Escolar Documentos
Profissional Documentos
Cultura Documentos
ISSN 0856 - 3861 Na. 995 SAFFAR 1433, IJUMAA JANUARI 20 - 25, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Machafuko Syria
Ojukwu
2 AN-NUUR
SAFFAR 1433, IJUMAA JANUARI 20 - 25, 2012 awe ni wa chama tawala au cha upinzani ukipata mahudhurio makubwa ya viongozi wa ngazi za juu serikalini na katika vyama kama ilivyokuwa kwa Regia. Alifariki Salome Mbatia, ambaye alikuwa M b u n g e n a Wa z i r i k a t i k a a j a l i ya g a r i huko Njombe mkoani Iringa, Lakini pamoja na kwamba alikuwa Mbunge kupitia tiketi ya chama tawala na Waziri, lakini mazishi yake kwa upande mwingine hayakupata mahudhurio ya vigogo wengi kama ilivyotarajiwa. Wala siasa hazikuonekana katika hotuba za vogogo wachache waliohudhuria.
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110148, 0755 260 087, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
TAHARIRI/HABARI
Kadhalika alifariki Juma Akukwete, kwa ajali ya ndege mkoani Mbeya, ambaye naye alikuwa Mbunge na Waziri, lakini naye halikadhalika mahudhurio ya vigogo katika mazishi yake h a ya f a u t i a n a n a ya Salome Mbatia. Alifariki Bw. Silima, Mbunge kutoka Unguja (CCM), naye mahudhurio ya vigogo katika mazishi yake kadhalika hayakutofautiana na ya wengine waliomtangulia. Wala hayakuwa na siasa zilizoonekana kutawala msiba. Mahudhurio mazuri ya vigogo wa serikali vyama vya siasa katika msiba wa Regia Mtema, na kwa namna vyombo vya habari vilivyokuwa vikiripoti mahudhurio hayo na kushabihisha na mvutano ulitokea b a a d a ya U c h a g u z i Mkuu wa 2010, ni dalili tosha kwamba Msiba wa Regia ulitawaliwa zaidi na hisia za kisiaza za CHADEMA na CCM badala ya hisia za msiba wenyewe. Pamoja na kwamba Regia alikuwa m wa n a s i a s a , l a k i n i msiba wake haukustahili kutumika kisiasa kama mazingira yalivyoonekana. K u m u o m b e a , kuwafariji wafiwa, kusaidia harakati za mazishi, kungetosha kumtendea haki marehemu Regia.
MAONI YETU
HABARI
AN-NUUR
huo umeviwezesha vikundi v yo t e v ya K U TAY B A , kuanza kunufaika kupitia SACCOS hiyo baada ya kushindwa kuwezeshwa kwa muda mrefu na taasisi za kifedha nchini kwa kile alichodai kuwa ni urasimu wa taasisi hizo usiokuwa na kikomo.
Mafunzo hayo yamekuwa yakisimamiwa na kuendeshwa na jopo la wataalamu kutoka Baraza Kuu na Jumuiya za Kiislamu Tanzania, wakiongozwa na Amiri wa Baraza hilo, Sheikh Mussa Kundecha, pamoja na Katibu Mkuu, Ust. Ramadhan Sanze.
WAHITIMU wa kozi ya awali ya KUTAYBA katika mahafali yaliyofanyika Mwenge Islamic Centre mwishoni mwa wiki. (Picha zote na Abdulkarim Msengakamba)
4 AN-NUUR
Na Omar Msangi
HABARI
ni la kusikitisha zaidi ni kuwa baadhi ya nchi za Kiarabu zimekuwa zikitumiwa kama zilivyokuwa zikitumiwa katika suala la Libya. Mwandishi Tahir Mustafa katika makala yake US, Israeli, Saudi involvement in Syrian uprising, anamnukuu Dr. Haytham Mannaa, ambaye ni msemaji wa Kamisheni ya Haki za Kibinadamu ya Kiarabu (Arab Commission for Human Rights), akieleza jinsi baadhi ya wafanyabiashara na wanasiasa wa Kiarabu wanavyotumiwa kununua silaha kuwapa wanamgambo wanaotumiwa katika mipango ya kuiangusha serikali ya Bashar Al Assad. Tahir Mustafa anasema kuwa pengine kinachomponza Assad ni kuwa ndiye kiongozi pekee katika nchi za Kiarabu ambaye sio kibaraka wa kutegemewa na Marekani na Israel (American-Zionist puppet). N i s e m e k u wa k u b wa k i n a c h o f i c h wa S y r i a n i kuwepo makundi yenye silaha ambayo huuwa polisi na raia. Wakiuwa raia hudaiwa kuwa ni jeshi la Assad. Hali hiyo inatarajiwa k u wa i t a f i k i s h a m a h a l i Marekani na NATO waingie kama walivyoingia Libya. Na labda niseme kuwa mpaka sasa wangekuwa washaingia kama sio msimamo wa China na Urusi. Hata hivyo japo hawajaingia rasmi, lakini kwa mujibu wa baadhi ya taarifa, tayari vikosi maalum vya Marekani vipo ndani ya Syria. Mwandishi Nadin Abbo katika makala yake Soldiers Facebook Post Raises Questions About US Special Forces In Syria, anafichua taarifa ya askari mmoja kutoka San Diego akiaga kuwa anaelekea Syria. Hofu iliyopo ni kuwa special forces hawa wanaoingia kwa siri ndio huungana na wapinzani wa ndani kuuwa wananchi na kusingizia polisi ili kuchochea hasira za wananchi dhidi ya serikali. Syria inaungana na Iraq, Lebanon, Iran, Libya, Somalia, na Sudan (Rogue states) ambazo zimo katika orodha ya kupigwa, kupinduliwa na kuweka viongozi vibaraka. Hiyo ni kwa mujibu wa m k a k a t i u l i o we k wa n a Pentagon ambao uliwahi kutajwa na aliyekuwa kamanda wa NATO General Wesley Clark. Hakuna tafisiri rasmi inayokubalika kwa wote nini maana ya rogue sate katika ulimwengu huu wa kisasia. Lakini kutokana na matumizi ya msemo huu kama unavyotumiwa kinadharia na kivitendo na Marekani, rogue state ni nchi yoyote isiyotaka kusikiliza na kutii maelekezo kutoka Washington bila kuhoji.
YAMESEMWA mengi sana juu ya machafuko na mauwaji yanayoendelea Syria. Hata hivyo upo ushahidi kwamba kumekuwa na upotoshaji mkubwa wa habari na wakati mwingine kutunga na kusambaza urongo juu ya ghasia hizo zilizoanza Machi 17, 2011. Nyingi ya habari zinazotufikia kila uchao zinatuambia kuwa polisi na wanajeshi wa Syria wanapiga risasi na kuuwa waandamanaji wa n a o t a k a d e m o k r a s i a . A m b a c h o h a k i j a s e m wa mpaka sasa ni juu ya wale waandamanaji wenye silaha ambao wamekuwa wakiuwa polisi na waandamanaji na kisha kusingizia jeshi. I d a d i ya wa n a o u l i wa imekuwa ikitiwa chumvi kwa kuongeza idadi na wa k a t i m w i n g i n e p i c h a zinazooneshwa na Al Jazeera na CNN zimekuwa zikitofautiana kabisa na kinachoelezwa katika habari. Ni kama habari unayoambiwa ni ya Dar es Salaam, lakini picha unayooneshwa ni ya Arusha. Kwanza niseme kwamba wananchi wa Syria wana sababu ya kuandamana na kupinga sera za serikali yao katika masuala ya kiuchumi kama wanavyoandamana Nigeria hivi leo. K a m a i l i v yo N i g e r i a , mwaka 2006 Syria nayo ilimeza kidonge cha IMF (IMFs economic medicine ) ambacho kinaagiza kupunguzwa mishahara, kuondoa ruzuku katika bidhaa na huduma muhimu, ubinafsishaji na ugenishaji wa biashara na uchumi. (Tanzama: IMF Syrian Arab Republic - IMF Article IV C o n s u l t a t i o n M i s s i o n s Concluding Statement, 2006) Labda kingine cha kusema na mapema hapa ni kuwa japo serikali ya Syria inaongozwa na unachoweza kusema kuwa ni kikundi kidogo cha madhehebu ya Alawite (Shia), lakini imefanikiwa kuwaweka pamoja Waislamu, Wakristo na ma-Druze kupitia chama cha Baath. Kwa upande mwingine, u n a we z a k u s e m a k u wa ndiyo nchi pekee ya Kiarabu unayoweza kusema kuwa sio kibaraka wa Marekani inayoweza kutumiwa kinga kinga na Israel au nchi za Ulaya. Lakini kinyume pia na Misri na Tunisia yalipoanzia maandamano ya mabadiliko, Rais Bashar Al Assad ana uungwaji mkono mkubwa wa wananchi ambao wamekuwa wakiandamana katika mji mkuu wa Damascus. Ndio maana hata maandamano au vurugu za kupinga serikali hazikuanzia katika miji mikubwa kama Damascus au Aleppo ila kule mji wa pembezoni wa Daraa. Daraa ni mji mdogo ulio
Machafuko Syria
hili, polisi waliouliwa ni saba (7), wengi za idi ya raia waliokufa ambao ni wa n a n e ( 4 ) . N u k t a h i i muhimu haitajwi kwa sababu ukiitaja unachoonesha ni kuwa hawa magaidi wenye silaha wanaodaiwa kuwa ni waandamanaji kwa amani, waliwazidi nguvu polisi. Hilo vyombo vya habari vya Magharibi hawalisemi. Kinachosemwa kila siku ni kuwa Bashar anauwa waandamanaji. Katika utafiti na uchambuzi wake Prof. Michel Chossudovsky anasema kuwa pamoja na kuwepo waandamanaji, lakini kubwa ni kuwa kuna makundi ya kigaidi ya ndani na yaliyoingizwa Syria kufanya fujo kama ile ya Libya ili kumngoa madarakani Rais Bashar Al Assad. Anasema, kwa bahati mbaya makundi yanayoitwa ya Kiislamu kama Hizb ut Tahir na Salafi wamekuwa wakitumiwa sana wenyewe wakiona kuwa imepatikana fursa ya kumngoa Assad na kuweka Khilafah! Wala hawasomi kilichotokea na kinachoendelea kutokea Libya. Hizb ut Tahir is considered to be of strategic importance to Britains Secret Service MI6. in the pursuit of Anglo-American interests in the Middle East and Central Asia. (Is Hizb-utTahrir another project of British MI6?). Anasema Prof. Chossudovsky akionesha jinsi baadhi ya taasisi zinazojiita za Kiislamu zinavyoweza kutumiwa na makachero kuangamiza Uislamu na Waislamu bila kujua. Since the Soviet-Afghan war, Western intelligence agencies as well as Israels Mossad have consistently used various Islamic terrorist organizations as intelligence assets. Both Washington and its indefectible British ally have provided covert support to Islamic terrorists as a means to triggering ethnic strife, sectarian violence and political instability. Anaongeza akionesha jinsi ambavyo taasisi za Kiislamu zinavyoweza kutumiwa kuleta mvurugano, farka na tna miongoni mwa Waislamu lakini pia kutumiwa kufanya ugaidi ili ipatikane sababu ya kuwahujumu Waislamu. Katika Libya M16 na CIA waliwatumia LIM (Libya Islamic Fighting Group). Hao LIM wenyewe wakidhani kuwa wanasaidiwa kumwondoa Gadhafi wasimamishe Uislamu!!! Lini CIA, NATO, Pentagon ikasaidia kusimamisha Uislamu? Hilo hawakujiuliza kama ambavyo wale wanaotumiwa Syria leo hawajiulizi. Jambo linaloweza kusemwa
MAELFU ya waandamanaji wanaomuunga mkono Rais wa Syria, Dkt. Bashar al Assad. mpakani na Jordan wenye idadi ya wakazi kiasi 75,000. Kama kuvikelejli vyombo vya Magharibi vinavyoshabikia sana suala la Syria, Prof. Michel Chossudovsky ameilinganisha Daraa kama ilivyo kamji kadogo kaPlasburgh, NY pembezoni katika mpaka wa Marekani na Canada, labda unaweza kusema Sirari kwa Tanzania. Prof. Michel Chossudovsky (Global Research) akionesha jinsi suala la S y r i a l i n a v yo p o t o s h wa kwa makusudi ananukuu taarifa ya Shirika la Habari la Associated Press (AP) ya March 23, 2011, akisema kuwa imejaa uongo na upotofu. Prof. Chossudovsky anasema idadi ya watu imetajwa kuwa ni 300,000 wakati Daraa haina wakazi wanaozidi 75,000. Huwezi kutegemea kuwa katika mji wenye wakazi 75,000 ikijumuisha watoto wadogo, wazee, wagonjwa, na watu wengine, iweze k u t o a m a e l f u ya wa t u kuandamana. Kwa hiyo lengo la kusema kuwa mji huo una watu 300,000 ni ili uonekane uwezekano wa kuwepo maelfu walioandamana. Anasema kosa kubwa alilofanya mpasha habari huyo wa AP, ni kuficha zile habari kuwa katika maandamano hayo waliuliwa polisi. Ukitaja kuwa polisi waliuliwa itabidi pia useme ni nani hao waliouwa polisi ambapo itabidi sasa ukweli ufichuke kuwa katika hao wanaoitwa waandamanaji kuna magenge ya watu waliobeba silaha na wadunguaji (snipers) waliokuwa wamejificha katika majengo wakiwalenga askari na hata kuwapiga risasi waandamanaji kisha husingizia kuwa wanaofanya mauwaji hayo ni askari wa Rais Bashar. Taarifa za kuuliwa polisi katika mji wa Daraa hapo Machi 17-18, 2011 ziliripotiwa na vyombo vya habari vya Israeli na Lebanon. Moja ya vyombo vya habari vya Israel vikiripoti juu ya mauwaji hayo vilisema kama ifuatavyo: Seven police ocers and at least four demonstrators in Syria have been killed in continuing violent clashes that erupted in the southern town of Daraa last Thursday..... In an uncharacteristic gesture intended to ease tensions the government offered to release the detained students, but seven police ocers were killed, and the Baath Party Headquarters and courthouse were torched, in renewed violence on Sunday. (Gavriel Queenann, Syria: Seven Police Killed, Buildings Torched in Protests, Israel National News, Arutz Sheva, March 21, 2011). Navyo vyombo vya habari vya Lebanon vikasema pia kuwa askari saba waliuliwa na majengo ya chama cha Baath kuchomwa moto. Kinachodhihiri katika taarifa hizi ni kuwa k i n a c h o d a i wa k u wa n i maandamano ya amani sio kweli. Wapo wameba silaha ambao ndio serikali ya Syria inadai kuwa ni maharamia wa kukodiwa kutoka nje ya nchi na wengine wa ndani ya Syria. Ukiangalia katika tukio
New York
HABARI ZA KIMATAIFA
AN-NUUR
UMOJA wa Mataifa (UN) umesema kuwa madai ya Kenya kwamba Eritrea iliwapa silaha wanamgambo wa Alshabab mwishoni mwa mwaka jana hayakuwa sahihi. Uchunguzi uliofanywa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa u m e o n ye s h a k wa m b a Eritrea haikuwapa silaha
KABUL ZILE hisia na kumbukumbu za utesaji, udhalilishaji, chuki na uuaji wa kikatili zimerejea upya baada ya picha za video kuvuja na kuonyesha jinsi askari wa Marekani walivyokuwa wakimkojolea na kuifanyia dhihaka maiti ya mmoja wa watu wa Afghan waliouliwa. Hata hivyo video hiyo iliondolewa mara moja katika mtandao wa youtube.com lakini inaweza kuonekana katika mitandao mingine kwa siri. Tukio hilo limewashtua Pentagon na wakuu wa Jeshi la Marekani na imedaiwa kuwa wameamuru uchunguzi ufanyike juu ya kashfa hiyo. Kwa mujibu wa maosa wa Marekani, tabia hiyo ni kinyume na utaratibu wa kijeshi na sharia za masuala ya kivita. Picha za video za tukio hilo zimevuja Jumatano iliyopita na kwa mara nyingine, zimesababisha wimbi la chuki dhidi ya sera za uongo za Marekani. Picha hizo zimesaidia kufichua taswira i l i y o k u wa i m e j i f i c h a ya Marekani tofauti na taswira wanayojaribu kuidhihirisha kwa sasa
Bi Hilary Clinton, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwamba Marekani i m e k u wa i k i o n y e s h a urafiki na demokrasia dhidi ya jamii ya Kiislamu duniani. V i d e o h i z o zinawaonyesha askari wa n n e wa M a r e k a n i (US marines) wakiwa wamesimama huku wakizikojolea maiti zilizokuwa chini, mbele yao na wakati huo huo wakizifanyia dhihaka. Pentagon imedai kuanzisha uc h u n g u z i dhidi ya mtu aliyechukua picha hizo za video, chanzo ambacho kilivujisha na kutambulisha askari wa jeshi la Marekani walikuwa
wakikojolea maiti kwenye video hiyo. Iliahidi kuwa taarifa zote zitawasilishwa haraka katika chombo cha Usalama cha Marekani. Video hizo zinarejesha kumbukumbu za utesaji ulioonyeshwa katika picha zilizochukuliwa katika gereza la Abu Gharaib nchini Iraq mwaka 2004, ambako maofisa wa M a r e k a n i wa l i a m u r u kutokuwepo kamera au chombo chochote cha kurekodi ambapo vifaa vyote vinavyoweza kurekodi viliondolewa katika vituo vyote vya ukaguzi vya vikosi vya Marekani. Hata hivyo hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa dhidi ya askari waliohusika na udhalilishaji ambao vielelezo vyao baadae vilitupwa baada ya picha zilizovuja kusababisha sifa mbaya dhidi ya vikosi vya Marekani. Tu k i o h i l i p i a lilichukiza ulimwengu wa Waislamu na kuongezeka kushambuliwa vikosi vya Marekani. Kitendo kilichofanywa na askari wa vikosi v ya M a r e k a n i n c h i n i Afghanistan cha kutoheshimu maiti, hakina jipya zaidi ya kuonyesha ukatili uliokithiri wa askari wa Marekani.
6 AN-NUUR
Makala
ABUBAKAR Mohamed Saleh Tambaza (kulia) wakati wa uhai wake akiwa na Dkt. Ramadhan Dau. Ala kumbe Mzizima na alizikwa makaburi ya Kisutu. watu wake bado ipo. Hali Maziko ya Abdulwahid hii hutokea kwa ghaa na bila Sykes yaliacha historia. taarifa pale Dar es Salaam Ilikuwa nani ni nani katika inapompoteza mtu wake. Dar es Salaam. Kwa mara ya Hapo ndipo utaua kuwa Dar kwanza Nyerere alionekana es Salaam ingalipo na ina watu akitembea kwa miguu nyuma wake. Achana na maneno ya jeneza kutoka nyumbani kuwa Dar es Salaam hii ya kwa mama yake Abdu Mtaa sasa ati haina mwenyewe. wa Lindi kuja Msikiti wa Hakuna mali isiyokuwa na Kitumbini. Baada ya hapo mmiliki wake. Utaua Dar es yakaja mazishi ya Sheikh Salaam ina wenyewe mmoja Kassim bin Juma mwaka wa watoto wa Dar es Salaam 1993, Sheikh Aboud Maalim anapokutwa na faradhi mwaka 2006 na Sharifu (mauti). Maziko ya Abubakar AbdulQadir Juneid. Umma Mohamed Saleh wa Tambaza, uliojitoleza kuja kumzika hayajapata kuonekana. Dar es Sheikh Kassim ulitisha. Dar es Salaam ina historia Salaam ina historia ya maziko ya watu wake. Kumbukumbu ya kuwaenzi watu wake za mazishi katika historia ya maarufu. Sheikh Idrissa Dar es Salaam zinaonyesha alikuwa Khalifa wa Tarika kuwa mazishi ya kwanza Askariyya aliyoianzisha makubwa yalikuwa ya Sheikh yeye mwenyewe. Tarika hii Idrissa bin Saad. Sheikh Idris ina murid wengi kutoka alifariki mwanzoni mwa sehemu za Ruji na Kilwa. miaka ya 1950 na alizikwa Sheikh Amri Abeid alikuwa ndani ya msikiti wake Mtaa katika kundi la Waislam wa wa Narungombe, Kariakoo. mwanzo kushika madaraka Jeneza lilitoka nyumbani ya juu serikalini. Abdulwahid kwake na nyumba yake alifahamika zaidi kwanza ikitazamana na msikiti wake kutoka kwa sifa aliyokuwa lakini ilikuwa kazi kubwa n a yo b a b a ya k e k a t i k a kulikisha jeneza msikitini jamii wakati wa ukoloni wa jinsi umma ulivyokuwa Wajerumani hadi kuingia kwa umejaa. Mkanyagano juu Waingereza. Lakini kubwa ya mkanyagano. Maziko kwa Abdulwahid ni kuwa makubwa mengine yalikuwa alikuwa mwanasiasa kana, ya Sheikh Kaluta Amri Abeid muasisi wa TANU na watu aliekuwa Waziri wa Sheria wa Dar es Salaam walimjua katika Serikali ya Awamu kama mtu aliyemkaribisha ya Kwanza. Sheikh Amri Nyerere mjini na kumwingiza Abeid alifia Ujerumani katika harakati za siasa. mwaka 1963 na maiti yake Sheikh Kassim Juma jinsi i l i r u d i s h w a n c h i n i n a vyovyote ingevyotokea, kuzikwa katika makaburi Allah alimpa kipaji cha ajabu ya Changombe. Yakafuatia akifika mahali hata kama mazishi ya Abdulwahid palikuwa pamepooza basi Sykes mwaka 1968 ambae
Inaendelea Uk. 7
Makala
AN-NUUR
DOSSA Aziz (kushoto) , ABDULWAHID Sykes (aliyesimama) na Mwalimu Nyerere (katikati) wakipanga safari ya Nyerere kwenda UNO mara ya pili Anatoglou Dar es Salaam mwaka 1957. Mzee Yahya Saleh alikuwa kila umri. Sheikh Zuberi sana na wakati mwingine m m o j a wa wa n a c h a m a alipokwenda uani kuwafari akinihadithia habari zangu shupavu wa TANU Tawi la alipewa sifa ya Abuu kuwa kuwa mama yangu alikuwa Mvita wakati wa kudai uhuru alikuwa kimbilio lao kila a k i t a k a k we n d a s o k o n i wa Tanganyika. Tawi hili walipokuwa na matatizo na alikuwa akiniacha kwake hadi lilikuwa Mtaa wa Mvita Dar aliwasaidia na kuwawekea arejee na wakati mwingine es Salaam Kaskazini chini ya heshima zao. Uani kulikuwa akinilaza kitandani kwake. uongozi wa Mtoro Kibwana vilio na kwiki. Mtaa wa Kongo Mwanae Shabaka alibaki kama kama Mwenyekiti na Sheikh na mitaa ya jirani ilikuwa kaka yangu mkubwa hadi H a d a i r M w i n y i m v u a haipitiki. Kila utakapoingilia, alipofariki kiasi miaka mitatu k a m a K a t i b u . I l i p o f i k a iwe umeingia kwa Mtaa wa iliyopita. Mkono wangu wa m wa k a wa 1 9 5 7 Ya h ya Twiga, au Nyati, Matumbi au pole umkie Dk Dau. Hapa Saleh akachaguliwa kuwa kutokea Mtaa wa Msimbazi sitasema mengi. Nampa pole Mwenyekiti wake. Lakini au Swahili kuingia mitaa ya kaka yake Abubakar rafiki asili ya tawi hili lilianzia jirani kama Ruji ilibidi uishie yangu, Abdallah Mohamed Kisutu kisha likahamia huko huko haikuwezekana Saleh wa Tambaza. Hakika Mtaa wa Mvita. Mtoto wa kuifikia nyumba ya msiba. tumeondokewa na Dar es Sheikh Haidar Mwinyimvua Sala ya jeneza haikuweza Salaam ina haki ya kuwa ndiye Imam hivi sasa wa kuswaliwa msikitini kwa mkiwa. Abubakar ataishi Msikiti wa Mwinyikheri kuwa hapakuwa na msikiti miaka baada ya kifo chake Akida. Inasemekana katika ambao ungeliweza kuchukua k w a w e m a w a k e k w a Tanganyika nzima hapakuwa u m a t i u l e wa Wa i s l a m binadamu wenzake. Hivi na tawi la TANU lililokuwa na waliokuwa pale. Ilibidi sala ile sasa hata tanga halaanuliwa nguvu kama tawi hili. Abuu iswaliwe palepale nyumbani harakati za kuhuisha kazi alikujafuata nyayo hizi hizi kwao mbele ya uwanja wao. zake za kulea na kusomesha za wazee wake katika siasa. Haya yalipatikana kuonekana watoto yatima zimeanza Alitoa mchango wake katika mara moja tu katika historia kuzungumzwa na wapenzi tawi lake la Jangwani kwa ya Dar es Salaam. Kwanza wake. Wanasema, Sisi sote kadri ya uwezo wake akiwa ilikuwa katika maziko ya Prof. tukimjua marehemu hali Mwenyekiti Serikali ya Mtaa Kighoma Ali Malima na pili yake ilikuwa ya kawaida CCM Kata ya Mtambani B maziko ya Abubakar. Msafara tu lakini alitoa kile kidogo Mtaa wa Kongo kwa vipindi wa kuelekea shambani kwao alichoruzukiwa na Allah vitatu mfululizo. Vilevile Mabibo ulisindikizwa na akakigawa kwa mayatima, Abuu alikuwa Mwenyekiti askari wa Usalama Barabarani hivi baada ya kuondoka CCM Kata ya Jangwani vinginevyo ingelikuwa shida yeye ndiyo kweli watoto ambayo imejumuisha Makao kuupitisha umma ule wa wale wajiinamie upya kwa Makuu ya CCM Osi Ndogo magari Barabara ya Morogoro ukiwa warejee kule Abuu Mtaa wa Lumumba. Tawi hili hadi Barabara ya Mandela na alikowatoa? la Jangwani hii leo unaweza kuingia Mabibo. Wa p e n z i w a A b u u kulifananisha na tawi lile la Mkono wangu wa pole wamekuja na wazo kuwa Mvita wakati wa kudai uhuru. uende kwa mama yetu Biti ianzishwe Abubakar Tambaza Vilevile alikuwa Mjumbe wa S e l e m a n i N ya u b u g u y u Education Trust Fund kwa ajili Kamati ya Siasa ya Wilaya ambae kila siku akimtia ya kusomesha wale yatima na ya Ilala. Hii ni kamati kubwa machoni Abuu. Huyu Bi watoto anaowalea. Kama sana katika CCM. Mkubwa mimi ni mama Insha Allah zitapatikana Naambiwa kwenye mazishi yangu. Siku moja nilifika fedha nyingi, basi zitatumika yake waheshimiwa wote pale nyumbani baada ya kuwasomesha na yatima walikuwapo wakipigana m i a k a m i n g i n a k a t i k a wengine pia. Abubakar vikumbo. Mbele ya nyumba mazungumzo akanambia, hutoweza kummaliza kila yao Mtaa wa Congo No. 1 Mimi nikimfahamu mama u t a k a v y o s e m a m a n e n o kilipokuwa kinara palijaa yako pale Kipata. Mimi hayatakwisha. Kubwa Abuu wanawake ikabidi wanaume nilipoolewa na baba yenu akifanya haya yote kimya wasogee mbele mitaa ya jirani. nilikuwa nakaa kwa Mama kimya bila kutaka kujulikana Hili si jambo la kawaida kwa Nambaya. Mama yangu na laiti kama si kifo chake, kisomo kusomwa mbali na kafa 1956 na huyu Mama wengi wasingejua wema na nyumba ya msiba. Wanasema Nambaya alikuwa shoga ya huruma yake. Dar es Salaam haijapata mama yangu. Hadi miaka Visomo kumuombea Abuu kushuhudia wanawake wengi ya 1970 nilikuwa nikipita vinaendelea. Vana wa Ilala kiasi kile katika msiba. Uani kumwamkia Mama Nambaya akina Abubakar Mbange kwenye nyumba ya shughuli n a a l i k u w a a k i f u r a h i Inaendelea Uk. 12 walijazana wanawake wa
8 AN-NUUR
Makala
(kumbe wametumwa). Lakini uzuri wa mambo wenyewe wakati mwingine hushindwa kujizuiya wakaropoka, A m e s h a wa h i k u s e m a Bwana Bill Gates kwamba anapenda sana ile njia ya kutumia chanjo mbalimbali katika kupunguza idadi ya watu. Ameyasema hayo wakati kwa muda mrefu sasa zimezagaa habari nchini Nigeria kwamba chanjo wanazopewa akina mama na watoto wadogo, zimewekwa na vitu vya kuwafanya wawe tasa na wakati mwingine huwadunga sindano za namna hiyo bila ridhaa yao wanapokwenda kujifungua. Labda kwa leo tuishie hapo tusianze tena kujiuliza juu ya chanjo zinazohamasishwa kila mwaka hapa kwetu na kupitishwa huko shuleni kwa watoto wa shule za msingi zikiwemo zile tulizoambiwa ni za pepo punda lakini wakipigwa watoto wa kike tu! Turudi kwa Boko Haram na madai kwamba ni magaidi wenye njama za kuuwa Wakristo na kulipua makanisa. Historia ya vita vya wenyewe kwa wenyewe Nigeria ilipata uhuru wake kutoka Uingereza Oktoba 1960 ikiwa na makabila zaidi ya 200 makubwa zaidi yakiwa Hausa, Ibo na Yoruba. Wahausa, wengi wao ni Waislamu wakichukua sehemu kubwa ya Kaskazini, wakati Ibo ambao ni Wakristo wapo zaidi Mashariki ya nchi. Kutokana na taratibu zilizokuwa zimewekwa na wakoloni, kama ilivyokuwa Tanganyika, Ibo walikuta wakiwa ndio wasomi zaidi waliopewa f u r s a ya k u s o m a n a Waingereza ikilinganishwa na Waislamu. Katika hali hiyo, walijiona wao ni bora na ndio wenye haki ya kushika serikali. Lakini kwa vile serikali ilikuwa ya majimbo, ilikuwa hapana budi serikali za majimbo pale ambapo Waislamu ni wengi zishikwe na Waislamu. Muda mfupi tu baada ya uhuru, viongozi wa kijeshi walioshika madaraka, walitaka kuvunja mfumo huo wa serikali za majimbo. Hata hivyo Waislamu wa Kaskazini walistuka Inaendelea Uk. 14
Habari
AN-NUUR
makanisa matatu tu yashawatosha. Uchunguzi wa m wa n d i s h i u m e b a i n i kuwa suala hili la ujenzi wa makanisa na shule za Kikristo, limezua mjadala mkali katika mitandao ambapo wengi wamekuwa wakipinga huku wengine wakisema kuwa wa kulaumiwa ni Wazanzibari wenyewe kwa maana kuwa kama wao wamelala wasidhani kuwa na wengine wamelala au wamekaa tu kupiga porojo, wanafanya kazi. Wa n a s e m a j a p o inaweza kudaiwa kuwa kwamba hii ni njama
ya mfumokristo, lakini Waislamu Wazanzibari nao wameweka mikakati gani na kuitekeleza kukabiliana na njama (conspircy) hizo? Wanahoji. Wanaotoa hoja hiyo wanatahadharisha wakisema kuwa watoto wanaosoma katika skuli za Kikristo hivi leo ambazo zinatoa elimu bora kuliko ilivyo Benbela na nyingine za serikali, baada ya miaka michache ijayo ndio watakaokuwa watawala wa Zanzibar. Lawama kubwa ni sisi wenyewe Wazanzibari, sisi wenyewe wananchi, wananchi ndio serikali
sasa nani wa kulaumiwa ? Skuli haziboreshwi, zimekuwa mahala pa watoto kujifunzia mipasho na uhuni wa kila sampuli, taasisi za Kiislamu na watu binafsi hawajengi na kuendesha shule bora, wakenga wengine tusilalamike. Imeandikwa katika maoni ya mchangiaji mmoja katika mtandao. Ni wajibu wetu kuilinda nchi yetu, dini yetu na Utamaduni wetu, hakuna mwengine wa kuyafanya hayo isipokua sisi Waislamu Wazanzibari. Muhimu Wazanzibari tuelewe kuwa kizazi chetu kitakuja kutulaumu kwa
kuiachia nchi ikichukuliwa na kutoihami dini ya Kiislamu wakati uwezo wa kufanya hivyo tunao. Ameongeza. Wa l i o c h a n g i a wa k i wa n a m t i z a m o h u u wa n a s e m a k u wa kulalamika haisaidii kitu na la muhimu kufahamika ni kuwa kila jamii ina haki ya kujiimarisha ili kuhakikisha uwepo wake kwa vizazi vavyo. Kwamba kama Waislamu wa Zanzibar hawafanyi harakati za kuwaendea Wakristo wa Bara na kuwaita katika Uislamu, Wakristo wa Bukoba na Tukuyu wao waka Tomondo na Chake, huwezi kuwalaumu. Zipo taasisi kama JUMIKI, JUMAZA na UAMSHO, je, hizi zina mpango wa kuwaendea Wakristo wa Kyela, Kibosho au Sumbawanga? Sasa kama hazina mpango huo, wa kulaumiwa sio Kadinali Pengo anayetuma vijana wake kuweka misingi ya kuimarisha Ukristo na kudhoosha Uislamu Zanzibar. Kwa upande mwingine imeelezwa kuwa nguvu kazi na rasilimali kubwa ya Waislamu imekuwa ikitumika katika siasa zisizo na munufaa kwa jamii badala ya kuzielekeza katika mambo yenye ta. Kama ule umati unaokusanyika katika mikutano ya CCM na CUF ungeelekezwa katika jambo moja tu dogo na jepesi la usafi wa mji, leo Zanzibar isingekuwa chafu kiasi hiki, lakini tembea mjini uone na labda ulinganishe na mi mingine ya Tanzania. Amesema Sheikh mmoja ambaye hata hivyo hakutaka kutajwa jina lake gazetini. Sheikh huyo ambaye anawalaumu wanasiasa kwa kushindwa kutumia nguvu kazi ya mashabiki wa o k u f a n ya m a m b o yenye manufaa kwa nchi, amewalaumu pia viongozi wa Kiislamu kwa kushindwa kuwatumia waumini wao kuendeleza Uislamu badala yake nao wamebaki wakilaumu makanisa.
10 AN-NUUR
MAKALA
Na Khalid S Mtwangi HIVI karibuni nikiwa nimesaidiwa kupelekwa nyumbani ndani ya gari nzuri ya kisasa RAV4, gari ambazo leo hii ndio zinaliliwa na wengi wenye mapesa ya wale walioula hivi karibuni. Safari yetu alianzia sehemu moja ya Tabata.. tukielekea Mwenge mpaka Mikocheni B hapo Dar es Salaam. Hapo Tabata ilibidi tupite karibu ya lile Kanisa kubwa la Katoliki likiitwa Christ the King. Hakika huyu Rasulullah AS wanayemwita YESU, kapewa majina na sifa nyingi sana ambazo zinginde ni kufuru tupu. Wakati mwingine hukiria kuwa kama angerudi leo akaona na kusikia yale yanayoelezwa kumhusu yeye na akapoona mapicha na masanamu ambayo yote hayo yanasemekana ndiye yeye, basi bila shaka angejinya kwa nguvu kujihakikishia kama kweli yuko macho na akili timamu na hayo anayoyaona na kuyasikia sio ndoto. Tusubiri wakati atakapo rudi huku duniani kama tunavyofundishwa na Kuran. Kwa sasa turudi kwenye gari na hawa waliyonipa li wote wakiwa wanandugu damu. Karibu ya kanisa hilo pana bango lililoandikwa CATHOLIC UNIVERSITY OF(yaani CHUO KIKUU CHA KIKATOLIKI CHA). Kila aliyekuwemo ndani ya gari hilo aliliona hilo bango na ni mmoja wao ndiye alilisoma kwa sauti na sote tuliokuwemo ndani ya gari tulisikia. Mimi nilishtuka na kusema kuwa hawa jamaa watatutawala milele, hicho labda ni Chuo Kikuu chao cha kumi nchini humu. Kingine wameanzisha huko Bagamoyo ambao hakika ni mji wa Kiislamu. Basi hapo nilichokoza nyuki. Hawa jamaa walionipa li walianza kinishambulia mimi na Waislamu wote wa nchi hii. Wanandugu hawa, wakiwa mmoja mwanamume na wawili wanawake, walinisuta
WAHITIMU wa kozi ya awali ya KUTAYBA katika mahafali yaliyofanyika Mwenge Islamic Centre mwishoni mwa wiki. (Picha na Abdulkarim Msengakamba)
wakisema kuwa Waislamu i m e k u wa k a z i ye n u n i kulalamika tu hamfanyi lolote kujiendeleza. Haiwezekani h a w a Wa k a t o l i k i a m a Wakristo wote kwa jumla wasite kuleta maendeleo yao ili kuwasubiri ninyi Waislamu mkipiga domo tu. Naribu sana kujitetea na kuwatetea Waislamu kama vile kuwatambulisha historia ya chini humu ikiwahusu Waislamu tangu kabla ya uhuru mpaka baada ya uhuru. Hayo kweli wao wasingeweza kuyafahamu; wao wote wamezaliwa baada ya uhuru na labda ni bahati mbaya kuwa walipopata fahamu hasa ya kujua kuna nini duniani humu walikuwa nje ya nchi. Halafu kama inavyojulikana miongoni mwa Waislamu wengi, historia ya nchi hii imeandikwa na kufundishwa kutegemea nani anaieleza. Wote hawa waliokuwa wakinishambulia wana elimu ya Chuo Kikuu. Lakini inastaajabisha jinsi gani walivyo tupu kuhusu historia ya Waislamu na Uislamu nchini humu. Inawezakana kuwa mzazi n a ye a l a u m i we k u k o s a kuwaeleza angalau machache juu ya hayo yaliwasibu Waislamu nchini humu kwa muda mrefu sana. Lakini ukweli ni kwamba hawa wote ni wasomi wenye shahada za Vyuo Vikuu, hivyo wanategemewa kujua mengio yanayo endelea humu Tanzanioa hasa baada ya kelele nyingi zinazopigwa na Waislamu ambazo wao wamezisikia. Hata hivyo si vibaya tukaribu kutafakari hoja walizotoa huku wakinishambulia. Ukweli ni kwamba Wa i s l a m u wa n c h i h i i hawajitutumui vya kutosha katika kuwatafutia elimu watoto wao hasa wakati huu kila Muislamu anafahamu kuwa kuna dhulma kubwa inapitishwa nchini humu dhidi ya Waislamu. Ikubalike kuwa hivi sasa kuna shule nyingi zaidi zilizojenmgwa n a z i n a z o e n d e s h wa n a Waislamu kuliko wakati wowote katika historia ya nchi hii. Pengine huu ni ukweli ambao wale jamaa walionipa lift ndani ya gari yao hawakulikumbuka. Hii maana yake ni kuwa s i o k wa m b a Wa i s l a m u wanalalamika tu, bali nao wanafanya kwa vitendo kujierndeleza katika elimu. Lakini swali la kujiuliza ni kama wao Waislamu wana kasi ya kutosha kukabiliana na nia ya Makanisa kuendelea kuitawala nchi hii. Nadhani hilo ndilo lilikuwa linawatuma hawa vijana kunishambulia kiasi kile. Lilikuwa ni juhudi ya kujivunia sana pale hivi k a r i b u n i p a l i p o i t i s h wa tamasha pale uwanja wa taifa kuchangisha pesa kujenga na kuanzisha kitu cha televisheni cha Waislamu nchini humu. Waislamu waliitikia wito huo kwa shauku kubwa sana. Uwanja ulifurika, takriban kila aliyekuwa na nguvu ya kutembea alika na kila aliyeweza kuchangia angalau kwa shilingi moja alitolea. Hapa jambo linalojitokeza ni kwamba Waislamu wako tayari kujitolea kwa hali na mali kuuendeleza Uislamu na kujiendeleza wao wenyewe. Sasa Kitu gani kinatokea mpaka kunatokea hawa wasomi walionipa lift kunishambulia kiasi kile? Ukweli ni kwamba Wa i s l a m u wa n c h i h i i wanakosa uongozi uliothabiti na wenye ukereketwa wa hali ya juu sana juu ya Uislamu wao. Uongozi unaojulikana nchini na uliopewa ulingo peke yao kwa muda mrefu umekuwa ni BAKWATA. Lakini historia ya kusikitisha ya chombo hicho ambacho kimekuwa kikidai kuwa ndicho kinachowawakilisha Wa i s l a m u , i m e k u wa ya kusikitisha sana. Hakika wao sio wawakilishi wa Waislamu hata kidogo. Kuna vyama vingine vimeibuka kwa minajili ya kuutumikia U i s l a m u n a Wa i s l a m u ; navyo ufanisi wao umekuwa duni ingawa wao labda sio wasaliti wa Uislamu. Hivyo sivyo ilivyo miongoni mwa Wakristo. Wasomaji watakumbuka kuwa Kanisa Katoliki na viongozi wa m a k a n i s a m e n g i n e walipoamua kukiunga mkono chama cha siasa cha CHADEMA sio mapadri tu ndio waliingia ulingoni. Ilikuwa wazi kabisa wasomi wengi, kama sio wote, walio Wakristo waliunga mkono harakati hizo. Ni wao ndio wa l i o t u n g a k wa f a s a h a lile tamko la kanisa juu ya uchaguzi. Hilo halikutosha walitoa pia Ilani ya Uchaguzi a m b a y o i l i a n d i k wa n a wasomi pamoja na wale walio katika utumishi Serekalini. Bila shaka itakumbukwa kuwa nyaraka zote hizo mbili zilikuwa za ubaguzi mkubwa wa kidini ukilenga kutaka Mfumo Kristo uendelee kuitawala nchi hii. Hebu turudi tena kwa wale wanadungu walionishambulia wakisema
kuwa kama walivyo Waislamu wengine mimi pia nimezoea kulalamika tu. Kuna jambo moja ambalo lazima Waislamu walitafakari kuwa hakika jamii ya Kikristo huwa tayari kuutumikia Ukristo wao kwa hali na mali. Ndugu yangu mmoja Mkristo ananiambia kwamba katika lile kanisa la Lutheran lililopo Tangi Bovu huweza kukusanya mpaka shilingi milioni sita siku ya Jumapili. Hiyo ninngwe ambayo Waislamu hawawezi kuikataa. Hakika ziko sababu. Lakini pia itambulike kuwa maendeleo yote haya wanayotutambia Wakristo ni misaada kutoka kwa ndugu zao nje ya nchi. K a n i s a K a t o l i k i l i k i wa mfano linajulikana kuwa tajiri sana takriban kushinda makanisa mengine yote. Walokole walio Marekani wako tayari kutumia kiasi chochote cha mapesa kujaribu kuuwa Uislamu. Nimewahi kuhakikishiwa mara mbili na viong ozi wawili wa makanisa tofauti kuwa mara nying kazi za maendeleo kama vile ujenzi wa shule na kadhalika, miradi hiyo husimamiwa na waumini kutoka nje ya nchi. Yaani Wazungu ama Marekani. Suala hapa analoweza kujiuliza Muislamu ni kiasi gani mashirika ya Kiislamu yaliyo nje ya nchi hii yako tayari kuwasaidia Waislamu wa Tanzania kupambana na dhoruba ya Mfumo Kristo unaowaathiri sana Waislamu wa Tanzania. Bado tu turudi kwa hawa waheshimiwa walionipa li na jinsi walivyowakosoa Waislamu ati kazi yao ni kulalamika tu. Haya ni pamoja na jitihada yote wanayoifanya Waislamu leo kujaribu kujenga shule zao nyingi nchini. Jambo moja ambalo niliwakumbusha na ambalo hawakunipa jibu ni kuwa wote hao ni wanachama wa chama cha wanataaluma wa K i i s l a m u Ta n z a n i a . Niliwauliza lini walihudhiria kikao cha chombo hicho muhimu kinachojikita k wa a r i z o t e k u t a f u t a maendeleo ya Waislamu. Mimi nafahamu kuwa hata pale ulipoitishwa mkutano wa k u c h a g u a v i o n g o z i wapya wa chombo chao TAMPRO, hawa wanadugu hawakuhudhuria. Kweli watu kama hawa, vana kama hawa wanaojiita wasomi, wanaweza kuwa na haki ya kunikosoa mimi na Waislamu wengine kiasi kile?
MAKALA
AN-NUUR
11
USTADHA Pendo Masasa (kushoto) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu wa kozi ya awali ya KUTAYBA katika mahafali yaliyofanyika Mwenge Islamic Centre mwishoni mwa wiki. (Picha na Abdulkarim Msengakamba) za msingi katika nchi za misingi ya Uislamu, basi ya utakaso, kusafisha. Ulaya na Amrika Kaskazini. katika kipindi kifupi ufa Kama ilivyoelezwa, lengo Wastani wa kipato kwa uliopo baina ya umasikini kuu la kutolewa zaka ni wenye mishahara ya juu u l i o b o b e a n a u t a j i r i kuwasaidia masikini. Hawa kwa sasa ni zaidi ya mara u l i o k ithiri utaondoka. ni watu wasiokuwa na tisa ya pato la watu wa Mojawapo ya utaratatibu nyenzo za kutafutia riziki. kipato cha chini. Shirika wa kuondoa tofauti hizo Kuwasaidia maskini ambao Moja la utati la Ufaransa na kuongeza uwezo wa wa m e s h i n d wa k u p a t a lenye maskani yake Paris k i m a i s h a wa wa t u n a mahitaji muhimu katika (OECD) limeeleza katika hatimaye kuepukana na maisha yao, kuwasaidia ripoti yake. tatizo la umasikini katika wenye madeni, ambao Tofauti ya pengo hilo la Uislamu ni Zaka. walilazimika kuingia katika kipato kati ya cha juu na Zaka ni nguzo ya tatu ya madeni lakini wakashindwa kile cha chini imeongezeka Uislamu. Hii ina maana kwa kulipa madeni yao. hadi kukia asilimia kumi Muislamu, ni wajibu kwake Zaka pia hutolewa tangu katikati ya miaka kutoa Zaka ya mali yake, kwa watu waliokwama ya 1980s. Asilimia kumi ambayo imekia kiwango safarini, kuwasaidia wale 10 ya wakazi wote duniani cha kutoa Zaka na kwa muda waliosilimu na wakawa ndio wanaomiliki utajiri wa uliowekwa wa kutoa zaka w a n a h i t a j i m s a a d a . dunia kwa asilimia tisini hiyo kisheria. Zaka inaweza Kama inavyofahamika, 90. Hii ina maana kwamba k u t o l e w a k w a f e d h a , wanaosilimu wakati mwingi asilimia 90 ya watu duniani mazao, mifugo, madini n.k. hukumbwa na matatizo wananyanganyana asilimia Zaka hizo hukusanywa na mengi kama vile kutengwa kumi 10 za utajiri uliosalia. kupewa makundi ya jamii na waliokuwa jamaa zao au Kama sio kibri na dharau, yanayostahiki kupewa kwa kunyanganywa mali zao basi watu wangekuwa mujibu wa sharia. Kama walizokuwa nazo kabla ya wepesi kutambua kwamba tutakavyokuja kuona huko kusilimu, kufukuzwa katika U i s l a m u a m b a o t a n g u m b e l e . M s i n g i m z i m a nyumba, kazi n.k. zama na zama (miaka wa Z a k a a t n a h e k i m a Zaka pia hutumika 1400 iliyopita) ulikuja na yake ni kumfahamisha k u f a d h i l i m i r a d i y a suluhisho kamili la matatizo mwanadamu kuwa mali Kiislamu na pia hutumika yote haya ya kimaisha kwa aliyojaaliwa kuwa nayo, k u w a l i p a m i s h a h a r a binadamu likiwemo tatizo ni kutoka kwa Mwenyezi maafisa wanaoikusanya la uadilifu katika mgawanyo Mungu. Kwa maana hiyo zaka yenyewe. wa utajiri wa dunia. Mfumo mwanadamu amepewa Iwapo nguzo ya Zaka ambao ukitekelezwa kwa mali hiyo ili iwe njia kwa ingetekelezwa kikamilifu vitendo na kwa dhati, shida yeye kutoa riziki kwa watu katika zama tulizonazo, ni zote hizi, umasikini,njaa, wengine. dhahiri kwamba ingeweza maradhi nk. Ungekuwa Kutoa zaka vile vile ni kuondoa hali hii ya umasikini historia kwa wanadamu. kuitakasa mali aliyonayo katika jamii hususan kwa K a m a w a l i m w e n g u mja na kuiwezesha kukua Waislamu kwa kipindi watakubaliana kuyafanyia zaidi. Ndio maana Zaka kifupi sana. Ingeondoa kazi mafundisho ya Uislamu katika Lugha ya Kiarabu pengo kati ya wanye nacho na kutatua matatizo ya i n a m a a n a ya k u k u a , na wasio nacho, maradhi, kiuchumi kwa vigezo na kuongezeka, na ina maana Inaendelea Uk. 12
12 AN-NUUR
Barua/Shairi/Tangazo
Mwenyezi Mungu kuwa umenichanganya! Na sui niseme nini? Halafu alijizatiti na kusema: Lakini mimi simtaki, kwa sababu ananipiga na ni bahili. Nilimwambia: Mimi sikatai kuwa ana sifa ya ubahili na kwamba anakupiga. Lakini huyu mume ana mema mengi sana na, kwa hiyo, unaweza kuishi naye. Ama ubahili na kupiga ni masuala yaliyo na dawa, na dawa yake sio talaka. Wewe unazijua athari za kisaikolojia (matatizo ya nafsi) na ya kijamii kwa mke na watoto wake baada ya kuachwa Alisema: Niache nilitafakari zaidi suala hili. Aliondoka na hakurudi. Mwisho wa tukio hili la kweli, nasema: Tatizo la mwanadamu ni kwamba daima anayatilia uzito mabaya ya upande mwengine (mwenzake) na haangalii mema yake. Hii ni dhulma kubwa. Mwanadamu ana mema yake na mabaya yake. Wewe yaainishe mabaya na yawekee mkakati wa kuyatibu. Katika maisha, hakuna lisilowezekana ikiwa mwanadamu anajiamini na kumtegemea Mola wake.
N I K I WA n i m e k a a mahakamani nikipitia kesi za ndoa na talaka, alinia mwanamke aliye k a t i k a u m r i m d o go . Alinisalimia na halafu akasema kuwa: Naomba uniachishe kwa mume wangu. Nilimuuliza: Je, naweza kujua sababu iliyokusukuma uombe talaka? Alisema: Hakuna pingamizi. Madamu nimefika mahakamani, hakuna kizuizi cha kutaja kila kitu. Nilimwambia: Vizuri. Tafadhali kaa na shika hii karatasi na kalamu. Aliniangalia kwa mshangao, halafu akasema: Kwa nini kalamu na karatasi? N i k a m wa m b i a : I l i uniandikie mabaya ya mume wako na sababu zilizokusukuma uje mahakamani. Alisema: Vizuri. Lakini nipe muda. Halafu alikaa kwenye k i t i n a k u f i k i r i k wa dakika chache. Halafu alinia na kunipa karatasi. Niliitazama na kukuta imeandikwa hivi: Mume wangu wakati mwingine ananipiga. Yeye ni bahili na hanipi matumizi. B a a d a ya k u i s o m a karatasi ile, nilimwambia:
ya Waislamu ingeinuka na huo nadhani ungekuwa ndio mfuko wa kuigwa na ungewakomboa watu katika pingu za umasikini. Iwapo mfumo wa zaka ungetumika na kueleweka
vyema kwa Waislamu, kungekuwa hakuna haja ya Waislamu kujiunga na mifuko mingine ya kamii ambayo kwa njia moja au nyingine ni ya kidhulumati na kinyonyaji .
wanataka kufanya kisomo. Akina mama wamefanya kisomo kwa siku tatu m f u l u l i z o , wa s o m a j i tajwid wamesoma Quran na kuwaliza wengi, utenzi u l i o t u n g wa m a h s u s i kwa ajili ya Abuu ndiyo uliomvujisha machozi msomaji na wasikilizaji. Wazungumzaji fasaha wa Dar es Salaam, Ramadhani Mababida na Haji Sunday Manara wameshidana katika kumueleza Abuu. Qari mkubwa, bingwa wa mabingwa wa tajwid
Sheikh Masoud Adam alitaka aisome Qur an mubashara kutoka Uingereza kupitia simu na simu iunganishwe na vipaza sauti waombolezaji wamsikie lakini kwa bahati mbaya haikuwezekana. Abuu mdogo wangu sikukujua, nimekuja kukujua haupo duniani. Mola atupe sote moyo wa subira. Tunamuomba Allah amsamehe A b u b a k a r m a d h a mb i yake na amjazie pale palipopungua na amlipe Pepo na atukutanishe Peponi na Abuu. Amin. Mohamed Said 15 January 2012
Makala
AN-NUUR
13
BAADA ya kikao cha Halmashauri Kuu ya chama cha NCCR-Mageuzi kufikia uamuzi wa kujivua gamba la David Kafulila, mgeni ndani ya chama hicho aliyekipatia ushindi jimbo la Kigoma Kusini katika uchaguzi mkuu mwaka jana, hali ya siasa nchini imetibuliwa. Vilio vinasikika kila mahali kuwa hakuna demokrasia katika vyama vya siasa, na kila juhudi inafanyika kubatilisha uamuzi huo, ambao kwa hali yoyote ile umekiwa na kikao halali kutokana na mausala ya nidhamu ambayo hayakuwa siri, siyo majungu ya makundi halafu maamuzi yatoke. Wanachopigania wanaharakati katika suala hilo ni uhuru wa Kafulila kujieleza, ila hawasemi nidhamu ni nini. Kuna kanuni moja muhimu ya kimaadili ambayo aliivunja mbunge Kafulila, kuwa ikiwa mtu anayo nafasi fulani katika kampuni au ushirika wa aina moja au nyingine, ikiwemo chama cha siasa, halafu anazuka mtu anakuwa kiongozi, anaweza kushindana naye, akijihisi hivyo. Ila pale ambapo uwepo wa mtu huyo wa pili (kuacha yule aliyeibuka katika uongozi) unatokana na fadhila za huyo kiongozi, anakuwa na wajibu wa utii kwake mradi yuko katika hadhara au ushirika huo, kwani hawezi kufuta fadhila, au kumaliza kipindi cha fadhila. Kama akisahau hilo, akaanza kushindana naye kana kwamba ameibuka tu na hadai fadhila zozote kwake, ni kosa. Mtu anapotenda kosa la kimaadili, siyo kwa tendo lenyewe kama ni baya au ni jema ila kwa kusahau fadhila, wema aliotendewa, na kutoona thamani ya deni hilo katika mwelekeo wake kiutawala, yaani utii kwa yule aliyemfanyia fadhila, lazima mambo yake mbele ya safari yaharibike. Sababu ni kuwa mahusiano kati ya watu siyo ya kwao tu ambako pepo haihusiki ila ni mtiririko wa mahusiano ambayo yanaleta baraka au madhara, kwani kile tendo mtu analotenda linalokiuka maadili kwa kiwango fulani, na hasa
inapokuwa wazi kabisa tatizo ni nini, humfanya mtu avute balaa moja au jingine kuelekea kwake. Ni kujiondolea fadhila, udhurike. Hiyo ndiyo hali ambayo inaelekea ameingia mbunge huyo wa Kigoma Kusini, aliyechukua nafasi ya mbunge wa siku nyingi Manju Msambya, sababu mojawapo ikiwa kwamba Msambya alikuwa naibu waziri awamu ya tatu, halafu akawa mbunge wa kawaida. Mbunge anapopoteza hadhi kitaifa inakuwa rahisi zaidi kushambuliwa katika jimbo, na mengi yataorodheshwa ambayo aliahidi na hakufanya, kwani hakuna mbunge aliyeondoa hali ya kukosa maendeleo au kuwepo kwa umaskini, hata uliokithiri, jimboni kwake. Suala la kuendelea na ubunge siyo tu kuwa linategemea kiwango cha utekelezaji wa ahadi bali haiba ya mbunge husika, nchini na jimboni. Utati muhimu wa Idara ya Siasa na Utawala ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuelekea uchaguzi mkuu, unaofanyika katika vipingi cha uchaguzi wa bunge na rais, kuanzia mwaka 1965 hadi 1975 ulidhihirisha kuwa wabunge takriban nusu kati ya wale ambao hawakupewa nafasi za uwaziri na uwaziri mdogo waliondoka katika nafasi zao. Pale mbunge anapokuwa waziri au waziri mdogo inakuwa rahisi zaidi kwake kupata kura kwa sababu wananchi wanaamini anayo nafasi kubwa zaidi ya kuvuta miradi ya maendeleo jimboni, tofauti na pale anapokuwa mbunge wa kawaida. Waziri, naibu wa z i r i a n a n a f a s i ya kufuatilia kwa nguvu, au kuamrisha. Kielelezo kingine cha wapinzani kama David Kafulila kupata ubunge katika eneo ambalo mbunge aliyepo amekaa muda mrefu kilitolewa na John Cheyo, mbunge wa Bariadi Mashariki (UDP) wakati wa mjadala kuwa ubunge uwe na ukomo wa vipindi. Alisema katika mdahalo kuwa wazo hilo
ROSTAN Aziz
msingi wake ni dhana kuwa mtu anapokuwa amekalia kiti cha ubunge inakuwa ni rahisi kukitetea, hivyo wengine wenye mawazo mazuri ambao wanaibuka hawapati nafasi ya uongozi, dhana ambayo alisema siyo sahihi. Alieleza kuwa mbunge ambaye yuko kitini ana kazi kubwa ya kutetea alichofanya, wakati mpinzani anaweza kuibuka, akaongea vyema, akashinda. Unaweza kuchukua mfano rahisi siyo kwa k u a n g a l i a r e k o d i ya mbunge huyu au yule kwani siyo rahisi kuweza kujumuisha watu wengi kutathmini aliyofanya mbunge katika jimbo lake, nje ya hadhara ya jimboni, lakini katika kampeni za urais. Wapiga kura wengi walivutiwa tu na kaulimbiu ya Jakaya Kikwete, mgombea wa CCM, kuwa ataongoza kwa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya, akashangiliwa katika maeneo mengi huku kila mmoja akenga picha anayotaka kuhusu ari, nguvu na kasi, na kuipigia mahesabu kwa mujibu wa sera ambazo anaziona zinafaa, na zitekelezwe kwa kasi hiyo. Kutetea kaulimbiu hiyo haikuwa rahisi hata kidogo.
K w a m a a n a hiyo inawezekana kuchaguliwa kwa David Kafulila hakudhihirishi kuwa anachosema au kudhamiria kutenda ni sahihi au kilikuwa na mantiki zaidi kuliko Manju Msambya, ila mazingira ya mgombea wa CCM kueleza alichofanya yalikuwa duni ukilinganisha na uwezo wa Kafulila wa kuinua hisia mpya, za matumaini. Lakini hakufikia hapo kwa juhudi zake ndani ya NCCR-Mageuzi kwa miaka mingi, au kutokea serikalini au CCM halafu ikawa faraja kwa NCCRMageuzi kupata kada mpya. Alifanyiwa fadhila na mwenyekiti James Mbatia baada ya kukosana na wakuu wa Sekretariati ya Chadema, akapata hifadhi mpya, akapewa nafasi agombee. Kwa msingi wa kanuni hizo za fadhila a n g e m wa c h i a M b a t i a asimame mwenyewe mapambano yake n a wa k i n z a n i k a t i k a NCCR-Mageuzi, ambao wamekuwa naye muda wote, wasiokuwa na deni la fadhila kutoka kwa Mbatia. Hao wako huru kumkosoa au hata kutaka kumvua gamba, yaani kuivua NCCR-Mageuzi
gamba la kuongozwa na Mbatia, lakini kimaadili yeye Kafulila hakuwa na uhuru huo, kwani ana deni la fadhila kutoka kwa Mbatia, kuwa angemwona ni mgomvi, akamtaka adhihirishe kwanza utii ndani ya chama kipya, asingefikia hapo alipo au alikofikia. Kwa hiyo Kafulila hakuwa ametilia maanani deni la fadhila, na hiyo inaweka wingu baraka zake. Kinachoshangaza, nje ya ujana na utovu-siasa wa Kafulila mwenyewe, ni kuumwa nyonga kwa wanaharakati kuhusu suala hilo, na kuanza kupiga debe kuwepo demokrasia katika vyama vya siasa, kuwa mbunge awajibike kwa wananchi na siyo kwa chama, n.k. Hoja zote hizo zimewahi kusikika kama sehemu ya majadiliano ya kidhanifu kuhusu katiba inayotakiwa, kama mfumo wa vyama vingi umekaa vyema au unahitaji marekebisho, lakini mjadala wa sasa ni tofauti. Nia yake ni kuzuia David Kafulila asiwajibike kwa mujibu wa maamuzi ya Halmashauri Kuu ya NCCR-Mageuzi, wakati hakuna hata mmoja wao aliyetaka Rostam Aziz awajibikie Igunga W a k a t i wanashambuliwa wabunge ambao w a n a h a r a k a t i hawawapendi, wale wanaoshiriki kuingiza biashara katika mashirika ya umma badala ya mashirika hayo kuchotewa pesa za kutosha serikalini yafanye manunuzi yao wenyewe, hakuna mwanaharakati anayelilia wananchi waamue. Hakuna hata mmoja kati ya wabunge hao ambao wamepigwa vita kwa nguvu CCM ambaye ana tatizo lolote katika jimbo lake, lakini kwa masuala yao wanaharakati wanatanguliza salamu, kwa njia ya vichwa vya habari na matamko mazito, kuwa uthabiti wao katika uongozi sasa b a s i . A k i v u t wa s h a t i mwanaharakati mwenzao a s i ye t a m b u a f a d h i l a , wanageuka mbogo, siyo?
14 AN-NUUR
Inatoka Uk. 8
wakiona kuwa huo ni mpango wa Waibo kutaka serikali yote ishikwe na Wakristo. Biafra ambayo baada ya kujitenga iliitwa Jamhuri ya Biafra, lilikuwa jimbo lililojitenga muda mfupi baada ya uhuru. Nchi ilipopata uhuru, Dr. Benjamin Nnamdi Azikiwe, Mkristo kutoka kabila la Ibo alichaguliwa kuwa Rais. Nafasi ya Waziri Mkuu akapewa Sir Alhaj Abubakar Tafawa Balewa, Muislamu kutoka Kaskazini. Serikali ya Dr. Azikiwe na Alhaj Tafawa Balewa ilidumu hadi Januari 1966, ambapo yalifanyika mapinduzi ya kijeshi. Mapinduzi haya yaliyofanywa na maosa wa kijeshi kutoka kabila la Ibo, wakiongozwa na Meja Emmanuel Ifeajuna yalifuatiwa na mauwaji ya kutisha. Kwanza aliuwawa Waziri Mkuu A l h a j Ta f a wa B a l e wa pamoja na wanasiasa waandamizi Waislamu akiwemo kiongozi wa Jimbo la Sokoto Alhaj (Sir) Ahmadu Bello. Waliuliwa pia takriban maofisa wote wa ngazi za juu katika jeshi walio Waislamu kutoka Kakazini. Lakini ukiacha kuondolewa madarakani, Rais Benjamin Azikiwe, hakuguswa bali baadae alipewa cheo cha kuwa mshauri wa Ojukwu Biafra ilipojitenga. Kufuatia mauwaji hayo na mengine yaliyofanyika mitaani wakiuliwa raia, Waislamu waliyatizama mapinduzi hayo kama m o j a ya m i k a k a t i ya kutekeleza kurusedi dhidi yao na wala sio kama masuala ya kisiasa na kugombea madaraka. Hali hiyo ilichochewa zaidi na vyombo vya habari vya Lagos ambavyo vilionekana wazi kuunga mkono mauwaji na wauwaji badala ya kulani. Lakini baya zaidi, Rais aliyechukua madaraka baada ya mapinduzi, Meja Jenerali Johnson Aguiyi-Ironsi, alikataa kuwakisha mahakamani watu walioshiriki kuuwa Waislamu. Badala ya kuchukua hatua za kutuliza hali, Rais Johnson Ironsi alikuja na kitu kilichoitwa Ironsis Decree Number 34, ambapo alitaka mfumo wa majimbo upigwe marufuku. Hii ilitasiriwa kuwa ni njama z a Wa k r i s t o k u s h i k a
Makala
Ghost Fathers ya Ireland, Caritas International, Mark Press na U.S. Catholic Relief Services. Nchi kama Marekani haikujitokeza waziwazi, lakini ikitoa msaada kwa Biafra kwa siri. Ndege zake za keshi zenye misaada na vifaa zilikuwa zikiruka kutokea Lisbon, Ureno na zikiingia Biafra usiku tu ili zisionekane na wakati mwingine marubani wakilazimika kuzima taa. B a a d h i ya t a a r i f a zinaonyesha kuwa ili kufanikisha kazi ya kupeleka misaada na vifaa vya keshi Biafra, ilikodiwa ndege maalum iliyopewa jina JCA - Joint Church Aid, lakini marubani wakipenda kuiita Jesus Christ Airlines. Inaelezwa kuwa wakati wote huo wa vita uwanja wa ndege wa Uli, Biafra, ulikuwa ndio uliokuwa katika harakati nyingi za kutua na kuondoka ndege kuliko uwanja mwingine wowote Afrika. Inakisiwa kuwa uwanja huo ulikuwa ukipokea zaidi ya ndege 50 kwa siku. Labda jambo la kukumbusha hapa ni kuwa wakati harakati hizi za kujitenga zinaendelea, serikali ilikuwa ikiongozwa na Mkristo ila tu akitoka Kaskazini, lakini ilionekana kana kwamba ile tu anatoka Kaskazini kwa Waislamu, Wakristo wenzake wa kabila la Ibo hawakumwamini. Lakini niseme pia kwamba suala hili la udini, zaidi lilibaki kwa wa-Ibo na likifunikwa na maelezo ya kisiasa na chuki za kikabila. Ndio maana hata wanajeshi Wakristo waliokuwa katika jeshi la serikali walishiriki kumpiga Ojukwu kuzuiya Biafra isijitenge. Mfano Kanali Olusegun Obasanjo (Mkristo) wakati huo akiwa kamanda wa kikosi cha makomandoo, ndiye aliyeongoza mashambulizi yaliyommaliza Ojukwu na kukimbilia Ivory Coast, a k i m wa c h i a u o n g o z i Philip Effiong, ambaye naye hakuweza kuhimili kipigo kutoka kikosi cha Obasanjo akasalimu amri ilipofika Januari 1970. Inakisiwa kuwa vita hii ilisababisha kuuliwa watu zaidi ya milioni moja. Hatari ya propaganda Hivi sasa vyombo vya habari ndani na nje ya Nigeria, kila uchao kunaibuka habari juu ya matukio yanayodaiwa kufanywa na Boko Haram kuuwa Wakristo na kulipua Inaendelea Uk. 15
Luteni Kanali Chukwuemeka Odumegwu Ojukwu serikali yote wenyewe, maana hakutakuwa tena na magavana na maosa wa serikali kutoka katika majimbo ya Waislamu kuingia katika serikali. Wa n a j e s h i k u t o k a Kaskazini hawakuweza kuvumilia hali hiyo. Nao wakapanga mapinduzi ambapo ilipofika 29 Julai, 1966, walifanikiwa kumpindua na kumuuwa Johnson Ironsi. Kama ambavyo walimdhalilisha Alhaji Abubakar Tafawa Balewa kwa kumuuwa na kutupa maiti yake kando ya b a r a b a r a a m b a p o iligundulika baada ya siku sita; Ironsi na mwenzake Luteni Kanali Adekunle Fajuyi, walivuliwa nguo wakacharazwa bakora kabla ya kupigwa risasi na kuuliwa. Waliofanya kazi hiyo walikuwa MejaTheophilus Danjuma
Makala
Inatoka Uk. 14 makanisa. Mwandishi mmoja wa Nigeria katika m a k a l a ya k e ya h i v i karibuni anasema kuwa inavyoonekana Nigeria haijasoma kutokana na vita ya Biafra. Kile kilichofanyika mwaka 1966 hadi Nyerere wetu akakimbilia Biafra kwenda k u s a i d i a Wa k a t o l i k i wenzake wasimalizwe na Waislamu, ndio kinatokea hivi leo katika suala la Boko Haram. Wakati ule Wakristo kwa vile ndio walikuwa wamesoma, ndio kwa kiasi kikubwa walikuwa wameshika serikali kuu. Kwa upande mwingine ni kuwa ndio pia walikuwa na maosa wengi zaidi wa ngazi za juu katika jeshi. Lakini ndio pia waliokuwa wa m e a n z a k u p i n d u a serikali na kuuwa maosa wa kijeshi Waislamu. Hata hivyo, lilipokuja suala la Biafra kujitenga, propaganda iliyopigwa ni kuwa Waislamu wa K a s k a z i n i wa n a f a n ya m a u wa j i ya K i m b a r i , wakiwaangamiza Wakristo wa Kusini. Habari hizo ndio zikawatia kiwewe huku akina Nyerere na Kaunda kwenda kuwatetea Wakristo wa Biafra. H a t a h i v y o kinachoelezwa hivi sasa ni kuwa, pamoja na kuwa kulikuwa na mauwaji ya pande zote mbili hasa baada ya mapinduzi ya Januari 1966 na Juni 1966, habari zilizosambazwa juu ya mauwaji ya kuangamiza ya Waibo zilikuwa propaganda. Mwandishi Mohammed Haruna katika makala yake Playing dangerous politics with Boko Haram ndani ya gazeti la The Nation (la Nigeria), Jumatano Desemba 7, 2011 anasema kuwa mwandishi Charles Sharp, ambaye aliwahi kuwa mkurugenzi mwendeshaji (expatriate) wa gazeti la New Nigerian, amefichua kuwa madai mengi juu ya kuangamizwa Ibo yalikuwa urongo. Sharp amefanya utafiti n a k u wa h o j i m a o f i s a wa serikali pamoja na baadhi ya makachero na wataalamu wa nchi za nje waliokuwa Nigeria wakati ule wamethibitisha kuwa kulikuwa na utiaji chumvi mkubwa katika suala la Waibo kuuliwa na Waislamu. M a d a i h a y o yanathibitishwa pia na Ojukwu mwenyewe ambaye anasema kuwa alipiga propaganda
AN-NUUR
15
mfumo wa Ulinzi Shirikishi na Sungusungu. Anasema, kama ni Jumapili Wakristo wakiwa kanisani katika misa, vana wa Kiislamu huweka ulinzi nje wasije wakatokea watu wakashambulia wakadai ni Boko Haram. Wakristo nao hufanya hivyo hivyo siku ya Ijumaa. M w a n d i s h i Adamu Adamu (adamuadamu@dailytrust. com Friday, 13 January 2012 05:00) akiandika ndani ya gazeti la Daily Trust alisema hayo kufuatia kitendo cha Rais Jonathan kwenda katika hafla ya Kikristo na kudai kuwa Boko Haram wamepenya mpaka sasa wamo ndani ya serikali, jeshini, polisi, usalama wa taifa na katika vyombo vya sheria. Wachunguzi wa mambo wanasema kuwa haya ndiyo anayoambiwa Rais Jonathan na makachero wa CIA, FBI na Mossad ambao ndio wamepewa tenda ya kumlinda na kuilinda Nigeria, tenda inayowapatia donge nono la dola milioni 100 kwa mwezi. What exactly are the Israeli so-called advisers and security consultants doing in Abuja? Anauliza mwandishi mmoja na kisha kuonesha jinsi ambavyo Nigeria inajichimbia shimo na kujizamisha yenyewe kwa kukubali kuingizwa katika mchezo huu wa jinamizi la Boko Haram na mashambulizi yake dhidi ya makanisa na Wakristo. Iwapo mchezo huu wa Boko Haram utafanikiwa i k a f i k i a Wa k r i s t o n a Waislamu kuuwana ovyo mitaani, hapana shaka itakuwa imesaidia sana kuharakisha kufikiwa malengo ya ule mkakati wa NSSM 200 kupunguza idadi ya watu Nigeria. Katika Biafra, ni Wa k r i s t o t u w a I b o walikuwa wakipambana wakitaka kujitenga, lakini wakahiliki zaidi ya watu 1,000,000. Katika Boko Haram, kinachotakiwa ni Wakristo wote wa Nigeria kusimama upande wao n a Wa i s l a m u u p a n d e mwingine wakiviziana kuuwana mitaani. Mungu aepushie mbali, unaweza kufikiria kiwango cha maafa iwapo hali hiyo itakiwa.
16 AN-NUUR
16
AN-NUUR
SAFFAR 1433, IJUMAA JANUARI 20 - 25, 2012
Salman Rushdie.
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.
Katika jitihada za kuepusha machafuko, serikali ya Rajasthan imeripotiwa kuwashinikiza waandaaji wa tamasha la Jaipur Literature kumtaka Rushdie kufuta ziara yake nchini humo. Ripoti zinaeleza kuwa serikali ya India inaamini kuwa kuwepo kwa Rushdie katika tamasha hilo kutasababisha kuhatarisha usalama kufuatia waandamanaji kupinga ujio wake nchini humo. Rushdie alipangiwa kuzungumza Januari 20 na 21. Jaipur Literature Festival ilitoa taarifa juu ya suala la Rushdie inayoeleza kuwa hatakuwa India Januari 20 kufuatia kubadilika kwa ratiba yake. Lakini taarifa hiyo ikasisitiza kwamba bado wanasimamia mwaliko wa Rushdie kuja India. Mwandaaji wa Jaipur literature festival, Sanjoy Roy alinukuliwa akisema, Salman Rushdie anakuja. Hakuna kilichobadilika. Tumebadili tu tarehe. Hata hivyo Waziri wa Rajasthan, Ashok Gehlot alisema hana taarifa juu ya mipango ya Rushdie na kwamba nao taarifa wa n a z i s i k i a t u k u p i t i a vyombo vya habari na kudai kuwa watafuatiliwa suala hilo. Tayari taasisi ya Islamic Seminary Darul Uloom Deoband imeitaka serikali kufuta Visa ya Rushdie kufuatia kuwakashifu Waislamu huko nyuma. Serikali ya India lazima i f u t e Vi s a ya R u s h d i e kutokana na kashfa zake za kidini dhidi ya Waislamu alizozifanya, Maulana Abul Qasim Nomani, Vice Chancellor wa Darul Uloom, alisema katika mkutano na waandishi wa habari hapo awali. Ilitolewa Fatwa dhidi ya Salman Rushdie tangu mwaka 1989 baada ya kuchapisha kitabu kilichojulikana kwa jina la The Satanic Verses kilichochapishwa mwaka 1988, ambacho kiliikashfu Quran, Mtume Muhammad (saw) na Waislamu kwa ujumla, jambo lililozua tafrani kubwa duniani. India ilikuwa miongoni mwa nchi za mwanzo kabisa kupiga marufuku kitabu hicho nchini humo. Februari, 1989 Ayatollah Khomeini alitangaza fatwa ya kifo kwa Rushdie na wachapishaji wa kitabu hicho.