ( f a b r i c a t e d Mahakama hiyo itakuwa documents) zilizotolewa haina maana yoyote.
SHIRIKA la Keshi la Nchi za Magharibi (NATO), limesema limesikitishwa sana na vitisho vilivyotolewa na Urusi vya kusambaza makombora yake katika mpaka wa nchi hiyo na nchi za Umoja wa Ulaya kama jibu la mipango ya Marekani ya kujenga ngao dhidi ya makombora huko mashariki mwa Ulaya. Katibu Mkuu wa NATO, Anders Fogh Rasmussen, amesema vitisho vya Urusi vya kuweka makombora katika mipaka yake na nchi za Ulaya vinakumbusha zama zilizopita na haviendani na uhusiano wa kimkakati wa NATO na Urusi. Rais Dmitry Medvedev wa Urusi hivi karibuni alibainisha kwamba Moscow
mpya na NATO
Taasisi ya The Islamic Foundation ya Morogoro, inawatangazia wananchi wote kuwa tarehe 18/12/2011 Jumapili itafanya kongamano kubwa la kuchangia TV Imaaan. Mahala: Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa 12 jioni. Wahadhiri wote watakuwepo. Pia kongamano hilo litarushwa "LIVE" kupitia Radio Imaan FM ya Morogoro.
Amesema, wamekataa ombi hilo baada ya kuzingatia mambo kadhaa kama vile demokrasia, jinsi serikali ya Khatoum inavyoamiliana na wanawake pamoja na mambo mengine.
Uamuzi wa mwisho wa kukataliwa au kukubaliwa uanachama Sudan Kusini na Kaskazini ulitarajiwa kutolewa katika kikao cha wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki cha Novemba 30 huko Bujumbura.
Nyote mnakaribishwa
6 AN-NUUR
MAKALA
JENERALI Pervez Musharraf kuwa serikali ya Tanzania, wanajeshi wapatao 28 kwa namna yake nayo wa Pakistan waliuliwa ipo vitani na Al Shabaab. na majeshi ya Marekani Kenya wao tayari wapo n a w e n g i n e k a d h a a vitani kijeshi ndani ya kujeruhiwa. Miongoni Somalia. Kwa mwendo mwa waliouliwa ni pamoja huu, sui Tanzania nayo na maasa wawili wa jeshi itaishia wapi. mmoja akiwa na cheo Inaendelea Uk. 7 Kiasi wiki moja iliyopita
Somalia. Hakuna agenda ya amani wala ya kuitakia mema Kenya kama alivyodai balozi Scott Gration. S o m a l i a i k i wa n a pwani yenye urefu wa takribani maili 1,000 katika bahari ya Hindi, ikiwa pia na ukuruba na Ghuba ya Aden na Bahari Nyekundu, eneo muhimu na kistratejia kwa uchumi wa kidunia kutokana na kuwa ni njia kuu ya meli za mafuta kutoka Mashariki ya kati. Moja ya malengo ya Marekani ni kudhibiti njia hii kuu ya meli za mafuta kwenda sokoni Ulaya. Ndio maana pamoja na sasa kuikamata Somalia, tayari ina kituo kikubwa cha keshi Djibout, mahali ambapo kuna mlango wa kuunganisha Bahari ya Hindi na ile Red Sea. Lakini kuna taarifa pia kuwa katika masiku ya
hivi karibuni Uganda imegundua mafuta halikadhalika Sudan ya Kusini. Kutokana na kupatikana mafuta hayo, tayari kuna mipango ya kujenga bomba la mafuta la kusafirishia bidhaa hiyo muh i m u k u t o k a Kampala kwenda bandari ya Mombasa. Bomba la kutoka Sudan ya Kusini nalo litaingia Uganda na kuungana na lile la K a m p a l a n a k u f a n ya bomba moja kuelekea Mombasa. Na hii ndio sababu Marekani imeanza kuikamata Kampala kwa kutuma askari wake kwa kisingizio cha kusaidia kupambana na John Kony. I n a s e m e k a n a k u wa kupelekwa kikosi hicho ni kutokana na kiwewe cha Marekani baada ya kuona kuwa kampuni kubwa ya mafuta inayomilikiwa na serikali ya China, ni miongoni
mwa kampuni zilizo katika foleni zikisubiri kupewa kandarasi ya kuchimba mafuta Uganda. Marekani ina uhakika kwamba makampuni ya Kimarekani hayawezi kushindana na yale ya China katika tenda kwa s a b a b u wa k a t i C h i n a inakuja na ushirikiano wa kibiashara wa kufaidi wote, huku ikisaidia ujenzi wa miundo mbinu ya nchi, Marekani inakuja na mkakati wa uporaji na zawadi ya risasi na vikosi vya kutesa na kuuwa wananchi watakaopinga kunyonywa. Ndio rekodi iliyojengea Latin Amerika ilikoanzia kusaidia makundi ya waasi na yale ya kigaidi kulinda masilahi yake na hata kupindua s e r i k a l i z i l i z o we k wa kidemokrasia. Mchezo unaoendelea hivi sasa wa Al Shabaab, una manufaa kadhaa ya kistratejia kwa Marekani.
Kwanza ni kukaa watawala Somalia ambao watalinda masilahi yake ikiwa ni pamoja na kuhakikisha usalama wa bomba la kunyonya mafuta kutoka S u d a n ya K u s i n i n a Uganda. Pili, kuleta vurugu za kijeshi na kigaidi ili kuhalalisha uwepo wa jeshi la Marekani kwa kisingizio cha kusaidia kulinda amani na kupambana na magaidi. Tatu, kama ilivyo kuwa kwa Libya, kutafuta namna ya kuitimua China ambayo haina mpango wa kujitanua duniani kiuchumi kwa kupitia mtutu wa bunduki n a k u u wa wa t u k wa mabomu kutoka angani. Marekani ilipoanza kupiga Libya, China iliondoa watu wake waliokuwa wakijishughulisha na mafuta. Nne, kwa kuzidhoofisha nchi za eneo hili, kwa propaganda z a u g a idi , it ap e le k ea kuwepo kwa viongozi
vibaraka ambao muda wote watajiona kuwa usalama wao unatoka Wa s h i n g t o n . Ta n o , kutokana na ushirikiano wa keshi katika masuala ya usalama, watafunzwa polisi na askari jeshi ambao watakuwa wakipambana na wananchi na wazalendo watakaoibuka kupinga unyonyaji, ukaliaji wa kikoloni mamboleo wa mabeberu. Sita, Al Shabaab kama ilivyokuwa Taliban na Al Qaidah kwa Pakistan, itakuwa zimwi litakalotumiwa kuipa uhalali Marekani kujaza makachero na wanajeshi wake katika nchi zetu, lakini wakati huo huo ikipa uhuru na kibali cha kuingia katika nchi zetu na kuuwa itakapo, mradi tu idai kuwa ilikuwa ikipiga magaidi. Na hii itakuwa ikifanyika mara kwa mara ili kuweka hai kile kitisho cha ugaidi.
Inatoka Uk. 6
Makala
AN-NUUR
cha meja na mwingine kapteni. Askari hao waliuliwa baada ya kushambuliwa na ndege za kijeshi z a M a r e k a n i / N AT O ambazo kama kawaida yake ziliingia ndani ya ardhi ya Pakistan kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kusaka na kuwapiga Taliban wanaodaiwa kuwa ni magaidi. Kufuatia mauwaji hayo ambayo sio ya mara ya kwanza, serikali ya Pakistan imetoa kauli ikiitaka serikali ya Marekani kufunga mara moja kituo chake cha kijeshi kilicho ndani ya ardhi ya Pakistan, Shamsi Air Base, Baluchistan, ambacho ndicho hutumiwa kurushia ndege zisizo na rubani, drones, zinazouwa wananchi wa Pakistan na Afghanistan wasio na hatia kila uchao. Na kwamba nchi hiyo inatizama upya ushirikiano wake wa kijeshi na Marekani katika hii vita inayoitwa ya ugaidi. Vita ambayo kwa kujitia mshirika mtiifu kwa Marekani, Pakistan imejikuta ikiruhusu ardhi yake kuwa ngome na kambi za kijeshi za Marekani na NATO. Askari na makachero pamoja na ndege za kivita, huingia zitakavyo bila ya kuomba kibali kutoka serikali ya Pakistan na kufanya mashambulizi. Kupitia mashambulizi hayo, mamia kwa maelfu ya watu wasio na hatia w a m e u l i w a . Wa t o t o wakiwa shule, madrasa, waumini wakiwa misikitini, sokoni na hata kwenye harusi, wamekuwa wakishambuliwa na kuuliwa kisha hutolewa kauli kwamba ilidhaniwa kuwa ni magaidi. Pakistan ni nchi iliyokia kuwa na silaha za nyukilia ikipimana ubavu na India, lakini kwa kujiingiza katika mchezo huu wa Marekani, inadhooshwa kila uchao h u k u i k i f a n y wa n c h i isiyokalika kwa vitendo vya kigaidi ambapo watu huuliwa kila uchao kupitia mashambulizi ya ndege za drone na zile za kawaida za keshi.
ASKARI wa Kenya waliongia Somalia kupambana na Al Shabab. K wa b a h a t i m b a ya rekodi yetu imekuwa ile ya kukimbilia kudandia majahazi yanayozama wakati waliomo ndani wakihangaika kutaka kujinusuru. Historia, uzoefu na yaliyowakuta wengine, haitusaidii hata kidogo kusoma na kuchukua hadhari. Pa k i s t a n h i v i s a s a inatafuta namna ya kujinasua katika ushirika wake na Marekani, haiwezi. Lakini ukiangalia yanayoikuta hivi sasa mpaka raia na askari wake wanauliwa ovyo na nchi imekuwa haina usalama tena, ilianza kwa mchezo na usanii kama huu tunaofanya wa Al Shabaab. Ipo hivi: Marekani kwa visa vyake na malengo yake, ilitangaza kuwa watawala wa Afghanistan, Ta l i b a n , n i m a g a i d i , ikaamua kuwapiga. Lakini ikataka pia msaada wa Pakistan. Rais wa zamani wa nchi hiyo, Pervez Musharraf, akakubali kutumika kuwapiga jirani zake na kuruhusu ardhi yake kutumiwa na jeshi la Marekani. Lakini wakati vita ikiendelea Afghanistan, ikajengwa mazingira kama haya ya kuona kuwa Al Shabaab sio tatizo la Somalia, bali la Kenya na Tanzania. Kwa hiyo polisi na jeshi la Pakistan nalo likatakiwa kuwapiga Taliban ndani ya Pakistan na jeshi la Marekani likajipa uhuru kuingia Pakistan kushambulia maeneo ya l i yo d a i wa k u wa n i vituo vya mafunzo vya magaidi. Zipo taarifa nyingi zilizochapishwa na watati na waandishi mbalimbali zikionesha kuwa makachero wa Marekani pamoja na vibaraka wa Kipakistan, walikuwa wa k i t u m i wa k u l i p u a maeneo mbalimbali ili kuonesha kuwa kitisho cha magaidi wa Taliban na Al Qaida ni cha kweli. Kupitia mchezo huo, wananchi wengi wameuliwa na kutiwa vilema. Na kupitia mchezo huo, Marekani ilipata sababu kwanza ya kuishinikiza serikali ya Pakistan kuongeza nguvu katika kuuwa raia wake wenyewe ikidaiwa ni kupambana na magaidi. Kwa upande wa pili, Marekani ilipata sababu ya kujiimarisha zaidi keshi na kikachero ndani ya Pakistan. Nchi hiyo hivi sasa ni kama imezingwa na chatu, uwezo wake wa kinyukilia haukuisaidia chochote. Inabomolewa kila uchao. Chanzo ni kuingizwa kinga kwenye vita kichaa dhidi ya dui wa kutengenezwa kwa masilahi ya beberu, Marekani. Ukitaka kujua kuwa ni adui wa kubuni, soma habari za kusilimu mwandishi Yvonne Ridley. Huyu ni mwandishi mwanamke aliyekwenda kuandika habari za Taliban akiwa na picha kichwani ya kukutana na watu magaidi katili kama walivyokuwa wakitangazwa na vyombo vya habari vya Magharibi. Kwa bahati mbaya au nzuri kwa upande mwingine, Yvonne alikamatwa na Taliban. Kutokana na wema aliofanyiwa katika muda alioshikiliwa kabla ya kuachiwa, ilimpelekea kutambua kuwa Taliban waliokuwa wakiitwa magaidi, sio waliokuwa wakitawala A f g h a n i s t a n . Ta l i b a n magaidi walikuwa zimwi la kuundwa na wanasiasa wa Marekani pamoja na vyombo vyao vya habari. Al ip ore jea Uin g ereza Yvonne aliamua kusoma Quran na Uislamu kwa ujumla ili ajue mafundisho yaliyowafanya Wataliban kuwa watu wema, rahimu na wakarimu kiasi kile. Aliishia kusilimu. L a k i n i k a m a tunavyoimbishwa Al Shabaab hivi leo, M u s h a r r a f a l i t a k i wa kushiriki kuwapiga Taliban na na ndugu zake wa Afghanistan kuwatangaza kuwa ni magaidi kama Kenya inavotumiwa hivi leo kuwapiga na kuwauwa ndugu zao na jirani zao Wasomali. Kinachoikuta Pa k i s t a n h i v i l e o , n i matokeo ya mchezo kama huu inaofanya Kenya. Wasomali wamekaa wakivurugana na kuuwana
8 AN-NUUR
Makala
Dr. Hemed Kilima (kushoto) akiwa mafunzoni nchini Marekani huzuni kubwa iliyotawala nyuso na mioyo ya wafanyakazi, wauguzi, madakitari na wagonjwa. Huzuni na hata kutawala vilio, ni hali ya kawaida kabisa ndani ya familia panapotokea msiba. L a k i n i h a l i i l i yo t o k e a katika hospitali ya Mbeya na kusambaa hadi Kyela, Sumbawanga, Mbozi na vijiji mbalimbali katika mkoa wa Mbeya, haikuwa ya kawaida. A s u b u h i y a s i k u ile hadi saa 4 alikuwa hospitalini akiwatizama na kuwakagua wagonjwa wake aliowafanyia upasuaji jana yakeilikuwa kawaida yake kuwa karibu sana kwa huruma na kujali wagonjwa wakeilikuwa hali ya huzuni sana na kuangua vilio wagonjwa wale walipoambiwa jioni k w a m b a D r. H e m e d Kilima amepata ajali na amefariki. Hayo yalikuwa maelezo ya mmoja wa wafanyakazi wa hospitali hiyo alipoongea na mwandishi alipotaka kujua ni kwa nini kifo cha Dr. Kilima kiliwagusa sana watu wa Mbeya. Maelezo zaidi yanaonesha kuwa Dr. Hemed Kilima ilikuwa aondoke Mbeya pamoja na wenzake wengine kwenda Dar es Salaam Novemba 9. Hata hivyo, Dr. Kilima akasema kuwa yeye asingeweza kuondoka siku hiyo kwa sababu alikuwa na mgonjwa ambaye aliona ni muhimu amfanyie upasuaji kwanza. Alhamdulillah, ilikuwa operesheni ngumu sana, namshukuru Mungu nimefaulu, hii ni kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, maana siwezi hata kusema kwamba nilichokifanya nilikisomea. A n aeleza mmoja wa n d u g u wa D r. H e m e d
akimnukuu alivyoeleza aliporejea nyumbani baada ya kumfanyia upasuaji mgonjwa huyo. Akifafanua alisema kuwa Dr. Kilima alieleza kuwa mgonjwa huyo alikuwa na tatizo jichoni ambapo pamoja na kuuma lilikuwa l i k i t o k a k wa n j e k a n a kwamba linataka kungoka uchunguzi ukaonesha kuwa kulikuwa na uvimbe kwa ndani ambao ndio ulikuwa ukisukuma jicho litoke nje. Huyo ndiye mgonjwa aliyesema hawezi kusari kabla hajamfanyia upasuaji na hata kesho yake akasema hawezi kuondoka kabla hajaenda wodini na kumfungua na kuona anaendeleaje. A l h a m d u l i l l a h , anaendelea vizuri, nimefaulu, sasa naweza kuondoka, alinukuliwa Dr. Kilima akiaga baada ya kurejea nyumbani kutoka hospitalini alipokwenda kuona wagonjwa wake. Dr. (Kilima) akiwa na wagonjwa wa kuwafanyia upasuaji, alikuwa hajali muda, alifanya mpaka usiku na hata kukesha mpaka amalize wagonjwa wake. Wengine aliwafuata vini, akisari hadi Kyela na wilaya nyingne za mkoa kufanya upasuaji na kutoa matibabuwagonjwa wasio na uwezo wa kulipia matibabu alikuwa akiwalipia kwa pesa zake na hata kuwapa nauli na fedha za matumizi ilimuradi wasikose matibabu. Alisema mfanyakazi mmoja akiongea na mwandishi kwa simu wiki iliyopita. K wa k we l i n i p i g o na huzuni ambayo itakuchukua muda mrefu kufutikakuna wagonjwa walifika hospitalini siku ya pili baada ya Dr. Kilima kufariki wakitokea Kyela. Walisema kuwa Dr. (Kilima) alikuwa amewapa nauli ya kuja kutibiwa (walikuwa hawana uwezo na siku hiyo ndio aliwaambia wafike hospitali kwa matibabu). Ilikuwa vigumu sana kwa watu waliokuwepo m a p o k e z i k u wa a m b i a ukweli wagonjwa wale kuwa Dr. Kilima hatunaye tena, amefariki. Hayo yalikuwa baadhi tu ya maelezo ya baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya Rufaa Mbeya wakieleza Dr. Hemed Abbas Kilima alikuwa nani. Ni maelezo yanayoonesha utendaji kazi makini, kujitolea, kujali Inaendelea Uk. 9
MAKALA
AN-NUUR
Dr. Hemed Kilima alikuwa pia mtu wa familia. Hapa akiwa na mkewe na watoto Kubwa tunalojifunza katika maisha ya Dr. Hemed Kilima, kwanza ni ile kauli ya Quran inayohimiza watu kwamba wafanye wema, wafanye mambo mazuri na kwamba Mwenyezi Mungu na Mtume wake na waumini wataona wema huo. Kinachosimuliwa hivi leo, huzuni iliyotawala mioyo ya wagonjwa na wafanyakazi wenzake, ni kielelezo kuwa nasi za waja zimetambua wema, uadilifu na kazi njema iliyofanywa na Dr. Hemed Shaaban Kilima. D r. H e m e d K i l i m a ameondoka akiwa bado kijana. Alizaliwa tarehe 28. 5. 1969 na amefariki 10 Novemba, 2011 katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Ruaha, mkoani Iringa akiwa njiani kuelekea Dar es Salaam. Alizikwa katika makaburi ya Kisutu, jini Dar es Salaam Novemba 11, 2011. Dr. Kilima alipata shahada yake ya kwanza ya udakitari (medicine) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,
Dr. Hemed Kilima (katikati) Mwaka 2005 akapata Masters nyingine-Masters of Medicine in Ophthalmology ya Chuo Kikuu cha Tumaini, KCMC. Kushoto ni mkewe, kulia ni mdogo wake Abubakar Kilima.
10 AN-NUUR
Na miongoni mwa maudhi hayo ni yale ya Abuu Lahabi alikuwa akitembea nyuma ya Mtume ili kuyakanusha yale aliyoyasema na kumtukana wakati Mtume anawalingania watu katika dini ya Mwenyezi Mungu. Na alikuwa mama Jamilu mke wa Abuu Lahabi ya l i k u wa m a u d h i ya k e hayapungui yale ya mume wake juu ya uadui wake kwa Mtume na alikuwa mke wa Sulaitat akinyoosha ulimi wake na kuwasha moto wa tina alikuwa akiweka miba na uchafu katika njia ya Mtume hadi ikamtaja QURANI kuwa ni mchukuzi wa kuni na kumuahidi Mwenyezi Mungu yeye na mumewe kuwa wataingia moto wenye kuwaka na akateremsha Mwenyezi Mungu kwa ajili yake na mumewe sura hii: (Imeangamia mikono ya Abii Lahabi na imeangamia... hadi mwisho wa sura hii) N a a l i k u wa A k h n a s i Bin Sharif anapomuona Mtume basi hukonyezana hadi akamteremshia M we n ye z i M u n g u k wa hilo na yanayofanana na hayo:- Jangwa la moto
MAKALA/TANGAZO
hadi mali ikaongeza na wala asitoke ndani wakampa mali zake akajikomboa a k a t e r e m s h a M we n ye z i Mungu (Na miongoni mwa watu wapo wanaojikomboa wenyewe kwa kutarajia malipo ya Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu ni mpole kwa waja) na pale yalipozidi maudhi na adhabu kwa Waislamu wake kwa waume wakawa wanakiria katika kutafuta ujanja wa kuokoka katika adhabu hii yenye kuumiza akawaashiria Mtume (S.A.W) kuhamia Ethiopia kwa yale aliyoyasikia kuwa kuna kiongozi wa KiNajashi ni muadilifu na wema wa ujirani wake wakahamia Waislamu huko Ethiopia (Habashi) mwishoni mwa mwaka wa nne na mwanzoni mwa mwaka wa tano tangu kupewa Utume na wakakaa huko Waislamu kwa ujirani mzuri na akaamini najashi kumuamini Mtume (S.A.W) na akasema kuwaambia masahaba kuwa Mashekhe wapo nchini hapa. Na huu ndio uhamaji wa kwanza katika Uislamu.
TAMASHA LA KANDA YA KASKAZINI, MASHARIKI NA VISIWANI PEMBA SHENGE JUU 16 23 DESEMBA, 2011
Wanaharakati wote wa Kiislamu wa Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Morogoro, Dar es Salaam, Pwani na Visiwa vya Unguja na Pemba wanaalikwa kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa Kituo cha Kiislamu Shenge Juu - Pemba litakalofanyika 16 23 Desemba, 2011. Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwa wingi. Wasio na wasaa wa kuhudhuria wachangie fedha na vifaa vya ujenzi. Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanya biashara na Allah (s.w) kwa mafanikio ya hapa duniani na malipo ya Pepo Quran (61:10-13) Wabillah Tawiq AMIR
HABARI/TANGAZO
AN-NUUR
11
Inatoka Uk. 1 ya madala ya hivi karibuni likiwamo Kongamano la Ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi, Mnazi Mmoja Mjini hapa. Katika kongamano hilo, viongozi wa itikadi na vyama tafauti vya siasa walisimama na kwa kauli moja waliamua kuhamasisha utetezi wa nchi kulikoni majadiliano ya muundo wa muungano. N a wa o m b a p a m o j a n a s e r a z e t u z a v ya m a waheshimiwa tusahau yote hayo muhimu tunahitaji Wazanzibari wote tudai Dola yetu huru, hapa hatuhitaji muungano kwanza, alisema Bw. Massoud Juma mmoja wa Viongozi wa Ngazi za Juu wa CHADEMA Zanzibar, katika kauli iliyoungwa mkono na Naibu Katibu wake Mkuu Hamad Mussa, upande wa ZanzibaR. Msimamo kama huo ulitolewa hivi karibuni na Waziri wa Katiba wa Zanzibar, Abubakar Khamis Bakar, akitoa ufafanuzi hapa juu ya umuhimu wa Wazanzibari kushikamana katika kudai maslahi ya nchi yao sasa. Kinachoonekana sasa madai haya yataendelea na kwa mujibu wa taarifa za uchunguzi yatamfikia Rais Kiwete wakati atakapokutana n a M a n a i b u K a t i b u wa CUF Taifa Ismail Jussa na Julius Matiro, Ikulu Dar es Salaam. Wakati huo huo, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amewataka Wazanzibari waungane na kuwa na kauli moja wakati wa kutoa maoni juu ya Katiba mpya ili kupata mfumo wa Muungano wanaoutaka. Maalim Seif ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, alisema hayo juzi wakati akihutubia mkutano wa hadhara Donge Mchangani katika Wilaya ya Kaskazini B Unguja. Maalim Seif amesema hivi
kufanya biashara hiyo. Kwa upande wake Bw. Pesa Mohammed Pesa, aliye mkazi wa Morogoro na Diwani wa Kata ya Bwakila, aliyeshuhudia tukio hilo alisema, anawapongeza Waislamu wa Pangani, kwa umoja walioonyesha. Alisema, huo ni mfano wa kuigwa na kamwe Waislamu wasirudi nyuma katika kupinga uonevu na dhulma. Alisema, kwa hali ilivyokuwa siku ile, Waislamu walikuwa tayari kwa lolote kwani walitokeza kwa wingi wake kwa waume kuitikia wito wa adhana ile.
Maalim Seif ambaye pia alitembelea majimbo ya Kitope na Bumbwini, amesisitiza kuwa hiyo ni fursa pekee kwa Wazanzibari kuamua hatima ya nchi yao. Kinachobainika sasa Maalim atahamsisha hoja hiyo katika Mikutano yake inayoendelea mwishoni mwa wiki katika Majimbo ya Wingwi, Micheweni na Mgogoni Mkoa wa Kaskazini, Pemba.
Inaendelea Uk. 16
Uongozi wa Mess ( Sekondari ya Jioni inayoongoza kwa kufanya vizuri) unawatangazia waislamu wote kuwa umeanza kutoa fomu za kujiunga na masomo ya Sekondari kwa mfumo wa Q.T (mfumo unaowezesha kufanya mtihani wa kidato cha nne ndani ya miaka mitatu (3) badala ya mine (4) iliyozoeleka. Walengwa: wanawake na wanaume, vijana waliomaliza darasa la saba, wafanyakazi serikalini na sekta binafsi, wanaorudia mitihani yao ya Taifa na wafanyabiashara wenye nia ya kujiendeleza. Masomo: Historia, jiograa, Kiingereza, Kiswahili, Hisabati,Uraia,Fizikia na maarifa ya Uislamu. Programu za Ziada: Weekend Camp, Daa`wa Program, Get together Mess Family Tour za ndani na nje ya nchi, Mess Club & Group Discussion. Muda: Jumatatu mpaka Jumamosi saa 9:30 Alasiri mpaka 12:30 jioni. Gharama : Ada ni Tsh 220,000/= tu kwa Mwaka na inaweza kulipwa kwa awamu. Fomu: fomu za kujiunga zinapatikana shuleni Mwenge Islamic Centre ( Msikiti wa Ijumaa Mwenge) kwa gharama ya Tsh 10,000/= tu. Kozi ya maandalizi imeshaanza na itamalizika tarehe 28 Januari 2012 kwa wote waliochukua fomu na kurudisha. Wote mnakaribishwa!
12 AN-NUUR
MAKALA/SHAIRI/
leo na maelfu wengine kupata mateso ya kutisha. Na huyo ndiye alikuwa kipenzi cha Washington. Hiyo ndiyo rekodi ya Marekani katika Latin Amerika kabla ya kuhamia Afghanistan, Iraq, Pakistan, Libya na Somalia. Katika Guatemala ilikuwa i k i l i n d a m a s i l a h i ya k e katika mashamba ya ndizi. Ilipohamia Afghanistan tukaimbishwa ugaidi wa Taliban, Osama Bin Laden na Mullah Omar, wakati mgogoro ulikuwa serikali ya Taliban kuikatalia Marekani kupitisha bomba la mafuta na gesi kutoka nchi za Balkani na masuala mengine ya kimaslahi na kistratejia za kiuchumi, keshi na udhibiti wa Washington katika eneo la Asia na Balkan. Ilipokuja zamu ya Saddam, Bush na Blair wakatunga uwongo na propaganda ya silaha za maangamzi na wakaupamba na kuupigia ngoma mpaka ikaonekana kuwa sababu ya kuvamia Iraq. Sababu ya uwongo iliyoangamiza mamilioni ya roho za watu wasio na hatia. Hoja inayojengwa hapa ni kuwa rekodi ya Marekani ni ile ya kutetea masilahi yake ya kiuchumi kwa gharama yoyote hata ikibidi kuuwa na kupindua serikali zilizochaguliwa kidemokrasia. Ni rekodi ya kuunga mkono na kusaidia makundi ya kihalifu, waasi na wababe wa kivita inaowatumia kudhoofisha serikali zisisotakiwa na Washington. Ndivyo ilivyofanya Congo iliposhiriki kumuuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa nchi hiyo Patrice Lumumba na ndivyo inavyofanya Somalia. Iliwatumia wababe wa kivita na kisha serikali ya Ethiopia kuondoa serikali iliyoleta amani Somalia baada ya miaka 16 ya vita na mauwaji holela. Haikufanya vile kwa sababu ya kuhoa ugaidi au kuwatakia mema wananchi wa Somalia. Kwa upande wa Al Shabaab, haya ni matokeo ya uharamia uliofanywa na Marekani na Ethiopia. Walionya wenye nia njema kwamba hatua inayochukua M a r e k a n i ya k u o n d o a madarakani watu walioweza kuleta amani na wakapata kuungwa mkono na asilimia kubwa ya Wasomali walio ndani na nje ya nchi hiyo, basi matokeo yake yangekuwa kuibuka makundi yenye msimamo mkali kupambana na uvamizi wa majeshi kutoka nje ya Somalia. Marekani kwa vile ilikuwa na agenda zake, haikujali. Kilichohowa ndicho kilichotokea. Sasa kama ni kuizungumzia Al Shabaab, basi izungumziwe katika muktadha huu. Sio kuifananisha na kina Kony au magaidi walioibuka kwa sababu tu ya kutaka kufanya ugaidi. Hii sio kuondoa uwezekano kuwa kuna mabaya yanayofanywa na Al Shabaab, lakini iangaliwe pia mzizi wa kuwepo kwao ili ise kuchukuliwa hatua za kuparurana na majani ukaachwa mzizi wa tna. Lakini hata haya madai ya u-Al Qaidah na ugaidi wa Al Shabaab Kampala n a K e n ya , ya n a t a k i wa kutizamwa pia kwa makini zaidi. Yapo matukio mengi yameshawahi kufanyika ya ugaidi wa kupanga kisha habari zikasambawa katika mtandao ikidaiwa kuwa Al Qaida wamekiri kuhusika. Tuzingatie kwa makini zile habari za urongo na propaganda zilizokuwa zikisambazwa na vyombo vya habari vilivyokuwa vikifadhiliwa na United Fruit Company (UFC). Lakini tukizungumzia suala la Al Shabaab na ugaidi wake, tujikumbushe pia kile kitisho cha shambulio la kigaidi la kimeta katika Marekani (Anthrax Terror Aacks). Akina Bush na CNN zao walituambia kuwa kimeta kile kilichokuwa kinatumwa kwa barua kupitia posta kilitokea kwa Al Qaidah waliokuwa wakifadhiliwa na Saddam Hussein. Leo kidagaa kinaiozea FBI huku baadhi ya taarifa zikidai kuwa kimeta kile kilitokea katika maabara ya kijeshi pale Fort Detrick, Maryland. Tayari mtuhumiwa mmoja mtaalamu katika maabara hiyo, Bruce Ivins ashaanga dunia katika kile kilichoitwa k u j i u wa k wa k u b u g i a Tylenol mara tu baada ya kuanza kuhojiwa. Mtu anapopinga haya matangazo ya kwa hisani ya watu wa Marekani, sio kwamba ana anti-American sentiments, ila ni kwa sababu hii misaada ya kondomu n a m f a n o wa k e n i ya kutudharau, kutudhalilisha na kutudhania kuwa sisi wajinga. Kwa bahati mbaya kabisa, baadhi ya NGOs zetu na hata taasisi za kiserikali zimeona zimepata mahali pa kujikimu. Mtu akipinga hii misaada ya vyandarua katika ile kampeni ya Maleria Haikubaliki, sio kuwa anawachukia Wamarekani. Ni kwa sababu msaada wenyewe na hiyo kampeni n a m a t a n g a z o h a ya n a maana yoyote. Hakuna nchi iliyotokomeza maleria kwa kutumia chandarua. Na kukazania matangazo hayo ni kutangaza tu ujinga. Ni vinyo hivyo katika suala hili la Al Shabaab. Hoja ni kuchambua ukweli na kuutengaisha na propaganda. Suala la msingi ni kutizama mzizi wa tna na ile mipango ya hila na ya siri (covert operations) inayoendelea Somalia.
Tufunge Ashura!
1. Yailahi ya karimu, niongoze shairini, Unaze ilhamu, na sakina ubongoni, Niweze jambo adhimu, kuwajuza Ikhiwani, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. 2. Enyi ndugu Islamu, wa Bara na Visiwani, Nimeishika kalamu, lengo kukumbusheni, Juu ya hii swaumu, wengi tusoithamini, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. 3. Ashura funga adhimu, si leo toka zamani, Tumwa wetu mkaramu, funga aliithamini, Iweje Muislamu, ukose kuithamini, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. 4. Ashura ni ya msimu, funga hii tambueni, Lililo kwetu muhimu, ni sisi kuithamini, Yapasa kujilazimu, kumuiga Adnani, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. 5. Ashura ni Ikramu, kwa Musa na waumini, Walokuwa madhulumu, kwa sera za rauni, Kumbukumbuye muhimu, kwa kuhuisha Imani, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. 6. Ashura kuiheshimu, mayahudi waliwini Akawahoji mwalimu, juu ya chake kiini, Akatutaka tudumu, kufunga kutokhini, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. 7. Ashura ni yako zamu, jinalo kulithamini, Dumisha sasa nidhamu, jinalo usilikhini, Ni letu sote Jukumu, Ashura kuithamini, Mwezi kumi Muharramu, Ashura tuifungeni. Na Abuu Nyamkomogi Mwanza -Tanzania
1. Naanza kulihimidi, jina la Mola wadudi, Kuswalia sina budi, tumwa wetu mMhamadi, Utimu wangu muradi, nudhumu kuradidi, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 2. Utalia hadi lini, utasikiwa na nani, Jamii inakukhini, sirini na hadharani, Lini takua kundini, itukuke yako fani, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 3. Watoto unasomesha, vidato unawavusha, Wengi unahitimisha, mataji unawavisha, Mashangingi wanaendesha, wakikulisha, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 4. Iwapi heshima yako, toka wanafunzi wako, Wazazi chao kicheko, wewe kwao ni kivuko, Wazidisha chokochoko, bezo na minunguniko, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 5. Watoto wapaofeli, lawama za kukabili, Matusi nazo kejeli, yote wasitahimili, kisomo bila akili, hiyo kwao sidali, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 6. Mwalimu huna makazi, chakula hata mavazi, Humudu chako kizazi, kwa ada na kwa kivazi, Shule bora huwazi, tiba bora huwezi, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 7. Subira huvuta kheri, heri ipi iso shwari, Kiinuwa usubiri, ukishapitwa mazuri, Wajihi hauna nuri, meno yameshasari, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini 8. Kwa beti nane nakoma, hapa ndipo kaditama, Mwalimua utalalama, na kugoma hutokoma, Kukwombea dua njema, hayupo wa kusimama, Mwalimu EE mwalimu, nani anakuthamini Na F. Mtuchake
Makala
AN-NUUR
13
VIKOSI vya kulinda amani nchini Somalia Usalama wa mtu binafsi na mali ulihakikishwa, ikaondoa ukamataji holela na utekaji nyara wa mabwana vita na makundi ya maharamia wenye silaha. ICU ni mkusanyiko wenye vikundi tofauti ikiwa ni pamoja na Waislamu wa mrengo wa wastani na wanaharakati, wanasiasa wa kiraia na wapiganaji, waliberali na wanamapinduzi, wapenda siasa za vyama na wataka uimla. Muhimu zaidi, utawala wa Umoja wa Mahakama ulifaulu kuunganisha nchi na kuweka mfano wa utaifa, kuondokana na migawanyiko ya koo. (Petras, juu). Martin Fletcher aliandika katika gazeti la Times (of London) kuhusu ICU: Umoja wa Mahakama kwa miezi sita walifikia kile kilichoonekana hakiwezekani, kurudisha utawala wa sheria katika nchi iliyoonekana haitawaliki. Umoja wa Mahakama haukuwa wakandamizaji kama marafiki zetu wa S a u d i a a n g a l a u wa t u waliweza kutembea barabarani bila kunyanganywa au kuuawa. Hiyo inafunika masuala mengine yote. Wa i s l a m u h a o s a s a wameondolewa, kwa uwezeshaji wa Marekani, na serikali dhaifu ambayo iliundwa kitambo kabla Umoja wa Mahakama haujachukua madaraka, ambayo inajumuisha mabawana vita wale wale iliowashinda na inategemea, ili idumu, adui mkuu wa Somalia. (Fletcher, The Islamists were the one hope for Somalia, The Times, January 8, 2007) Ilikuwa wazi kwa wachambuzi wengi kuwa uvamizi wa Ethiopia ungekuwa mkasa mtupu. Miezi mitatu baadaye, gazeti la Daily Telegraph liliripoti: Maafa na mkasa mwingine wa kibinadamu umeanza kufukuta katika Pembe ya Afrika ambako siku nane za mapigano makali katika mji mkuu wa Somalia zimewasukuma wa t u t a k r i b a n 3 5 0 , 0 0 0 kuzikimbia nyumba zao. Makombora ya mizinga yameharibu sehemu kubwa ya mji, na kulazimisha kiasi cha theluthi moja ya wakazi wake kuondoka. Majuzi tu, hospitali kubwa zaidi ya Mogadishu ilipigwa mabomu. M a b o n d e yanayozunguka Mogadishu yamejaa wakimbizi wakivumilia mazingira magumu ya kukatisha tamaa wakiwa na chakula kidogo sana na makazi. Mapigano yalianza wakati serikali inayotambuliwa kimataifa ya Somalia, ikisaidiwa na askari wa Ethiopia, ilipoanza wimbi la kukabiliana na wanaharakati, (Mike Panz, Fighting brings fresh misery to Somalia, Telegraph, April 26, 2007) Gazeti la Telegraph lilimnukuu mwajiriwa wa shirika la misaada mojawapo la Uingereza: Wanapiga mabomu chochote kinachotembea. Catherine Weibel, wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi ( U N H C R ) a l i n u k u l i wa akisema: Kila tunayeongea naye anasema hii ndiyo hali mbaya zaidi waliyowahi kuona katika miaka 16 tangu serikali ya mwisho ianguke. Vita Dhidi ya Ugaidi .Na Kinachotakiwa Haswa Mpangilio wa mawasiliano (na vyombo vya habari) wa kuweza kuelewa kinachofanywa (nchi za nje) na Marekani unaendana na mfumo wa vita ya kiitikadi (ya zamani, na iliyokuwa Urusi). Tunatakiwa tuamini kuwa Marekani inajituma kwa hisia, hata bila kuona, kupambana na maadui wa kiitikadi katika juhudi ya kujilinda yenyewe na nchi za Magharibi. Mwanasafu wa Guardian Jonathan Friedland anaweza kuwasemea wengi kuweka bayana taswira hii ya matukio: Wiki mbili zilizopita Wa e t h i o p i a w a l i i n g i a Somalia kupindua makundi ya harakati ya Waislamu ambao ndiyo kwanza walikuwa wameteka Mogadishu. Marekani inachukua harakati hiyo ya Kiislamu, ikihoa kuwa ina sura ya u-Taliban wa Kiafrika, hivyo waliwaunga mkono Waethiopia kuwaondoa. Kwa mujibu wa Patrick Smith, mhariri wa jarida la Africa Condential, vita dhidi ya ugaidi kwa haraka inakuwa vita baridi ya karne ya 21, ambako Marekani inatafuta washirika wa msimu kupambana na maadui wa kubuni katika nchi za mbali. (Freedland, Like a deluded compulsive gambler, Bush is fuelling a new cold war, The Guardian, January 10, 2007) Inaendelea Uk. 14
14 AN-NUUR
HABARI/MAKALA
WAZAZI wa Kiislamu wamekumbushwa kuichukua kwa juhudi kubwa amri ya kusoma kama ilivyokuja katika Quran. Katika kufanya hivyo wakatakiwa kujua kwamba elimu ina gharama ikiwa ni pamoja na ada kwa watoto wao skulini hivyo wawe tayari kulipa na kwa wakati. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya wanataaluma wa Kiislamu (TAMPRO) Pazi Mwinyimvua Semili, akiongea na Waislamu katika mahafali ya kuwaaga wahitimu wa darasa la saba wa Shule ya Msingi Daarul A r q a m , ya l i yo f a n y i k a katika ukumbi wa Starlight, Kariakoo Jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita. Pazi amesema, ili kuleta uhai katika Shule za Kiislamu wazazi wa K i i s l a m u h a wa n a b u d i walipe ada kwa wakati kwani kinyume na hivyo, shule hizo zitakuwa hatarini kufa. Kwa upande mwingine Pazi amewataka watoto wanaosoma katika shule za Kiislamu kuwa mfano bora wa kuigwa kitabia mitaani na hivyo kuwa mabalozi wazuri wa shule hizo. K wa u p a n d e wa k e , Meneja wa Shule hiyo ya Kiislamu, Sheikh Shawwal Abdul-Azizi, alisema kuwa lengo lao ni kutoa
wanafunzi bora kitaaluma na maadili. Alisema, kila jambo huwa lina malengo yake hivyo malengo waliyojiwekea ifikapo mwaka 2013, ambapo watatoa kidato cha nne awamu ya kwanza, ni kufaulisha kwa kiwango cha juu kabisa. Shule za Daarul-Arqam ni Shule za Kiislamu, zilizoanzishwa mwaka 2003, zilizopo chini ya taasisi ya Daarul- Arqam Islamic Centre ya Jini Dar es Salaam. Masomo ya dini yanayofundishwa katika shule hizo zilizopo Ilala Sharifu Shamba za kutwa (Nursery and Primary-Day) na zile ya Kulala (Primary and Secondary-Boarding) zilizopo Amani Gomvu Kigamboni, ni Maarifa ya Uislamu, lugha ya Kiarabu pamoja na kuhifadhisha Quran.
Picha juu: Katibu Mkuu wa Jumuiya ya wanataaluma wa Kiislamu ( TA M P R O ) D k t . Pa z i Mwinyimvua Semili, (wa pili kushoto) akiwa na Meneja wa Shule ya Msingi Daarul Arqam Shawwal Abdul-Aziz akimkabidhi zawadi mmoja wa wahitimu katika mahafali ya kuwaaga darasa la saba yaliyofanyika katika ukumbi wa Starlight, Jini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita. Picha chini ni baadhi ya wathimu hao.
Inatoka Uk. 13
Kama hii inaonekana ni mtazamo rahisi mno, hata ya kitoto, ndiyo ilivyo. Kwa kweli, vita baridi, kama ilivyo vita dhidi ya ugaidi haikuwa hasa ya kiitikadi, na zaidi ni maslahi kuliko waandishi kama Freedland wanavyodai. Mwanahistoria Howard Zion kwa mfano amesema kuhusu vita v ya V i e t n a m , a m b a k o BBC ingependa tuamini kuwa ilikuwa ni juhudi za Marekani za kuzuia Wakomunisti kupindua nchi moja baada ya nyingine Kusini Mashariki ya Asia. Ninaposoma mamia
Marekani uwezo mkubwa wa kusimamia karibu na maeneo yanayotoa mafuta kwa wingi. Chatham House, tasisi ya Uingereza chini ya Royal Institute of International Affairs , iliandika kuhusu uingiliaji kati wa Ethiopia nchini Somalia mwaka jana, kuwa: Katika mazingira ambayo tunasikitika tumeyazoea, hisia halisi za kutaka kusaidia ujenzi upya wa Somalia zimedakwa na hatua binafsi za nchi nyingine hasa Ethiopia na Marekani zikifuata ajenga zao za mambo ya nje. (itaendelea)
TANGAZO
AN-NUUR
15
WAISAMU wakiwa katika moja ya mihadhara ya dini kisiwani Pemba. ifanye linavyopenda wenye utamaduni wao wa Kanisa, wakati Waislam na kupendeza. Elimu hii yote Uislam ukafanywa kama na utamaduni huu wa hali vitu visivyokua na maana ya juu ulikuwa unatokana na yoyote. Uislam na Shule zake. Hapo Hadi kufikaia mwaka ndipo zilipoanza mbinu ya wa 1960 Kanisa likawa kuvunja maendeleo haya taasisi kubwa inayomiliki yote. m a m i l i o n i ya d o l a ya Herufi za Kiarabu misaada inayopokelewa zikapigwa marufuku kutoka wahisani na wafadhili kutumika na baada yake walioko katika ulimwengu watu walazimishwa wa Kikristo. kujifunza heru za Kirumi. Kanisa sasa hivi linahodhi Muislam ambaye jana mahospitali, misururu ya alipoingia kulala alikuwa ndege binafsi, viwanja anaitwa ameilimika akaamka vya ndege, makampuni ya asubuhi yake mjinga, hana uchapishaji na mitambo ya elimu, hajui kusoma wala kupigia chapa, steshini za kuandika. Njama hizi zote Radio na magazeti. dhidi ya Uislam ilikuwa K a n i s a l i m e k u wa n a sehemu ya makubaliano n g u v u n a u d h i b i t i wa kama ilivyoandikwa katika mambo kiasi kwamba wakati kifungu IV cha mkutano wa mwingine watendaji, hasa Berlin wa mwaka 1884-1892 Wakristo katika Serikali na katika kutekeleza kifungu ndani ya Chama tawala cha hicho kama ilivyokubalika CCM hawajui utii wao uwe katika Mkutano wa Berlin Serikalini bali wana amini Imperial British East Africa moja kwa moja kwamba wao Company ilitumia nguvu za wanawajibika kwa Kanisa kisiasa na keshi kuulinda zaidi kuliko Serikali. Ukristo katika Afrika ya N i k a t i k a Mashariki. kuchanganyikiwa huku kwa Ombwe lilioachwa na watendaji wa Serikali na elimu ya Kiislam ikajazwa Chama kuhusu uhusiano na elimu ya Kanisa chini ya wao na Kanisa ndiko usimamizi wa Waingereza. kulikoamsha kutoaminiana Kanisa linaeleza uongo na kati ya Waisalam na Serikali propaganda kuwa lenyewe na Chama cha Mapinduzi. ndio lililoweka msingi Serikali na Chama wa kwanza wa elimu ikaonekana kama ni Tanganyika. Ukweli ni miongoni mwa taasisi za kuwa Wamisionari walifuata Kanisa na Waislam wakiwa nyayo za madras na walimu ni watazamaji tu. wa kwanza katika shule za Baada ya Uhuru misheni walikuwa Waislam kupatikana, Kanisa likaanza ambao hawakusoma katika kusikika likisema kuwa shule za Kanisa bali katika lina haki na wajibu kuwa Madras. na ushawishi ndani ya Kwa kipindi cha zaidi Serikali, kuikosoa Serikali na kuiongoza pale inapoona ya miaka mia moja Kanisa Serikali haifanyi mambo likaelekeza nguvu zake sawa kwa matarajio yake. katika kuwatayarisha raia Kanisa likajipa fursa ya ambao wengi wao walikuwa kuwa msemaji wa watu. Wakrisho, watakaokuwa Huu ulikuwa ni muelekeo watiifu kwa Kanisa na katika mambo ya siasa na Serikali. Ni katika mtanuko utawala.. huu ndio Wakristo wanamiliki (Ibrahim Muhammed Serikali na chama cha Hussein-0715-498 363) Mapinduzi na kuimarisha
16 AN-NUUR
16
AN-NUUR
MUHARRAM 1433, IJUMAA DESEMBA 2 - 8, 2011
BENKI ya kwanza ya Kiislamu nchini Amana Bank tawi la Tandamti, Kariakoo. Picha chini: bustani iliyotelekezwa ya Darajani, Unguja na kuwa msitu wa nyasi.
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.