Escolar Documentos
Profissional Documentos
Cultura Documentos
ISSN 0856 - 3861 Na. 999 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Kuna jambo kubwa Katoliki hawajasema Unguja wanakosea kupinga muungano Arusha si shwari
Mchungaji achoma moto Quran Adai hizo ni zana za shetani Mwaka jana mtu mmoja aliuwawa kwa mchezo kama huu
KATIBU Mtendaji Baraza la Mitihani, Dkt. Joyce Ndalichako. ZANZIBAR imebanwa sana na Bara kiasi kwamba maendeleo yake yamefubaa sana. Liko hili moja ambalo linaweza kuonekana ni upuuzi, lakini wao linatajwa kama ni mfano mmoja wa dharau waliyonayo Bara dhidi ya Zanzibar. Nalo ni hili. Hata katika ile kamati ya kutafuta va z i r a s m i l a k i t a i f a ,
hakuchaguliwa Mzanzibari hata mmoja. Ya a n i k wa k i t e n d o hicho ni kuwa hata wao watu wa Bara wanakubali kuwa Wazanzibari sio Watanzania. Haya wasomaji sio ya kutunga, ni kweli kabisa yanasemwa na wengi pale JAWS CORNER, Soko Muhogo. (Soma Uk. 10)
2 AN-NUUR
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110148, 0755 260 087, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
WAGONJWA wengi wa Kitanzania katika miaka ya hivi karibuni wamekuwa wakikimbilia Hospitali za India, ikiwa ni jitihada za kusaka tiba za uhakika ili kuokoa maisha yao yanayokuwa hatarini kutokana na maradhi mbalimbali. Kwa bahati mbaya, wengi wanaomudu kwenda Appolo ni vigogo, watawala na wafanyabiashara, ambao wana mafao chekwa, kiasi cha kuwawezesha kumudu kwenda popote ilimuradi panapatikana tiba za uhakika pale wanapopatwa na maradhi. Makabwela bado w a n a s u k u m a n a M wa n a ya m a l a , A m a n a , KCMC, Bugando na nyinginezo za hadhi hiyo mikoani. Hospitali ambazo ndizo tunazoziona kwamba zina hadhi kwetu kwa hapa nchini. Tiba za hospitali za ughaibuni kamwe hawamudu. Hata hivyo, tumeona India ndio imeshika chati na kuwa kimbilio la awali kwa kuwa si mbali sana ikilinganishwa na ghaibu nyingine zinazotoa tiba ya kiwango cha India na gharama zake za matibabu kidogo ni afadhali kuliko hizo nchi nyingine. Kama tunavyojua, na kwa hakika ndivyo hali halisi ilivyo, afya kwa kiumbe mwanadamu ni jambo la msingi zaidi kuliko jambo jingine lolote katika suala zima ya uhai. Mwanadamu m g o n j wa a u a s i ye k u wa hana hali nzuri kiafya, huwa kiumbe kilichokosa uwezo wa kufanya jambo jingine lolote linalohusiana na maisha yake hapa duniani. Mwanadamu afya yake inapok uwa na mat at izo yanayotokana na maradhi, kwanza atakosa raha ya maisha, atajiona mpweke, atakosa nafasi ya kufikiri juu ya maisha yake, hawezi kuzalisha au kufanya shughuli zinazoweza kumuingizia kipato cha kuendesha maisha yake. Hukia wakati mwingine hukata tamaa na kutamani kufa ili aondokane n a m a t e s o ya m a r a d h i yanayomsibu. Akiwa katika maradhi, mtu yuko radhi kutumia rasilimali zote alizo nazo kusaka tiba ya maradhi yanayomsibu hadi dakika ya mwisho. Sote tuna hakika kwamba binadamu anapokuwa katika maradhi, hawezi kuwaza wala kutafakari kitu kingine zaidi ya kuugulia na kukiri juu ya tiba kwanza. Pamoja na umuhimu wa matibabu katika maisha
MAONI YETU
Arusha si shwari
Na Mwandishi Wetu
TAHARIRI/HABARI
ya binadamu, inasikitisha kuona kwamba sekta ya afya hapa nchini imekuwa haipewi nafasi inayostahili kana kwamba haihusiani na uhai wa watu. Hospitali zilizopo nyingi hazina dawa na vifaa vya kutosheleza utoaji wa huduma za utabibu kwa Watanzania. Mafao kidogo na kutojali kumewafanya wafanyakazi wengi wa sekta ya utabibu kutoa huduma hiyo kizembe, kivivu na kwa kujilazimisha. H a l i h i i t u n a o n a k u wa imechangia ongezeko kubwa la mateso ya kuugulia na kukosa afya kurejea katika kazi za kujikimu maisha. Sisi tunaona kwamba udhaifu huu ndio sababu kubwa ya sehemu kubwa ya madaktari kukimbia nchini na kwenda kufanya kazi nje ambako huko wanafanya kazi katika mazingira sahihi, kwa maana ya kuwepo vifaa, dawa na kipato, hali inayowasukuma kutekeleza wajibu wao kwa nia ya dhati na kwa moyo kiasi cha kuweza kutibu wagonjwa kwa uhakika. Hivi sasa tunashuhudia hospitali za India zikiwa kimbilio la wagonjwa wengi wa Kitanzania wanaokwenda huko kusaka tiba za uhakika ili kuokoa maisha yao. Inawezekana hospitali za India zinashika chati za juu kwa wateja wengi kutoka Tanzania kwa sasa. Tuna hakika kwamba fedha nyingi za Watanzania zinazotozwa na hospitali za India kama gharama za matibabu zinajazwa Appolo huku Muhimbili yetu ikiendelea kuwa hoi. Tunaona kama vile Muhimbili yetu imegeuzwa kuwa ofisi ya kutoa ruhusa na ushauri wa kwenda kutibiwa Appolo b adala ya Hosp it ali ya Rufaa. Pamoja na zile za mikoani kufanywa Hospitali za rufaa, bado hazijakidhi haja za wagonjwa kwa kuwa hakuna huduma sahihi ya kitabibu. Matatizo ni yale yale ya vifaa, dawa, uhaba wa madaktari na wauguzi n.k. Tuseme tu kwamba sasa inatosha. Serikali ifungue macho na ione kwamba afya za watu ni muhimu zaidi kuliko jambo lolote. Ifahamu kwamba bila nguvu kazi za watu wenye afya, maendeleo ya kweli itaendelea kuwa ni porojo. Ikiwa itakuwa sikivu na bunifu na kutambua umuhimu wa afya za watu, basi itawekeza vya kutosha katika sekta ya afya. Ifike mahali sasa Muhimbili iwe ndio Appolo yetu hapa nchini.
MCHUNGAJI mmoja anayejulikana kwa jina la Nehemia Martin, amechoma Quran na vitabu vingine vya Kiislamu akidai kuwa hizo ni zana za shetani. Mchungaji Nehemia wa kanisa la Calvary Assemblies of God (CAG) katika kijiji cha Kigongoni, Mto wa mbu anatuhumiwa kufanya tendo hilo tarehe 12 Februari, 2012. Mpasha habari wetu kutoka Arusha aliyeka katika eneo la tukio a n a f a h a m i s h a k u wa , mchungaji Nehemia alipata Msahafu na vitabu hivyo vya Kiislamu kutoka kwa mtu mmoja aliyetajwa k wa j i n a l a H a s s a n Jumanne ambaye ilidaiwa kuwa aliritadishwa na Nehemia. Taarifa zinaeleza kuwa siku ya tukio, Bi Zainabu Juma, jirani ya mchungaji aliona vitabu vikichomwa moto na alipogundua
k u w a k u n a Q u r a n alifanya juhudi kuzima moto kwa mchanga, lakini hakuweza kufanikiwa kwa sababu mchungaji alimsukuma na kumzuiya kuzima moto. Kuona hivyo, Bi Zainabu alipiga kelele wakafika watu ambapo mchungaji naye baada ya kuona mkusanyiko wa watu alikimbilia polisi na kuomba msaada akidai kuwa Bi Zainabu kaka nyumbani na kuanza kuwapiga watoto wake. Hata hivyo, wakati bado polisi wakipokea taarifa, walika Waislamu na kuripoti kuwa wanamtafuta mchungaji huyo kwa kuchoma Quran. Polisi walifika eneo la tukio na kukuta bado moto ukiwaka na kushuhudia vipande vya Quran vilivyosalimika. Habari zaidi z i n a f a h a m i s h a k u wa mchungaji alipoulizwa na polisi kwa nini anachoma Quran alidai kuwa hivyo vilikuwa vitu
vya shetani, kwa hiyo ni lazima viunguzwe. H a d i t u n a k we n d a mitamboni, mtu anayedaiwa kuritadi alikuwa hajulikani alipo baada ya kukimbia kini hapo. Taarifa zaidi zinasema kuwa mchungaji Nehemia Martin amekamatwa na kufunguliwa kesi katika mahakama ya wilaya tarehe 13, Februari, na yupo rumande yupo gereza la Arusha. Hili ni tukio la pili katika kipindi kisichozidi mwaka mmoja linaloleta mgogoro baina ya Waislamu na Wakristo mkoani Arusha ambapo mwaka jana 2011 mwezi kama huu, mchungaji Richard Chenge alifariki baada ya kupigwa lilipozuka zogo kutokana na mahubiri ya kutukana na kukashifu Uislamu yaliyokuwa yakitolewa na baadhi ya wachungaji.
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL Mafunzo maalum kwa wanaorudia kufanya mtihani wa Kidato cha Nne, Oktoba 2012
Ubungo Islamic High school inawatangazia wanafunzi Waislamu wote kuwa imeandaa mafunzo maalum kwa wale wanaotarajia kurudia kufanya mtihani wa kidato cha Nne, Oktoba 2012. Mafunzo hayo yatasimamiwa na waalimu maalum wenye sifa na uwezo wa kuhakikisha kuwa mwanao anapata Elimu bora na malezi mema. Masomo yanayofundishwa ni: Elimu ya Dini ya Kiislamu, Arabic, Civics, Mathematics, English, Kiswahili, History, Geography, Physics, Chemistry, Biology, Commerce na Book-Keeping. Masomo yataanza tarehe 01/03/2012 hadi 31/08/2012. Ni mafunzo maalum kwa muda wa miezi sita. Fika osi ya Mkuu wa Shule upate fomu yako kwa bei ya Tsh 10,000/=. Kwa mawasiliano zaidi: 0754 260241
HABARI
AN-NUUR
wake ili waweze kuwa katika nafasi nzuri ya kuelimisha na kuchangia maoni kupitia tume ya kukusanya maoni itakapo anza kazi. Alisema Mataka. Alisema, Masheikh kama viongozi wa Dini ni waelimishaji wa kiroho, hivyo alisema ni matarajio yao kwamba baada ya semina hiyo watakuwa na kazi ya kuwahamasisha Watanzania ili washiriki vyema katika mchakato huo wa Katiba.
Alichowasilisha Dokta Ndalichako usoni mwa waandishi wa habari ni ushahidi wa kile wananchi wengi wa hapa walichokiita vikaratasi au kwa lugha iliyozoeleka vibomu. A l i t a j a b a a d h i ya mazingira yaliyopelekea Baraza kuamini kwamba wanafunzi wa Zanzibar wamechakachua k u wa n i p a m o j a n a hisia kwamba walimu walishirikiana na watahiniwa kuukopilia Mtihani huo. Miongoni mwa hoja za NECTA kwa mujibu wa Dokta Ndalichako, ni pamoja na kupatikana kwa nakala halisi za mitihani ya mwaka 2011, miezi mitatu baada ya kufanyika mitihani hiyo, na pia ujumbe mfupi wa simu uliotambulisha jawabu za baadhi ya maswali, huku akitaja maeneo mbali mbali yakiwamo ya Kiboje, Wilaya ya Kati, Unguja, ambako miongoni mwao walihusishwa na hali hizo na pia kufutiwa matokeo. U m m a w a Wazanzibari, pamoja na papatua hiyo ya NECTA, umedai kutoridhishwa na mwenendo mzima wa ufutaji wa matokeo ya m i t i h a d i , u k i d a i haukufuata busara ya kukubalika hasa huku wakihoji kwa nini zoezi hilo limewaathiri wahusika na hata wasiohusika.
Inaendelea Uk. 4
4 AN-NUUR
Inatoka Uk. 3
Mathalani mwangu mimi yupo Lumumba hata hakuelewa mambo haya ya kuvuja mitihani kama yalikuwapo, mbona amefutiwa yeye na wengine wakasalimika na wakadaiwa wamefanya vizuri, alihoji Mzee Omar Abdalla, Mkaazi wa Kibweni Unguja, ambaye akifuatilia pia taarifa za NECTA pale Hoteli ya Bwawani. Huyo ni sehemu ya Wazee ambao walisema hata kukiwapo na kuvuja kwa Mitihani hawana imani na hawataridhia uamuzi huo wa NECTA. Sisi hatutakubali kuona mamia ya watoto wetu wakikoseshwa haki yao ya elimu na maisha kwa visingizio vya kuvuja kwa mitihani kwani hasa ilivujia wapi, aliongeza Mzee Kassim Juma wa Makadara, ambaye pia alisikitikia hatua hiyo. Baadhi ya wananchi walisikika wakisema, huu sasa ni ule ule mfumo tulioambiwa na Masheikhmaana isiwe mtihani uvujishwe halafu watutake muhali s i y e Wa z a n z i b a r , aliendeleza msimamo Maalim Zahor wa Malindi, mwalimu mstafu wa Sekondari,
HABARI
wetu, walimu, Wizara ya Elimu au Baraza la Mitihani, alihoji Sheikh Abdalla Omar, mmoja wa Viongozi wa Baraza la Taasisi za Kiislamu Nchini, akitaja b a a d h i ya D o n d o o dhidi ya NECTA kama zilivyowahi kutajwa katika mihadhara mbali mbali ya kidini miezi ya hivi karibuni. Uchunguzi umebaini pia kwamba wasomi na wanaharakati mbali mbali wanaandaa tamko na hatua za ziada ili kulikabili suala hilo na ikibidi kulifikisha katika mamlaka za juu za Utawala wa Zanzibar . Haikubainika ni wapi na lini, lakini zipo taarifa rasmi kuwa Wasomi wameandaa kongamano la kitaifa juu ya kadhiya hii, na hatimaye tamko la nani awajibishwe na umma ikibidi kuwajibishwa, kama walivyosikika baadhi ya wananchi wakitanguliza pendekezo hilo mapema katika Mkutano wa Baraza na Waandishi wa habari pale Bwawani. Zaidi ya shule 30, za hapa, wanafunzi wake wamefutiwa Matokeo yao ya Mtihani wa Kidato cha Nne, na kuibua hisia kubwa, miongoni mwa Wananchi wa Visiwa hivi vya Unguja na Pemba .
Mkutano wa mwisho baina ya Sheikh Al Shaarawi na aliyekuwa Rais wa Masri Hosni Mubarak
anampa amtakae, kwa hiyo hakuna haja ya kufanya njama kuupata, wala ujanja wa kuweza kuufikia, na Allah S u b h a n a w a Ta a l a alipohadithia hikaya ya Nabii Ibrahim na Nimrod (kari), Ibrahim alimwambia nini? Alipomhoji Ibrahim kuhusu Mola wake, akamwambia yeye Allah ndie aliyempa Nimrod U t a wa l a . K wa h i yo utawala unateremshwa na mwenyewe Allah kwa amtakae, kwahiyo hakuna haja ya kufanya hila au ujanja kuupata, kwa sababu hakuna mwenye kutawala isipokuwa kwa muradi anaoutaka Allah. Na kama nimuadilifu, atanufaika kwa uadilifu wake. Na kama ni jeuri na dhaalimu, ataifanya dhulma kitu chafu na kuchukiza ndani ya n yo yo z a wa t u , watamchukia kila dhaalimu hata kama ni kiongozi. Kwa hiyo, natoa kauli kwa wote, nasema na Alhamdulillah na hakikisha haya maneno ya Allah ni ya kweli na kutokana na matukio. Na vipi tutaitafsiri kauli ya Allah Wanapanga, na Allah anapanga na vipi tunatafsiri Wanapanga hila, na sisi tunapanga hila. Allah anathibitisha ulinzi wa alivyoviumba, na mimi natoa nasiha kwa kila mwenye k u f i k i r i , a n a ye t a k a kuwa kiongozi, namnasihi asiuombe uongozi bali aombwe, kwani Mtume wa Allah, Muhammad, kasema: mwenye kuombwa kitu atasaidiwa, na mwenye kukiomba atatupiwa jukumu juu ya shingo yake. E we M h e s h i m i wa Rais, la mwisho ninalotaka kukuambia, na hii inawezekana ikawa ni fursa yangu ya mwisho kuonana na wewe (anamshika bega na kumuambia): kama wewe (Rais Hosni Mubarak)ni kadar yetu, basi Allah atakuongoza kwenye njia sahihi; na kama sisi ndio kadar yako, basi tunatarajia Allah atakusaidia kuubeba mzigo.
mjini hapa. Mzee Zahor aliendeleza hoja akisema, kwa nini muda tu taarifa za mitihani zimekuja na mara tu Sheria
ikapitishwa bungeni, jee ulikuwa mtego? Miongoni mwa Wazee walioonekana wakali kupindukia ni
MHESHIMIWA Rais, Nimesimama katika kizingiti cha maisha yangu na naisubiri amri ya Allah na wala sitoyamaliza maisha yangu na unafiki, nasitosema kitu ambacho si cha kweli bali nataka kusema maneno kwa umma wangu wote, Serikali na Vyama, upinzani na wanaume, na wananchi ambao mtanisamehe, ni waliolala. Nataka wajuwe kuwa Utawala wote uko ndani ya mkono wa Allah,
Adhabu ya kifo kwa mashoga Uislam sasa kufundishwa shule za serikali za Urusi
KAMPALA RASIMU ya sheria ya hukumu ya kifo dhidi ya wahalifu wa vitendo vichafu vya kujamiiana kwa watu wa jinsia moja imewasilishwa tena katika Bunge la Uganda. Msemaji wa Bunge la Uganda, Helen Kawesa, amesema muswada huo wa ushoga uliwasilishwa wiki iliyopita katika osi za Bunge na kupelekwa kwenye Kamati inayoshughulikia masuala ya sheria kwa ajili ya uchambuzi. Kamati hiyo itachunguza rasimu hiyo na kuirejesha Bungeni kwa ajili ya kujadiliwa rasmi. Kundi linalopinga ubaradhuli huo linaloongozwa na wabunge na viongozi wa dini limetangaza kuwa limeamua kurejesha tena muswada huo Bungeni baada ya kukishwa kwa mara ya kwanza Bungeni hapo na Mbunge wa chama tawala cha NRM, David Bahati, mwaka 2009. Muswada huo unapendekeza hukumu ya kifo dhidi ya mtu atakayefanya ngono na mtu wa jinsia kama yake kwa mara ya pili au kufanya tendo hilo chafu na watoto au akiwa muathirika wa virusi vya HIV. Rais Barack Obama wa Marekani, ambaye amekuwa mtetezi mkubwa wa vitendo vya kihabithi, tayari ameshapinga rasimu hiyo inayopiga vita uhabithi na vitendo vya kijamiiana watu wa jinsia moja, akiitaja kuwa ni yenye kuchukiza! MOSCOW Waziri Mkuu wa Urusi, Vladimir Putin, ameamua kwamba masomo ya msingi ya dini yatakuwa ya lazima kufundishwa katika shule zo te za serikali. Kwa mujibu wa tovuti ya Islam Today, mbinu sita za kufundishia masomo hayo zitawasilishwa k wa wa z a z i , a m b a p o watatakiwa kuchagua mbinu moja kati ya hizo kwa lengo la kutekelezwa mashuleni. Kabla ya zoezi hilo kuanza, walimu watapewa mafunzo ya kutosha ili kuwawezesha kutoa mafunzo hayo kwa njia zinazofaa. Masomo hayo yatahusiana na misingi ya d i n i z a K i k r i s t o , Kiorthodox, Kiislamu, Kiyahudi na Kibudha. Kukia sasa majaribio ya mafunzo hayo yamefanyika k a t i k a m a e n e o 2 0 ya Urusi na wanafunzi wapatao laki tatu tayari wamekwishashiriki katika mafunzo hayo ya majaribio. Waziri Mkuu Putin ametangaza habari hiyo katika hali ambayo anafanya juhudi za kugombea tena kiti cha urais wa nchi hiyo.
HABARI ZA KIMATAIFA
AN-NUUR
Msikiti mkongwe uliojengwa katika karne ya 14 Miladia Masjid Kongo uliopo Kwale mjini Diani, Kenya.
mgogoro wa Syria. Amesema zaidi Arab League inabeba lawama za kuitumbukiza Syria katika m g o g o r o wa k i m a t a i f a hivyo kudhihirisha kwamba imeshindwa kutatua mgogoro wa nchi hiyo ya Kiarabu. Matamshi hayo yametolewa baada ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Arab League katika mkutano wao uliofanyika jijini Cairo mwishoni mwa wiki kupendekeza kwa Baraza la Usalama muswada wa kutumwa kikosi cha Umoja wa Mataifa na jumuiya hiyo nchini Syria. Serikali ya Damascus imepinga suala huo.
M s i k i t i h u o unaojulikana kwa jina la Msikiti wa Congo, ambao inasemekana ulijengwa katika karne ya 14 Miladia, unapatikana Kwale mjini Diani. W a i s l a m u wameishukuru serikali k wa k u c h u k u a h a t u a hiyo waliyoitaja kuwa ni heshima kubwa kwa utukufu ya dini yao.
Waziri Mkuu wa Scotland, Alex Salmond, anatazamiwa kukutana na Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron, wiki ijayo kujadili kura ya maoni kuhusu uhuru wa Scotland. Inatazamiwa kuwa ikapo mwaka 2014 kutafanyika kura ya maoni kuamua iwapo Scotland ijitenge na Uingereza au la. Kutokana na kuwepo serikali ya mseto, Uingereza haina uwezo wa kuainisha tarehe ya kura ya maoni na sasa London inataka kuingilia kati kuhusu suala litakaloulizwa katika kura hiyo ya maoni. Ufalme wa Muungano (UK) mara nyingi huitwa kwa Kiswahili Uingereza ingawa nchi ya Uingereza ni kati ya sehemu za ufalme huu pamoja na Scotland, Wales na Ireland ya Kaskazini. (Habari na IRIB)
6 AN-NUUR
Na Shaaban Rajab KUFIKIRI, kupima, kujiamini na hatimaye kudhubutu kutenda ni nyenzo muhimu za kuibua na kutekeleza jambo lolote linalohusu maendeleo ya binadamu. Kujituma na kufanya kazi kwa bidii ni nyenzo muhimu za kuweza kustawisha kile ulichokusudia kiwe na kiweze kuleta matunda c h a n ya k i u c h u m i n a kamii. Afya na nguvu ni vigezo vinavyochukuliwa kuwa ni mtaji wa mwanadamu na nguvu kazi katika kukua na kupatikana maendeleo na kumudu kukabiliana na changamoto za kimaisha. Kimsingi kadiri wa t u wa t a i f a f u l a n i watakavyojituma katika kuwa wabunifu na kukifanyia kazi kwa bidii kile walichokibuni, ndivyo mazingira ya kufikia ustawi na maendeleo yatakavyoweza kukiwa mapema zaidi. M s i n g i wa m a i s h a umesimama juu ya uzima, utii katika dini (kumcha Mwenyezi Mungu) na kufanya kazi. B i n a d a m u anasumbuliwa na mlolongo wa mahitaji katika maisha yake ya kila siku. Chakula, mavazi, m a l a z i , e l i m u , a f ya , burudani n.k. Mahitaji haya na mengine mengi humsukuma mtu kujituma na kuwa na bidii katika kufanya kazi ili aweze kukidhi mahitaji yake ya kimaisha. Tamaa ya ushindani ni sehemu nyingine ambayo binadamu kujituma zaidi kufanya kazi ili kujipatia kipato zaidi kuliko wengine. Siku hizi mtu akiwa hana kazi, anazurura huku na huko anaonekana katika jamii kama hana h a d h i wa l a h e s h i m a . Tofauti na mwenye kazi, huyu ataheshimiwa na kuonekana mwenye hadhi katika jamii. Utamaduni na mafundisho ya Uislamu yanatoa wito wa kuweko ushirikiano wa pamoja wa wanajamii. Unafundisha Waislamu kufanya bidii katika kazi na kutokiria maslahi binafsi zaidi ya kutanguliza mbele maslahi ya wote. Ukisoma kisa cha hra ya Mtume Muhammad (saw) kutoka Makka kwenda Madina na kuanzisha dola la Kiislamu huko, utakuwa umepata mfano
Kufanya kazi
maridhawa katika mada hii. Muhajirin na Ansaar walishirikiana kwa kila kitu, walifanya kazi kwa bidii na hatimaye dola la kwanza la Kiislamu ikasimamishwa Madina. Kwa mtazamo wa Uislamu, wananchi ni nguzo kuu ya ustawi na maendeleo; hasa kwa kutilia maanani kwamba, kila mmoja ana uwezo wa kikiria na ana kipaji cha aina yake, ambacho kinaweza kutumiwa katika
Makala
wanajamii. Lakini kwa kuwa ubinafsi na chuki ndizo zilizopewa nafasi katika mioyo, leo kuna mvutano na malalamiko mengi dhidi ya serikali k u wa i n a wa d h u l u m u n a k u b a g u a j a m i i ya Waislamu katika mamlaka na utumishi serikalini. Kwa maana hiyo tayari kuna matabaka, chuki na dhulma miongoni mwa jamii za Watanzania kwa kuwa fursa ya kufanya kazi serikalini imekuwa ikitumika bila kufuata uadilifu. Katika mafundisho ya Kiislamu, uadilifu maana yake ni kutoa fursa sawa k wa wa t u w o t e b i l a upendeleo wa aina yoyote. Endapo hali ya upatikanaji kazi na ajira utakuwa mbovu, hapo ndipo panapozuka matabaka, hujuma, ubaguzi, uvivu, uzalishaji duni na matokeo yake ni kuwepo mpasuko na chuki katika jamii na kupatikana uchumi dhaifu. Licha ya karne hii kuwepo maendeleo ya kiteknolojia ambayo kwa namna moja au nyingine yamechukua sehemu kubwa ya kazi zilizokuwa zikifanywa na mwanadamu, lakini teknolojia yenyewe ni matokeo ya fikra na ubunifu wa mwanadamu. Maendeleo haya yanapunguza gharama na muda katika kutenda kazi na zaidi, huzidisha kiwango cha uzalishaji ndani ya muda mfupi. Yote haya husababisha nafuu ya maisha kwa kuwa kuna ongezeko la uzalishaji huku utumiaji wa kilichozalishwa kikibaki palepale. NYOTE MPOKEE SHUKRANI HIZI NA TUNASEMA A H S A N T U M MASHKURIN. K H I T M A YA KUMWOMBEA DUA MARHUM TAMBAZA ITASOMWA SIKU YA JUMAMOSI, FEBRUARI 18, 2012 NYUMBANI K WA O M T A A WA KONGO NA2 KARIAKOO D S M , B A A D A YA SALA YA ADHUHURI. S O T E T U N A O M B WA TUHUDHURIE. Mfuko wa Tambaza M o h a m e d Ta m b a z a Education Fund utazinduliwa kesho katika khitma ya marehemu. Huo utakuwa ni mfuko wa kusomesha mayatima ili kuendeleza uradi wa Marehemu wa kusomesha na kulisha yatima. INNA LILLAHI WAINA ILAIHI RAJUUN.
kwamba mwanadamu kamwe hawezi kuishi na kujitosheleza kwa mahitaji yeye mwenyewe. Hakuna mtu anayeweza kuishi katika jamii bila ya kumtegemea mwingine hata akiwa na utajiri wa kupindukia. Kwa namna moja au nyingine ni lazima atahitaji kukidhi haja zake kutoka kwa mwingine. Iwapo mtu atahitaji kufanyiwa kazi fulani ni lazima aajiri mtu. Chakula tunachokula, mavazi tunayovaa, nyumba tunazoishi, ni matokeo ya
Shule ya Msingi ya Istiqama, Tabora. Nyanja mbalimbali kwa ajili ya kuleta ustawi na maendeleo. Hali halisi ni ALHAJ ABDALLAH MOHAMMED TAMBAZA NA NDUGUZE WA DSM, WANATOA SHUKRANI ZAO ZA DHATI KWA NDUGU, JAMAA NA WA K A Z I W O T E WA KATA YA JANGWANI, KARIAKOO DSM KWA KUSHIRIKIANA NAO KATIKA MSIBA PAMOJA NA MAZISHI YA NDUGU YA O M P E N D WA TAMBAZAMOHAMMED TAMBAZA ALIYEFARIKI JANUARY 10,2012 NA KUZIKWA JANUARY 11,2012 KWENYE MAKABURI YA FAMILIA MABIBO EXTERNAL DSM. K WA N A M N A YA KIPEKEE KABISA T U N AWA S H U K U R U M A D A K TA R I N A WA U G U Z I WA HOSPITALI YA HINDU MANDAL HASA DK. kazi zilizofanywa na watu wengine. Matumizi ya kila siku katika mzunguko wa maisha ya binadamu ni za ajira na kazi zingekuwa ni kwa ajili ya matabaka yote ya jamii ili kupatikana uadilifu miongoni mwa
KAUSHIK NA DK. HAMZA MAUNDA WA HOSPITALI YA OCEAN RD. WENGINE NI WAZIRI SOPHIA SIMBA, ADAM MALIMA, WABUNGE WOTE WA MKOA WA DSM, VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI WA M K O A D S M , VIONGOZI WA SOKA WA MKOA DSM, MAIMAMU N A M A S H E I K H WA MKOA DSM, POLISI WA U S A L A M A BARABARANI, SAIGON CLUB, MPERAMPERA, M WA L I M A B U U M B A N G E N A NDUGUZE WA ILALA, D S M , M WA L I M U BAHIA NA MWALIM PILI ABDALLAH, UONGOZI WA HOTELI
SHUKRANI
Ambaza Mohammed Tambaza YA VALLEY VIEW NA WENGINE WENGI AMBAO TUSINGEWEZA K U WA S H U K U R U M M O J A M M O J A KUTOKANA NA O R O D H A K U WA NDEFU. T U N AWA O M B A
Makala
AN-NUUR
Na Ibrahim Hussein Mohammed H E B U Wa z a n z i b a r i tujiulize hapa ilipokishwa nchi yetu ni kwa kudra ya Mwenyezi Mungu au ni mikono ya Watawala? Nini lengo hasa la kufanya Mapinduzi Visiwani Zanzibar? Kama lengo lilikua ni kujitawala, jee! Lengo hilo tumelikia? Nini maana ya kutawaliwa? Nimeanza kutanguliza masuala matano ili kila Mzanzibari ajiulize na ajipatie jawabu ndani ya nafsi yake. Lengo hasa la kufanya Mapinduzi ni tuwe huru katika kujiamulia na kujipangia mambo yetu yatakayoweza kutuletea maendeleo yetu katika mambo mbali mbali ya maisha yetu na nchi yetu. Kama ni hivyo, basi bado hatukulikia lengo hilo, na kama kutawaliwa ni fedheha, basi kujitawala ni kuiondoa fedheha. Sasa tumeweza kuiondoa fedheha? Jawabu ni bado kuiondoa fedheha hiyo, lakini hivi sasa tumeanza kazi hiyo. Kazi ni ngumu na nzito sana, kazi hiyo haitaondolewa na Viongozi wa juu, bali ni wananchi wenyewe kupitia kwa wawakilishi wao waliowachagua. Nchi yetu imefikishwa hapa tulipo kwa mikono ya Watawala wetu. Tukianzia na Marehemu Abeid Aman Karume muda mfupi tu baada ya Mapinduzi, Zanzibar iliingia katika Muungano na Tanganyika na Zanzibar ikapoteza madaraka yote
MARHUUM Mzee Abeid Amani Karume na mwandishi wetu Zanzibar, Dar es Salaam, chini ya kichwa kisemacho:Waziri Tibauka ampa makavu Mh. Jussa, Waziri Tibauka anasema:Jambo hilo ni la Muungano wa Tanzania wala si la Wizara yake, ndio maana waliamua kuwashirikisha wenzao wa Z a n z i b a r u j u m b e uliokwenda Marekani uliwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania si Tanzania bara pekee. Tibaijuka aliongeza kwa kusema:Hawezi kukurupuka katika kulishughulikia jambo hilo bila ya Rais Jakaya Kikwete na Dk. Shein kulifahamu. Sasa hili tatizo sio dogo kama baadhi ya watu wanavyolifikiria hili ni tatizo kubwa sana kwa vile Serikali kupitia kwa Waziri Kiongozi aliyepita Shamsi Vuai Nahodha alimuandikia barua Waziri Mkuu Mizengo Pinda kumueleza maamuzi ya Zanzibar yaliyofanywa na Baraza la Wawakilishi April 8, 2009 Serikali ya Mapinduzi ilipitisha uamuzi huo na kuweka msimamo wa kusimamia yenyewe ukanda wake wa EEZ. Hivyo, kweli viongozi wetu walishiriki katika kulifanikisha jambo linaonesha wazi kwamba Tanzania inataka kujipanua k wa l e n g o l a k u t a k a kuchukua rasilimali za Zanzibar. Mh. Shamhuna anakiri kwamba Serikali ya Mapinduzi hakuiarifu, hiyo sio hatari? Mimi nakiri Viongozi wa juu wanalijua hilo kwa vile kila Mtawala anaimegea Ta n z a n i a B a r a . S a s a kazi ilioko mbele yetu ni kupata ukweli juu ya wale wote walioshiriki na kwenda kinyume au kukutana kwa siri bila ya kushirikisha wahusika wote wanaostahiki kulitolea maamuzi jambo hilo. Na kwa nini maamuzi yalikwisha tolewa huko nyuma tuyape mgongo? Je? hapa tutatafuta mchawi au wachawi ni sisi wenyewe Wazanzibari? Nani hasa katika Kiongozi wetu anayejua mipaka ya nchi mbili, baina ya Tanganyika na Zanzibar. Si Viongozi, hata wananchi hatuelewi mipaka yetu ya baharini baina yetu na Tanzania Bara, ni rahisi kuporwa rasilimali zetu kwa vile kila Kiongozi anataka akamate Uongozi wa juu zaidi na hawezi kuupata bila ya kuridhisha Uongozi wa Tanzania Bara katika kuimaliza Zanzibar. Hivi s a s a Wa n a n c h i w o t e
8 AN-NUUR
Na Omar Msangi MWAKA 1965 aliyekuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu-Tanzania Episcopal Conference (TEC), Father Robinson alitoa taarifa akikiri kwamba shule za Kanisa Katoliki zilikuwa zikitegemea fedha kutoka serikalini kwa asilimia 100. Kwa sababu hiyo akasema, kama serikali itasitisha utaratibu wake wa kuchota fedha kutoka Hazina ya kodi za Watanganyika na k u w a p a Wa k a t o l i k i , basi itabidi shule hizo zifungwe. Kabla ya hapo tunaambiwa kuwa serikali ilikuwa ikizipa shule za Kanisa ruzuku iliyofikia asilimia 66% ya bajeti ya shule hizo. Ruzuku hiyo ikitoka katika Hazina ya taifa inayochangiwa kwa kodi za Waislamu, Wakristo na watu wa dini nyingine. Hivyo ndivyo mambo yalivyokuwa. Huo ndio utaratibu wa mambo ulivyo katika nchi hii tunayotamba kwamba haina ubaguzi wala upendeleo wa kidini wala wa kikabila. Hivi sasa Kanisa Katoliki lipo katika shamrashamra likitamba kuwa katika zile shule kumi bora katika matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yaliyotangazwa hivi karibuni, basi saba ni za Katoliki. Katika kumi bora kidato cha nne, Wakatoliki wazoa 7, limeandika gazeti la Tumaini Letu linalotolewa na Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam. Katika idadi ya shule z i l i z o s h i k a n a f a s i ya kumi bora kitaifashule saba zilizoshika nafasi hiyo zinaendeshwa na kumilikiwa na Kanisa Katoliki. Limefafanua gazeti hilo namba 00401 la Ijumaa Februari 10-16, 2012. Tumaini Letu likazitaja shule hizo kuwa ni St. Francis iliyoshika nafasi ya kwanza, St. Joseph Millenium nafasi ya tatu, wakati shule ya wasichana ya Marian, ikishika nafasi ya nne. Shule nyingine ni Seminari ya Don Bosco iliyoshika nafasi ya tano, Kasita seminari nafasi ya sita, St. Marys Mazinde Juu nafasi ya saba na shule ya Canosa iliyoshika nafasi ya nane. Shule nyingine tatu katika kumi bora ni Feza Boys iliyoshika nafasi ya
Makala
Hiyo ilikuwa barua kumbukumbu namba MM/TC/L.VII/12/89. Taarifa zinafahamisha kuwa viongozi wa makanisa walipojua kwamba Mipango Miji wameidhinisha Waislamu kupitia taasisi ya M I D E C E ( M t wa r a I s l a m i c D e ve l o p m e n t Centre) wapewe eneo hilo, walikutana wakajadili n a k i s h a k u wa a m b i a waumini wao kuwa Waislamu wanahangaika bure, Wizara ya Ardhi haitawapa eneo hilo. H a y a n d i y o ya l i yo t a m k wa p i a n a aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Nsa Kaisi. Mkuu huyo wa Mkoa alimwambia Sheikh, Mzee Nasuma ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Bakwata kwamba atahakikisha Waislamu hawapati eneo hilo. Alisema, labda afe au ahamishwe. Lakini muda wa kuwa yupo hai na ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Waislamu hawapati eneo hilo. Kilichofuatia hapo ni mlolongo mrefu ambao makala hii haitoshelezi kuyaeleza yote. Lakini moja ya mambo yaliyokuwa yakifanyika, ni pamoja na watu wa Ardhi Mkoa kushirikiana na viongozi wa makanisa kujadili namna ya kukwamisha maombi ya Waislamu. Mfano kwa mara ya kwanza Waislamu walipowasilisha maombi yao kwa Ofisi ya Ardhi, walibiwa kwa kifupi kuwa eneo hilo halikutengwa kwa ajili ya matumizi ya shughuli z a i b a d a . Wa i s l a m u wakaridhika wakaondoka. Huku nyuma baadhi ya watumishi wa ofisi hiyo wakawasiliana na Kanisa la Assemblies of God wakaleta maombi harakaharaka na wakapewa eneo hilo walilokataliwa Waislamu kuwa sio kwa ajili ya M s i k i t i wa l a K a n i s a . Hata hivyo baadae maofisa hao wa Ardhi walilazimika kuandika barua ya kuwasimamisha Assemblies of God kujenga kanisa katika eneo hilo baada ya Waislamu kuja juu. Mfano wa pili, katika kuhangaikia suala hili, Wa i s l a m u w a l i k u w a wakiwasiliana na Katibu Tawala wa Mkoa (RAS) wakati huo akiwa Bwa. Mwakatobe. Ambacho Wa i s l a m u w a l i k u j a kujua baadae ni kuwa wakati Mwakatobe kila siku akiwapa kauli nzuri Inaendelea Uk. 9
HAYATI Mwalimu Julius Kambarage Nyerere pili, Mzumbe nafasi ya wa Baraza la Maaskofu tisa na shule ya sekondari akisema kuwa serikali Kibaha iliyoshika nafasi ilikuwa ikilipa gharama ya kumi. zote za kuendesha shule Pa m o j a n a k u t u p a z a K a n i s a K a t o l i k i , taarifa hii kwamba katika kulikuwa na mgogoro zile shule kumi bora, saba katika wilaya ya Pare (sasa ni za Katoliki, zipo taarifa Mwanga) ambapo Wazee nyingine muhimu na nyeti wa Kiislamu walitangaza zaidi ambazo Wakatoliki kugoma kulipa kodi kwa h a wa j a s e m a . M o j a n i k u o n a k u wa s e r i k a l i idadi yao katika Baraza la ilikuwa inachukua kodi Mitihani la Taifa (Tanzania zao na kuwapa Wakristo Examination Council). Na kujenga na kuendesha pili, idadi yao katika ile s h u l e , l a k i n i n a o jumla ya Maosa Elimu wa walipoomba (kama ndio Wilaya na Mikoa (DEOs/ utaraibu, wakanyimwa). REOs). Lakini zaidi walikuwa K a t i k a s h u l e k u m i wakizuiwa kuanzisha bora kwa kufaulisha, za shule na kulazimishwa Wakatoliki ni saba. Je, kupeleka watoto wao wakatoliki hawa katika katika shule ya kanisa. Baraza la Mitihani wapo K a t i k a m g o g o r o h u o wangapi? Lakini si idadi ilibidi Mwalimu Nyerere yao tu katika Baraza, kumtumwa (Marehemu) muhimu zaidi ni je, katika Rashid Mfaume Kawawa Idara na Vitengo muhimu kuusuluhisha ambapo na nyeti kwa shughuli kikao kilifanyika Toloha. za utungaji mitihani, Wazee wanasimulia kuwa usahihishaji, utoaji gredi pamoja na kuwa waliandaa n a k u we k a t a k w i m u , chakula kumkirimu mgeni, Wakristo ni wangapi? lakini walikubaliana kuwa Katika kipindi hicho kama Kawawa hatakuwa ambacho Katibu Mkuu a m e k u j a n a j i b u l a
kuwaridhisha, hawampi chakula chao. Tu n a j u a k u wa k wa m a a d i l i ya u t u m i s h i wa serikali, mtumishi anatakiwa kuwahudumia watu wote bila ya ubaguzi wala upendeleo. Lakini katika utaraibu huu (usio rasmi) aliotuambia Father Robinson, imani ya wananchi kuwa maadili ya utumishi wa umma yanafuatwa wanapokaa Wa k a t o l i k i / Wa k r i s t o watupu katika nafasi nyeti na muhimu kama Baraza la Mitihani, itatoka wapi? Katika kitabu Muslims and the State in Tanzania kimetajwa kisa cha Waislamu wa Mtwara mjini kuomba eneo la kujenga Msikiti katika barabara (mtaa) maarufu kuliko zote mjini hapo, TANU Road. Ni kando kando mwa barabara hii ambamo zipo osi za kiserikali na taasisi mbalimba muhimu za kamii. Pamoja na kuwa inakisiwa kuwa Waislamu katika mkoa wa Mtwara ni zaidi ya asilimia 85, lakini kulikuwa hakuna hata Msikiti mmoja katika barabara hiyo, wakati kuna makanisa matano (wakati huo 1997) ambayo ni: Kanisa la Katoliki Magomeni, Kanisa l a K K K T, A n g l i k a n a , Sabato na Catholic Parish Church. Katika miaka ya nyuma, baina ya kanisa la KKKT na Anglikana, karibu na uwanja wa Mashujaa, palikuwa na eneo ambalo halijatumika lililokuwa likimilikiwa na Wizara ya Elimu na Utamaduni. Mwaka 1995 Wizara ya Elimu kupitia gazeti la serikali ilitangaza kuachia sehemu kubwa ya eneo hilo ili ipangiwe matumizi mengine. Ni wakati huo Waislamu wa Mtwanra wakaona watumie fursa hiyo angalau nao wawe na Msikiti katika eneo hilo la mjini. Wakaandika barua rasmi tarehe 11 Septemba, 1997 kwa Manispaa kuomba eneo hilo. Ilipofika tarehe 8 Desemba, 1997, Mipango Miji waliwaandikia b a r u a Wa i s l a m u wakiwafahamisha kuwa maombi yao yamekubaliwa.
Makala
AN-NUUR
WAZIRI Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali mstaafu Joseph Simbakalia. ofisi za EMS (Expedited Mail Service) Dar es Salaam ambapo alionyeshwa kuwa barua yao ilichukuliwa na Afisa wa Wizara ya Ardhi anayeitwa Bwana Magambo ambaye ofisi yake ipo ghorofa ya 9 katika jumba la Wizara. Bahati mbaya siku hiyo Magambo hakuwepo kazini. Watu wengine ikabidi wapekuwe na kukuta barua hiyo ikiwa imewekwa katika lundo la makaratasi ya zamani (yanayongojea kuchomwa moto au kufungwa na kuwekwa stoo.) Hadithi ya kisa hiki bado ni ndefu, lakini tutosheke na kipande hiki. Ila tu niseme kuwa kimiujiza, kwa nguvu za Mwenyezi M u n g u , Wa i s l a m u walipata eneo lile. Kama huu ndio mtandao wa Wakristo katika Wizara ya Ardhi, osi ya Wakuu wa Mikoa mpaka Ikulu, s wa l i n i j e , m t a n d a o kama huu haupo katika Baraza la Mitihani? Ndio maana nikasema, kama ambavyo Kanisa Katoliki limetufahamisha kuwa wanashikilia asilimia 70 katika zile shule bora, ni muh imu p ia wakatufahamisha katika Baraza la Mitihani wapo kwa asilimia ngapi? K a m a m t a n d a o wa Wa k r i s t o u n a w e z a kujipanga kutoka wilayani, Mkoa, Wizara mpaka Ikulu kiasi cha Mkuu wa Mkoa na Waziri kutamba kuwa atahakikisha kuwa atawakwamisha Waislamu kupata ardhi ya kujenga Msikiti, kwa nini kusiwe na wasiwasi kuwa katika Baraza la Mitihani kunaweza kuwa na mtandao ambao unahakikisha kuwa shule na watoto wa Kikristo ndio wanaoongoza kila mwaka? Hapa lazima tujiulize, ile kada ya uongozi wa B a r a z a , Wa r a t i b u wa Masomo, Maofisa wa Elimu Wilaya/Mkoa na watu wote muhimu wanaohusika na mitihani pamoja na kuchagua wanafunzi wa kuingia kidato cha kwanza, tano na vyuo mbalimbali, Wakristo wapo wangapi na watu wa dini nyingine wangapi? Katika hali kama hii ya kisa cha Mtwara, wasio kuwa Wakristo watakuwa vipi na imani na Baraza la Mitihani iwapo itaonekana kuwa nafasi zote nyeti zimeshikwa na Wakristo? Baada ya kuwa walikuwa na Mkuu wa Mkoa aliyeapa kuwa muda wa kuwa yupo hai na ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, atahakikisha kuwa Waislamu hawapati ardhi TANU Road; sasa Mtwara wamepelekewa Mkuu wa Mkoa ambaye m wa k a j a n a a l i p e wa Nishani ya Mtakatifu Gregory Daraja la kiraia kwa utumishi uliotukuka kwa Kanisa Katoliki Mkoa wa Kigoma. Nishani hiyo alipewa na Papa Benedikto wa 1 6 . N a k a z i ya k e imeanza kuonekana katika suala la kufukuzwa kwa wanafunzi wa Kiislamu wa kidato cha sita Ndanda. Itakumbukwa kuwa Wizara ya Elimu ilitoa uamuzi kuwa wanafunzi Waislamu waliofukuzwa wakilalamika kuwa walikuwa wakinyanyaswa na Mkuu wa Shule, warudishwe shule na wafanye mtihani. H a t a h i v yo b a a d a e Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Bwana Joseph Simbakalia anadaiwa kutoa tamko mbadala akidai kuwa msimamo wa kuwafukuza wanafunzi hao uko pale pale na kwamba, vana 15 kati yao wataruhusiwa tu kuingia katika chumba cha mtihani kama watahiniwa wa nje ya shule (private candidate). Aidha, Joseph Simbakalia alidaiwa kusema kuwa wanafunzi h a o 1 5 wa t a l a z i m i k a kwanza kukubali mashariti watakayopewa kabla ya kuingia katika chumba cha mtihani. Katika hali hii ya kuwa na watumishi wa serikali ambao wanakia kiwango cha hali ya juu cha kutumikia makanisa yao mpaka kupewa tuzo na wakuu wa dini zao, je, bado wasio kuwa Wakristo waamini kuwa watu hawa watawatumikia bila ya
ubaguzi na upendeleo? Hivi sasa Kanisa Katoliki lipo katika mchakato wa kumtangaza Mwalimu Nyerere kuwa ni mtakatifu. Hapana shaka hapewi heshma hii kutokana na jinsi alivyowatumikia Wa t a n z a n i a m p a k a kuwafikisha mahali wanapanga foleni kutwa wakisubiri robo kilo ya unga wa njano au muhogo. H a wa k u m p a n i s h a n i hiyo kwa kuikisha nchi hii ambapo kila bidhaa muhimu ikawa haipo, n a r u s h wa k u t a wa l a , usemi mnyonge hana haki ukatawala kama alivyosema Padiri John Sivalon. Utakatifu anapewa kutokana na jinsi alivyotekeleza ahadi yake ya kulipa kanisa katoliki a beer chance. Na ni kutokana na beer chance hiyo, leo Wakatoliki wanatamba. Swali ni je, hali hii mpaka lini? Sifa gani ambazo zinahitajika kushika nafasi ya uongozi wa Baraza la Mitihani, ambazo watu w e n g i n e h a wa n a i l a Wakristo tu? Wa p o v i o n g o z i watendaji wa ngazi za juu kama Katibu Mtendaji wa Baraza na wasaidizi wake, wapo wakuu wa vitengo muhimu, wapo waratibu wa masomo n.k, je, Wakristo wangapi na Waislamu wangapi? Kama nafasi hizo watakuwa wamehodhi Wakristo, tufahamishwe, sifa gani zinahitajika a m b a z o Wa i s l a m u hawana mpaka serikali ilazimike kuweka Wakristo watupu?
Wa k a t i Wa k a t o l i k i wa k i s h e r e h e k e a k wa shule zao kuchukua nafasi 7 katika zile kumi bora, Zanzibar ni kilio. Wa n a s i a s a , w a l i m u , wanafunzi na jamii kwa u j u m l a , wa n a j i u l i z a , imekuwaje idadi kubwa ya shule na wanafunzi waliofutiwa matokeo yao iwe kutoka Zanzibar? Inakuwaje matokeo yao kila mwaka yawe mabaya? Inawezekana kuna uzembe mkubwa unafanyika katika shule za Unguja na Pemba kiasi cha kuwafanya wanafunzi Inaendelea Uk. 11
10 AN-NUUR
MAKALA
walidirki kutaka kumhoji Rais Salmin Amour. Lakini si Waheshimiwa Wabunge wala si vigogo Waislamu wa Bara waliosikika kulaani kitendo kile cha kumdhalilisha Komandoo. Ilikuwa adhalilishwe kwa kitendo kilichokuwa kilete faida kwa Waislamu wa nchi hii. Hawa waheshimiwa wa Bara (sio Waislamu mitaani na misikitini) hawakuliona h i l o n a wa l i u n g a n a n a wenzao wasikuwa Waislamu kukilaani. Itakuwa si sahihi kunukuu vitendo hivyo kama ndio hasa asili ya Wazanzibari kuuchukia Muungano kwa sababu kuna zile zinazoitwa kero ambazo, kufuatana na maoni ya Wazanzibari ni nyingi sana. Zanzibar imebanwa sana na Bara kiasi kwamba maendeleo yake yamefubaa sana. Liko hili moja ambalo linaweza kuonekana ni upuuzi lakini wao wanaitaja kama ni mfano mmoja wa dharau waliyonayo Bara dhidi ya Zanzibar. Nalo ni hili. Siku ile nilipokuwa nikisongwa na maneno pale JAWS CORNER (Soko Muhogo) nilisutwa kuwa hata katika ile kamati ya kutafuta vazi rasmi la kitaifa hakuchaguliwa Mzanzibari hata mmoja. Yaani kwa kitendo hicho ni kuwa hata wao watu wa Bara wanakubali k u wa Wa z a n z i b a r i s i o Watanzania. Haya wasomaji sio ya kutunga, ni kweli kabisa yalisemwa na wengi pale JAWS CORNER. Nimeandika makala haya nikikumbuka mazungumzo yangu na Ustadh Othman Matata nikitegemea kuwa bila shaka wako wasomaji wengine wana mawazo kama yake. Linalompa taabu sana na kuwa hapa pana Waislamu wa Zanzibar ambao kwa sababu za kisiasa wametokea hata kuwachukia Waislamu wenzao wa Bara. Hapo hapo hawa Wazanzibari hawakumbuki kuwa Waislamu wenzao walioko Bara wanapata madhila makubwa na kudhulumiwa haki zao wazi wazi. Kwake yeye Sheikh Othman Matata yote hayo yangewafanya Wa i s l a m u wa Ta n z a n i a (Bara na Visiwani) kuwa kitu kimoja. Watawala wa baadhi ya nchi za Kiarabu wamelipa sifa mbaya neno IKHWAAN, lakini je tukikiumbuka Surat-il-Anbiyaa 21:92; haiwezi kutosha kuwaleta Waislamu Wazanzibar na wale wa Tanganyika (sio DANGANYIKA) kuwa kitu kimoja?
Uislamu na Muungano
Na Khalid S Mtwangi WASOMAJI watakumbuka kusoma katika gazeti hili toleo la tarehe Januari 6, 2012 hayo niliyokutana nayo Zanzibar kuhusu Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar. Nimetanabahi sasa kuwa makala ile imezuwa hisia za mitazamo tofauti kuhusu jinsi mawazo na maoni ya Wazanzibari yanavyoutambua ama kutoutambua Muungano katika nyanja ya Uislamu. haja ya kumkumbusha yeyote yule kuwa Wananchi w e n g i wa Z a n z i b a r n i waumini wa imani sahihi ya Uislamu. Na huko Bara pia kuna idadi kubwa tu ya Waislamu waliotapakaa kila kona ya nchi hiyo kubwa. Kwa mafundisho ya Kiislamu, hawa wote ni ndugu ambao mtazamo wao katika maisha ya kawaida hauna tofauti kubwa. Lakini inaelekea kuwa siasa imeweza kuwatenganisha kwa kiasi fulani. Hivyo ndivyo Ustadh Othman Matata anavyokiri na hayo yanamsikitisha sana. Nilikutana na Alim huyu siku ya Jumapili ya tarehe 12 Februari, 2012 tukiwa s o t e wa a l i k wa k we n ye semina kuhusu Katiba Mpya iliyoandaliwa na Jopo la Masheikh na Wanataaluma. Jinsi alivyouanzisha mjadala juu ya yale niliyoyandika katika makala ile, ilikuwa dhahiri kuwa yaliyokuewemo yalimkera sana kiasi nadhani alikuwa na shauku kubwa ya kukutana na mimi anieleze mawazo yake. Na mawazo yake yalilenga kabisa kuwalaumu Wananchi wa Z a n z i b a r k wa k u u k a n a Muungano, na Wananchi hao wengi wao wakiwa Waislamu. Hoja yake ni kuwa kwa hali ilivyowalemea Waislamu wa Bara Muungano ulikuwa tegemeo lao kubwa si kwa kuongeza idadi tu ya Waislam Tanzania nzima, bali pia kuwa na utetezi mzito ikitambuliwa kuwa Zanzibar imejiunga na Tanganyika kama nchi kamili iliyo na utawala wake wa ndani ya Zanzibar.
Mkurugenzi wa Shule ya Istiqama, Tabora, Sheikh Mohamed Mbega(kulia) akifafanua jambo kwa Sheikh Abdul-Hadh Saburi
Lakini nilielewa kuwa msimamao huo wa kuukana Muungano amekutana nao hasa miongoni mwa Wa z a n z i b a r i wa n a o i s h i Ulaya . Kila mara alipokutana nao huko Ulaya alitambua kwamba sio tu hawataki Muungano bali p i a wa l i o n ye s h a c h u k i dhidi ya watu wa Bara. Alitoa maoni kuwa chuki hiyo miongoni mwa hawa jamaa haikuonekana kama inatenganisha siasa na watu wenyewe ama kutofautisha kati ya wasio Waislamu na walio Waislamu. Ilimuradi kuwa wote hao ni watu wa Bara, basi watumbukize wote katika kapu moja. Hata hivyo inakuwa muhimu kusisitiza kuwa hizo ni hisia za mtu binafsi ambazo sio kashfa wala uchochezi. Isipokuwa mtu yeyote anayetembelea J AW S C O R N E R ( S O K O MUHOGO) hapo MJI MKONGWE na akasikia yanayozungumzwa hapo wazi wazi kabisa anaweza kukubaliana na Ustadh Othman Matata. Jinsi gani mawazo kama hayo pengine yamezagaa angalau Zanzibar Mjini ni kama ilivyoelezwa katika ile makala kuwa taxi driver naye alikuwa na yake mara tu alipotambua kuwa abiria wake ni wa kutoka Bara. Ama wale vana nyumbani kwa shemeji yangu Bw Sali Nassor walivyoshambulia mwandishi huyu takriban kila lile la Muungano. Hivyo Ustadh Othman Matata asilaumiwe kwa hayo anayoona kuwa ni kweli chuki ipo. Lilistaajabisha sana inakuwaje Waislamu wa Visiwani wawe na mawazo hayo dhidi ya Waislamu wenzao wa Bara ambao hakika wanahitaji sana kuungwa mkono katika madhila mengi yanayowasibu. Kwa mfano hakuna viongozi wowote wa Zanzibar, hasa wale wa dini, waliojitokeza kuwaunga mkono Waislamu wa bara katika kilio chao cha kutaka Mahakama ya Kadhi yarudishwe. Zanzibar imekuwa kimya kabisa kama wao hawahusiki wakati huko kuna wanazuoni ambao wengeweza kutoa ufafanuzi wa wazi kabisa kuhusu haja ya kuwepo Mahakama hayo. Katika hilo Wazanzibari nao wana malalamiko dhidi ya Waislamu wenzao wa Bara, hasa wale walio madarakani wakiwemo wabunge. Ila niseme kuwa inawezekana Waislamu wa Bara walipiga kelele kuitetea Zanzibar na kumshutumu Nyerere na serikali ya Bara ilipoizuiya Zanzibar kujiunga na OIC. Kelele kutoka Bara zilikuwa kubwa kuliko zile za visiwani. Wasomaji watakumbuka kuwa hatua ya Zanzibar kutaka kujiunga na OIC (Organisation of Islamic Conference) ilioleta sokomoko kubwa sana nchini humu. Sio tu iliwaudhi wasiokuwa Waislamu ambao walipata msaada mkubwa kwa kuungwa mkono na Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, hawa walitaka kuchukua hatua kali zaidi ya kutaka kumshitaki (neno la Kiingereza impeach ni zito zaidi na ni hili ndilo walilitumia) Rais Ali Hassan Mwinyi. Hawa wasiokuwa Waislamu walua kabisa kuwa Rais Mwinyi hakuidhinisha hatua aliyochukua Salmin Komadoo Amour Juma akiwa ndiye Rais wa Zanzibar. Lakini kwa sababu tu hapa palikuwa na Rais Muislamu na lile lisilotakiwa lina husu Uislamu, basi yeye lazima awe anahusika. Haulikani kiasi gani Mwalimu Nyerere naye aliudhiwa sio tu kukiuka katiba ama sheria bali pia kiini cha sokomoko yote hiyo ilikuwa ni Uislamu. Kamusi ya English-Swahili ya Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili-TUKI-ina tafsiri neno la Kiingereza NEMESIS ikiwa ni MSHINDANI/ADUI asiyeshindika. Basi hapo bila shaka palipatikana nafasi nzuri sana ya kumuponda Rais Mwinyi. Inasemekana kuwa Wazanzibari walisikitika sana pale hapakutokea sauti yeyote ya kutetea hatua ile ya kutaka kujiunga na OIC ambayo bila shaka ingeweza kuwa ya faida sana kwa Tanzania nzima na sio kwa Waislamu wa Zanzibar peke yao. Ajabu ni kuwa kulikuwa na Waheshimiwa Wabunge walio Waislamu ambao walipochangia mjadala huo walisikika kabisa wakiponda hatua ile iliyochukuliwa na Rais Salmin Komandoo Amour; kulikuwemo hawa Wabunge wengine ambao hawakutaka kusikilizika na walikuwa wakikwepa vikao vilivyokuwa vikizungumzia suala hilo la OIC. Ambalo labda lilikuwa la kusikitisha zaidi ni pale ile Kamati ya Bunge iliyoundwa kuchunguza sakata hilo
MAKALA
AN-NUUR
11
huu. Bado Viongozi wa juu wanasema Serikali mbili ni sera ya CCM. Tutahadhari nao na tuangalie tuwe macho katika vitendo vyao na kauli za. Mambo yaliandaliwa kwa hesabu. Ndio maana
M h . M a n s o u r Yu s s u f H i m i d i a k a o n d o l e wa katika Wizara hiyo na kupewa Mh. Shamhuna. Viongozi walikwisha uona msimamo wa Mansour juu ya nchi yake. Mansour asingelikubali jambo hilo
abadani. (Mungu ibariki Zanzibar, Mungu libariki Baraza la WawakilishiIbrahim Hussein Mohammed TEL: 0715498363)
mwaka 2010, mkoa gani uliongoza kwa kiwango cha ufaulu? Baadhi ya taarifa zinasema kuwa ulikuwa Unguja. Je, mkoa huo ulitajwa? Kama haukutajwa kwa nini wakati tunaona fahari kutaja watoto wa Kikristo na shule za Kikristo zilizoongoza? Mwaka huu je, Mkoa g a n i u n a o n g o z a k wa kiwango cha kufaulu? Kwa nini data hiyo muhimu haikutajwa hadharani wakati wa kutangaza matokeo? Haki inatakiwa itendeke n a i o n e k a n e k wa m b a imetendeka. Katika mazingira kama haya ya kuwa na mtandao wa akina Mwakatobe, Gideon, Dr. Ndagala, wakihodhi osi za serikali, itakuwa kujidanganya kudhani na kuamini kwamba hakuna hujuma wanayofanyiwa wasio wa dini ya wale waliotupa barua ya MIDECE katika kapu la taka.
12 AN-NUUR
Barua/Shairi/Makala
Upofu wa 'mapaparazi'
Upofu umekithiri, wa magazeti nchini Upofu yaukhitari, yote na kwa moja kani Upofu huu hatari, malongeye hasa nini Mapaparazi kwanini, mnajivika upofu? Upofu wa mambo chanya, ni kweli hamyaoni Upofu wa kukusanya, mambo hasi namba wani Upofu wa kujifanya, kama siyo sasa nini Mapaparazi kwanini, mnajivika upofu? Upofu wa yenu macho, atauagua nani Upofu wa ndicho sicho, kuwa sicho kulikoni Upofu wa wasicho ndicho, kufanywa ndicho kwa nini Mapaparazi kwanini, mnajivika upofu? Upofu wa makengeza, watanda magazetini Upofu wauza, wa waandishi uoni Upofu waidumaza, kwa hakika yenu fani Mapaparazi kwanini, mnajivika upofu? Upofu ni jambo sui, vyema vyote tambueni Upofu haumkai, ila aliyefatani Upofu kwenu adui, kwa kasi mkimbieni Mapaparazi kwanini, mnajivika upofu? Upofu wa kujitia, lengo ndarama kazini Upofu si asilia, wenu sinao imani Upofu ni wa bandia, kalamu naweka chini Mapaparazi kwanini, mnajivika upofu? Na Abuu Nyamkomogi Mwanza
Inatoka Uk. 16
Udini huo udini, si siri u hadharani Udini huo udini, ubara na visiwani, Udini huo udini, mini na vini Mlolala amkeni, tuukabili udini.
Udini huo udini, u mwingi serikalini Udini huo udini, uko tuli na bungeni Udini huo udini, kulikoni na kortini Mlolala amkeni, tuukabili udini. Udini huo udini, wimbo- taifa wa dini Udini huo udini, dua bungeni ya udini Udini huo udini, vyote vya teule dini Mlolala amkeni, tuukabili udini. Udini huo udini, chazo cha MoU nchini Udini huo udini tuwe macho katibani Udini huo udini, use hodhi maoni Mlolala amkeni, tuukabili udini. Udini huo udini, sumu ya Kadhi nchini Udini huo udini OIC kapuni udini huo udini,Tageti ni yetu dini Mlolala amkeni, tuukabili udini. Udini huo udini, cha mauaji kiini Udini huo udini, Mwembetanga msikitini Udini huo udini, mwembechai kumbukeni Mlolala amkeni, tuukabili udini. Udini huo udini, haunenwi redioni Udini huo udini, hauonwi runingani Udini huo udini, hautajwi gazetini Mlolala amkeni, tuukabili udini. Udini huo udini, jana ni Ndanda shuleni Udini huo udini, mwajipofu kwa nini Udini huo udini, kesho ni kwenu kazini Mlolala amkeni, tuukabili udini. Udini huo udini, kuweni nao makini Udini huo udini,u dhidi ya waumini Udini huo udini, wa wasokuwa na dini Mlolala amkeni, tuukabili udini. Udini huo udini, wazidi kututini Udini huo udini, nguvu tuunganisheni Udini huo udini, kwa pamoja tutawini Mlolala amkeni, tuukabili udini. Abuu Nyamkomongi Mwanza
mafunzo katika Nyanja mbali mbali za udaktari. Dk. Shein aliyasema hayo juzi Ikulu mjini Zanzibar wakati alipokuwa na mazungumzo na Dk. Rufaro Chatora Mwakilishi Mkaazi wa WHO nchini Tanzania akiwa amefuatana na Asa Ushirikiano wa Shirika hilo Dk. Pierre Kahozi Sangwa anaefanyia kazi zake hapa Zanzibar. Katika mazungumzo hayo, Dk. Shein alimueleza Mwakilishi huyo wa WHO nchini Tanzania kuwa Zanzibar imekuwa ikipata mashirikiano na misaada mbali mbali kutoka Shirika hilo ambayo imeweza kusaidia katika kuimarisha sekta ya afya nchini sanjari na kuwajengea uwezo wafanyakazi wa sekta hiyo. Alieleza kuwa Zanzibar imeweza kupata mashirikiano mazuri kutoka Shirika hilo kwa miaka mingi ikiwa ni p a m o j a n a k u u n g wa mkono katika Mradi wa mwanzo wa kupambana na Malaria na kuweza kupunguza maradhi hayo kwa kiasi kikubwa. Alieleza kuwa mafunzo kwa madaktari kutasaidia kwa kiasi kikubwa katika kuimarisha sekta ya afya nchini na kueleza kuwa Serikali itaweka mipango m a d h u b u t i ya k u t o a mafunzo kwa madaktari wake. Pia, Dk. Shein alitoa pongezi kwa Shirika hilo pamoja na Serikali ya Marekani katika kusaidia kuiunga mkono Zanzibar katika mapambano ya Malaria. Akimtaja Dk Qobella ambaye alikuwa Afisa Ushirikiano wa mwanzo wa Shirika hilo hapa Z a n z i b a r a k i f u a t i wa n a Dk . K i memi a n a wengineo kadhaa ambao walifanya kazi vizuri na kuweza kutoa mchango wa o m k u b wa k a t i k a kuimarisha sekta ya afya nchini. Dk. Shein alisema kuwa Shirika hilo limeweza kusaidia katika utoaji wa mafunzo kwa Madaktari kadhaa wa Zanzibar kwa kuweza kuwadhamini katika masomo yao ambapo baada ya kurudi wameweza kufanya kazi vyema katika kada hiyo hapa nchini. Alieleza kuwa
RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein kuimarisha sekta ya afya kipaumbele zaidi hivi kwa kutambua juhudi sasa kimewekwa katika kubwa inazozichukua kuwapatia mafunzo katika kuimarisha sekta madaktari hapa nchini hiyo. hivyo uungaji mkono wa Dk. Chatora alimueleza Shirika hilo katika jambo Dk. Shein kuwa WHO hilo kutasaidia kwa kiasi inatambua juhudi kikubwa kuimarisha sekta za Zanzibar katika ya afya. kupambana na maradhi Dk. Shein alieleza kuwa mbali mbali na kutoa wengi waliopata nafasi pongezi kwa hatua hizo za masomo kupitia ilizozichukua katika Shirika hilo wameweza kupambana na maradhi kuisaidia sekta hiyo kwa ya Malaria na kupelekea kiasi kikubwa na kuweza Zanzibar kuwa kigezo kutoa huduma ya afya katika nchini zilizo chini katika kada kadhaa ikiwa ya jangwa la Sahara. ni pamoja na kupunguza Kutokana na juhudi vifo vya akina mama na hizo Mwakilishi huyo watoto. alitoa pongezi kwa Serikali Katika maelezo yake ya Mapinduzi Zanzibar pia, Dk. Shein alimueleza chini ya uongozi wa Dk. Mwakilishi huyo kuwa Shein katika kukia hatua wananchi walio wengi hiyo na kusifu Sera na hapa nchini wamepata Mikakati iliyowekwa mwamko wa kupambana katika kuimarisha sekta na Malaria na wamekuwa ya afya nchini. wakichukua juhudi kubwa Mwakilishi huyo za kujikinga licha ya alimueleza Dk. Shein juhudi zinazochukuliwa kuwa WHO imeridhishwa na Wizara. na hatua za Serikali ya Kutokana na hatua hiyo Mapinduzi Zanzibar Dk. Shein alisema kuwa katika kuimarisha sekta Serikali ya Mapinduzi hiyo na kusifu mikakati Zanzibar kupitia Wizara yake ya kupamaba na yake ya Afya itaendelea maradhi sugu kuthamini na kutambua Mapema Katibu Mkuu umhimu mkubwa wa Wi z a r a ya A f ya , wa Shirika hilo katika Dk. Mohamed Jidawi kuimarisha sekta ya afya akiwatambulisha wageni hapa Zanzibar ikiwa ni hao kwa Rais, alieleza pamoja na kuuimarisha kuwa WHO ni miongoni uwanachama wake ndani mwa Shirika la Umoja wa ya Shirika hilo. Mataifa ambalo limekuwa Nae Mwakilishi wa Shirika hilo la WHO nchini likitoa mashirikiano Tanzania Dk. Rufaro mazuri katika sekta ya Chatora, alimueleza afya hapa Zanzibar. Dk. Shein kuwa Shirika (Habari kwa hisani ya hilo litaendelea kuiunga Ikulu Zanzibar). mkono Zanzibar katika
Matangazo
AN-NUUR 13
INAWATANGAZIA WAISLAMU WOTE KUWA NAFASI ZA MASOMO BADO ZIPO KATIKA SHULE ZETU ZA: SEKONDARI (KUJIUNGA FORM ONE) PRIMARY (KUJIUNGA GRADE ONE) CHEKECHEA USAILI KWA WANAFUNZI UNAFANYIKA KILA JUMAMOSI PIA WANAOTAKA KUHAMIA NAFASI BADO ZIPO SHULE IPO MASJID NNUUR SINZA USAFIRI UPO KWA WANAFUNZI WA NURSERY NA PRIMARY. KWA MAWASILIANO: 0713-819391 AU 0713-220567 WABILLAHT TAWFIIQ UONGOZI
AL- MAKTOUM COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY ( AMCET) NAFASI KWA MASOMO YA CHETI NA STASHAHADA KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013
AL- MAKTOUM COLLEGE OF ENGINEERING AND TECHNOLOGY (AMCET) ni chuo cha ufundi kilichosajiliwa na kinachotambulika na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE). Chuo kiko maeneo ya Mbezi Beach Kilomita moja kutoka kituo cha mabasi Tangi bovu na Kilomita tano kutoka kituo cha mabasi Mwenge barabara ya Ali Hassan Mwinyi kuelekea Bagamoyo. AMCET inatangaza nafasi za masomo kwa wanafunzi wenye sifa,kwa daraja ya stashahada na cheti kwa mwaka wa masomo 2012/2013. Tarehe ya mwisho ya kupokea maombi ni 15th March 2012. Fomu za maombi zina patikana Chuoni barabara ya Bagamoyo na IBN Hazm Bookshop kariakoo mkabala na Mskiti wa Manyema. Pia zinapatikana kwenye tovuti yetu (www. al-maktoumcollege.com) Kozi zinazotolea INFORMATION TECHNOLOGY ELECTRICAL ENGINEERING ELECTRONICS ENGINEERING KOZI FUPI ZIPO Muhula wa kwanza utaanza tarehe 16th /4/2012 Muda wa masomo: Cheti cha ufundi Sanifu (NTA Level 4) mwaka mmoja Stashahada (NTA Level 4-6) miaka mitatu Stashahada (NTA Level 5-6) miaka miwili kwa wanafunzi wenye sifa wa kidato cha sita. Sifa za muombaji A) Stashahada (NTA Level 4-6) Muombaji anatakiwa awe amemaliza kidato cha nne na awe ana angalau D kwenye hisabati, Jiograa na kingereza. Fizikia itaongeza uzito zaidi. Muombaji awe ana cheti cha daraja la nne cha kidato cha nne na awe na cheti cha (NVTA II) kwenye nyanja hizo kutoka Chuo kinacho tambulika na VETA. B) Stashahada (NTA Level 5-6) Muombaji anatakiwa awe na cheti cha kidato cha sita chenye angalau prinsipali moja katika somo la hisabati au zikia na subsidiary pass kwenye somo linguine. Kama sifa hizo hapo juu muombaji hajazikisha, atatakiwa kujiunga na bridge Up course zinazo andaliwa na chuo ili aweze kujiunga na masomo. Ada za AMCET ni zenye unafuu kwa masomo ya stashahada na chet. Udhamini utatolewa kwa wanafunzi wenye sifa za juu. Malazi pia yapo bure kwa wanafunzi 75 watakaowahi kujiunga. Fomu za kiunga zinapatikana kwa gharama ya Shilingi 10,000/= Kwa mawasiliano zaidi Kwa Mkuu Wa Chuo Al- Maktoum College of Engineering and Technology P.O.BOX 7206 Dar es Salaam Simu: 22 2617703/4 Simu za mkononi: 0713 423 405 Au 0713 220 304
14 AN-NUUR
Tangazo
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L
SAME KILIMANJARO (BWENI TU) MWANZA (BWENI TU DAR ES SALAAM (BWENI TU)
1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu kwa gharama nafuu. 2. Masomo yanayofundishwa ni Islamic knowledge, michepuo (Combinations) YOTE ya SAYANSI, ARTS, BIASHARA na COMPYUTA. 3. Muombaji awe na Credit 3 au zaidi na angalau daraja D katika somo la Elimu ya Dini ya Kiislamu. Ikiwa hakufanya mtihani wa somo hili, basi awe tayari kusoma program maalum ya Maarifa ya Uislamu atakapokuwa kidato cha tano. 4. Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni tarehe 01/03/2012 5. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini. Arusha Msikiti wa sakina: 0754 96660 Kilimanjaro Moshi: Msikiti wa Riadha 0784 277755 Same: Kirinjiko Islamic Secondary School: 0784 296424 Juhudi studio/Restaurant-Same Mjini 0757013344 Tanga Uongofu Bookshop: 0784 982525 Mwanza Nyasaka Islamic Secondary School: 0784 232438 Osi ya IPC MWANZA-Mtaa wa Ruji mwisho: 0754889330 Musoma Shule ya Msingi Kamnyonge: 0754 067551 Kagera Bukoba: Katoro Islamic Secondary School: 0754 523322 Shinyanga Kahama Osi ya Annur -0753993930 DSalaam Ubungo Islamic High School: 0754 260241 Manzese Osi ya Gazeti la Annur-0713110148/0777777372 Temeke Osi ya Islamic Ed. Panel-Mkabala na msikiti wa Nurulyakin-0787119531 Pwani Ikwiriri Msikiti wa Taqwq:0787393199 Morogoro Osi ya EKP- Msikiti wa Ijumaa Boma Road. Morogoro mjini-0712689258 Dodoma Al-Hijra Nursery School: 0786 386767 Singida Msikiti wa Kati Osi ya Jawla 0786 123246 Manyara Babati: 0784406610/0784928039 Kigoma Msikiti wa Mwanga mjini Kigoma: 0753 355224/0717317322 Kibondo Migano General Service: 0754 738654 Tabora Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566 Nzega Lillahi Nursery School: 0754 576922 Lindi Wapemba Store: 0784 974041 Mtwara Amana Islamic Secondary School: 0784 596707/0785777370 Songea M.A. Kawanga mkabala na Msikiti wa Wilaya 0713 249264 Mbeya Msikiti wa Forest: 0713 200209 Rukwa Sumbawanga: Semzango Stationary-0786830119 Iringa Madrasatun-Najah: 0714677866 Pemba Wete: Wete Islamic Education Centre: 0777 432331 Unguja Madrasatul-Fallah: 0777 431580 6. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha. USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU! Wabillah Tawiq MKURUGENZI
Makala
Na Khatib J Mziray
KABLA saeleza jinsi lile giza lilivyoingizwa Afrika kutoka Ulaya kupitia dini ya Kirumi, nioneshe jinsi, Allah S.W. alivyotufahamisha giza hilo kupitia kwa Mtume Muhammad S.A.W. kutoka katika Quran:Mwenyezi Mungu ni M l i n z i wa wa l i o a m i n i . Huwatoa gizani na kuwaingiza mwangazani. lakini waliokufuru, walinzi wao ni Mashetani. Huwatoa kwenye mwangaza na kuwaingiza gizani. Hao ndio watu wa Motoni, na humo watadumu. Quran 2:257. Sherehe (ufafanuzi) chini ya aya hiyo:- Mwenyezi Mungu ndiye mwenye kuyaangalia mambo ya Waumini, na ndiye mwenye kuwasaidia na kuwanusuru. Huwatoa kwenye kiza cha shaka na kudanganyikiwa kuendea kwenye nuru ya Haki na utulivu. Na Makari wenye kumkana Mwenyezi Mungu wanashughulikiwa na Mashetani na wanaolingania shari na upotovu. Wao hao huwatoa kwenye nuru ya Imani waliyoumbiwa nayo nailiyozagaa kwa dalili nyingi na ishara, na kuwatia kwenye kiza cha ukari na ufisadi. Na hawa makafiri ndio watu wa Motoni na humo watadumu milele. H i y o n i Ta r j u m a ya Almumtakhab Qur an Tukufu iliyofasiriwa na Sheikh Ali Muhsin AIBarwan. Mwaka wa 610 na k u e n d e l e a , A l l a h S . W. alishamweleza Nabii Muhamad S.A. W. jinsi Wa r u m i w a l i v y o k u w a wamewatoa waumini katika nuru, na kuwaingiza katika giza, na tukaachiwa Kitabu cha Quran, ili kiwe Mwongozo wa kuirejesha jamii ya wanadamu katika nuru. Zipo habari za Waingereza kuuzwa sokoni Roma Italy, A.D. 387 604, (Historia ya Kanisa uk 74 - 75, cha Bw. Canon H. J. E. Butcher). Waingierezawa Scotland na wa Ireland, walikuwa wanauzana na wanunuzi wa k u b wa wa l i k u wa n i Warumi. Hivyo wale wanaokuja na Historia za kikoloni kuwa Muingereza alikuja kutukomboa kutoka katika u t u m w a w a Wa a r a b u , kwanza watuambie kuwa utumwa ulioendeshwa Afrika ya Magharibi, Liberia, Kongo n.k. uliendeshwa na watu wa taifa gani, na mnunuzi wa watumwa hao ni nani, ni wa dini. Uroma ulitanguliza wapelelezi kwa sifa mbalimbali, na kwa malengo mbalimbali, moja ya lengo kuu ni kulileta lile giza huku Afrika baada ya kulieneza nchi za Ulaya; kama alivyoandika Bw. Canon kuwa Uislamu ulipokelewa kwa kasi katika nchi za Afrika Kaskazini . Uislamu ulipokelewa k wa k a s i k a t i k a p wa n i ya nchi za Afrika ya Mashariki, Somalia, Kenya, Zanzibar, Tanganyika na Msumbi; hivyo, wapelelezi wa Makanisa (Wakristo) waliingia kupeleleza sehemu hizo kwa kutumia kila aina ya ghilba na hila na baadaye
Giza la Uroma
AN-NUUR
15
vita. Kina Cristopher Columbus kutoka Ulaya,ni miongoni mwa wapelelezi wa kwanza miaka ya 1450 A.D. kina Barthlomew Diaz 1486 A.D. kina Vasco Da Gama 1498 A.D. na kina Perdo Cabral 1500 A.D. Wapelelezi hao Wareno Wa k a t o l i k i wa l i o l e l e wa vizuri katika dini ya Roma, ndio walioanza hasa kutia gizaTanganyika na Zanzibar. Vasco Da Gama akiwa ni mpelelezi wa serikali ya Ureno na wa kanisa la Katoliki, alitoka Portugal, Ureno, kwanza akaenda mpaka Mouritania, akapeleleza aka endelea mpaka Angola, akapeleleza, akazunguka Afrika ya Kusini akafika Natal, akapeleleza, akapandisha kuelekea Afrika ya Mashariki, akaka Sofala (Msumbiji) akapeleleza, ni pamoja na Kilwa, hapo alikuta kuna Uislamu wenye maendeleao, akaendelea hadi Mombasa na Malindi akapeleleza, akaenda hadi India. Katika mzunguko huo, Va s c o d a G a m a a l i f i k a Kisiwani Maa siku ya Ijumaa 07. April. 1498. Baada ya kurudi Urenona kuwasilisha taarifa ya upelelezi wake, kwa Mfalme chini ya Kanisa la Katoliki; alirejea tena Kilwa tarehe 12.07.1502, akiwa na agizo la mfalme mkatoliki; agizo la kuitawala Kilwa na Pwani kwa ujumla. Vasco da Gama alipotia naga Kilwa, alimwagiza Sultani kuwa aende katika meli yake, lakini Sultani alikuwa hayuko, akaenda kaimu wake akiitwa Amir Ibrahim. Alipofika Vasco da Gama akamwambia kuwa tayari yuko chini ya ulinzi, Gama akamwambia, kuwa akubali Kilwa itawaliwe na mfalme wa U r e n o , a u a k i k a t a a Gama atamfunga ndani ya
meli na atakichoma moto kijiji chote. Amir akakubali; Gama akamwambia kuwa kila mwaka alipe paund 1,000 kwa serikali ya Ureno. Vasco da Gama akasubiri miaka ya mwanzo alilipwa kwa dhahabu na mawe ya thamani, akakita bendera ya nchi ya Ureno yenye msalaba, akaiacha Kilwa. Kwa kifupi baada ya muda Sultani wa Kilwa aliacha kulipa zile paund 1,000. Kilichofatia ni tarehe 22.07.1505 kamanda wa jeshi la Wareno aliyeitwa D Almeida, alifika na jeshi akateka Sofala, mji wa biashara ya dhahabu; Ukatoliki ukaanza kuingizwa kwa njia ya vita. Haya yote yalikuwa ni kupeleleza kuwa vile vita v ya M s a l a b a ( C r u s a d e s ) vilivyoanzishwa mwaka wa 950 - 1350 kuwa vimeumaliza Uislam kwa kiwango gani. Na taarifa hizo za kuona kuwa tayari Afrika ya Mashariki mpaka India kuna Waislamu wengi kuliibua wapelekezi wengi walioanzia upelelezi wao Afrika ya Kaskazini na Magharibi, kama kina Richard Bueton, na Speke miaka ya 1857. Kina David Livingstone, kina Rocher mwaka 1859 huyo ni Mjerumani, kina Von Decken miaka ya 1860, kina Charles New na kina H. M. Stanley mwaka wa 1871. Hao na wengine upelelezi wao ndio uliofanya pawe na kile kikao cha kugawana Afrika mwaka wa 1884 kule Berlin Ujerumani. Ndiyo maana yaliundwa mashirika mengi huko Ulaya ya kuivamia Afrika kama mashirika ya dini kwa ajili ya huduma mbalimbali chini ya nguvu za dola na nembo ya Ukristo; na yanaendelea kuundwa mengi kwa ajili ya kuingiza giza la kuufuta ujumbe wa Manabii kutoka kwa Mwenezi Mungu. Ukristo wa aina yoyote unaoamini kuwa Paulo ni Mtume wa Mataifa, ni wa
mfumo wa imani ya dini ya m i u n g u wa K i r u m i ; kama Paulo mwenyewe alivyothibitisha:Kwanza namshukuru Mungu wangu katika Yesu Kristo kwa ajili yenu nyote, k wa k u wa i m a n i ye n u inahubiriwa katika dunia nzima. (Rumi 1 :8). Ndiyo maana Warumi au watu wa Ulaya Mashariki na Magharibi walipoona kuwa Paulo amefanikiwa kuanzisha dini ya Ukristo kule Antiokia mwaka wa 14 A.D. Matendo ya Mitume 11:26. na kuwaandikia Warumi barua kati ya A.D. 57 na 58, baada ya kuwakamilishia miongozo ya dini na injili zake, na ibada. Wagalatia 3:15; 2 Thimoseo 2:8; rumi 2: 16; 1 Wakorintho 15: 1; Wagalatia 2:7; Matendo 24: 14. Ikumbukwe kuwa kabla Paulo hajaanzisha dini ya Upakwa mafuta (Ukristo), alishakuwa na dini nyingine mchanganyiko:Paulo akasema, .... Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo, mwana wa farisayo ....Matendo 23:5 - 6. Mafarisayo na Masadukayo ni baadhi ya dini zilizoanzishwa na Mayahudi. Kutokana na Paulo kuwa kigeugeu na kuvuruga dini mbalimbali zilizokuwepo wa k a t i h u o , M a ya h u d i walimshitaki Paulo:Kwa maana tumemwona mtu huyu (Paulo) mkoro, mwanzilishi wa tina katika Wayahudi wote duniani, tena ni kichwa cha madhehebu ya wananazorayo. Matendo 24:5. Hata hivyo, katika kesi hiyo alieleza wazi kuwa pamoja na kuwa na dini nyingi ikiwemo hiyo aliyoianzishia Antiokia (Ukristo), ibada alizofundisha waumini wa dini hizo alizieleza katika mahakama hivyo:lla neno hili naungama kwako ya kwamba kwa njia ile ambayo waiita uzushi, ndivyo ninavyomwabudu Mungu wa baba zetu, nikiyaamini yote yanayopatana na Torati na yaliyoandikwa katika vyuo vya manabii. (Matendo 24:14.) Kwa maana hiyo tuwaulize wafuasi wa Paulo kuwa wanamwabudu Mungu kwa njia ya uzushi kama Paulo au kwa njia ya mtume yupi; Maana bw. Canon anatuambia hivi: H a p o B w a n a Ye s u aliposulubiwa, ilidhaniwa dini ya Kikristo hapana budi itakoma mara moja. Yeye Kristo alikuwa hakuwaachia wanafunzi wake chuo chochote alichokiandika wala Imani (Creed) yoyote aliyoitengeneza, wala hakuwatengenezea m a t e n g e n e z o ya i b a d a , wala ada na kawaida zilizoaminiwa. Tena, siku ile aliposalitiwa yeye watu wote walimwacha wakakimbia (Matendo 26:56). N di yo ma a n a Pa u l o akaamua kutengeneza dini zake, na injili zake, na ndiyo maana nchi za Ulaya Magharibi na Mashariki zilifurahi sana kwa kuwa kila zinapotaka kutia utamaduni na imani zao katika Ukristo
hawasiti, kwa kuwa hakuna rejea ya mafundisho ya Yesu wanayoyaogopa kuwa watakosolewa kwayo. Hayo yanafafanuliwa vizuri na bw. Canon H. J. E. Butcher. Ukisoma utakuta kuwa kila aliyeitwa kiongozi wa dini ya Ukristo alifanya juhudi ya mbinu za kumfanya akubalike kwa mfalme, na kuunda aina ya sera za dini zitakazokubaliwa na mfalme, kwa kuwa ile dini iliyoanzishwa na Paulo pamoja na kuichanganya na imani ya wapagani wa Kirumi. Warumi walipomwua waliichakachua na kuwatesa na kuwaua wale waliojaribu kuiendeleza. Paulo alipoanzisha dini kule Antiokia alitahidi kuieneza Ulaya. Jarida la nchi za Biblia linatuonesha jinsi Paulo alivyoeneza Ukristo, alipoanzisha dini Antioch, alienda Seleucia, akaenda Cyprus, kwenye mji wa Salamis na mji wa Paphos, Pisidia Pammphilia katika mji wa Perga, Antioch, Iconium, Lystra na Derbe; akarudi Antioch alipoanzia safari na alipoanzishia Ukristo. Akaanza safari ya pili kutokea Antioch, akaenda Cilicicia mji wa Tarsua, akaenda mji wa Derbe, lystra, !conium, Antioch nchi ya Phrygia. Akaenda nchi ya Mysia mji wa Assos na wa Troas, akaenda Samothrace, Philippi, Thessalonica, Berea huko ni Macedonia; akaenda Athens, Corinth, akarudi Asia mji wa Ephesus, akateremka Rhodws mpaka Caesarwa, Samaria hadi Jerusalemu. Alipotaka kuwafunsisha Wayahudi wa Yerusalemu walishangaa, wakamkataa. Baada ya Wayahudi kumkataa Paulo na dini yake mpya, aliondoka Yerusalemu kwa safari ya kwenda Roma; baada ya Warumi kutosheka na kazi yake kama kawaida ya makafari, walimuwa kunako mwaka wa A.D. 67 / 70. Sasa mbali na huo uchakachuaji uliofanywa na wafalme wa Rumi baada ya kumuuwa Paulo Bw. Canon h. J. Butcher, anatuambia kuwa, A. D. 596 _ 604 kabla Mtume Muhammad hajapewa utume, Kanisa la Rumi lilijitukuza kwa kuifanya Ulaya nchi zote walizotawala kuwa giza katika maana halisi ya dini. Uk 75. kuzaliwa Mtume Muhammad mwaka wa 570 na kupewa utume mwaka 610 A.D. dini ya Amani kwa maana yakuwa mwenye kuifuata kwa matendo na sheria zake zitokazo kwa Allah S.W. Dini ambayo mwaka wa 33 wa kuishi kwake, mwaka wa 33 Yesu aliwausia wanafunzi wake kuwa ndiyo dini anayowaachia, pale alipowaambia hivi:Aman; nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapayo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiwe na woga. (Yohana 14:27). Msomaji ukipata Biblia ya lugha ya Kiarabu / Kiswahili maneno have kwa kiarabu ni hivi:- Salaama atruku lakum, nawapeni amani:- Salaamiya atwiykum:- Nawapeni amani yangu; .... Yohana 14:27. agano Jipya, Kiswahili / Kiarabu. Hivyo kukia mwaka wa A.D. 707 Uislamu uliondoa lile giza lililowekwa na Warumi ndani ya Wayunani.
16 AN-NUUR
16
AN-NUUR
RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012 RABBIUL AWWAL 1433, IJUMAA FEBRUARI 17 - 23, 2012
Wakati sisi tunaanza mwaka 2008, hali ilikuwa ni ya kusikitisha, lakini sasa Waislamu wanaelewa. Sasa Wazazi wanawatoa katika shule za Kikristo, kama St. Francis na zinginezo na kuwaleta huku, na sisi tunawapokea. Alisema Amir Hajji. Alisema, wengi wanaowatoa watoto wao huku huwaeleza kuwa wanahitaji mafunzo ya dini yao (Uislamu) na wanadai k u wa k u l e h a wa p a t i mafundisho ya imani yao zaidi ya imani ya Ukristo, wakihofia kuwapoteza kiimani. A l i s e m a , k wa s a s a shule hiyo inachukua wanafunzi mchanganyiko, ambapo kwa mujibu wa Bi. Khada, mpaka sasa wana wanafunzi Wakristo 9. Alisema, shule hiyo ipo katika Kata ya Mbugani, Mtaa wa Miemba, katika barabara ya Ulyankuru, ilihamia huko rasmi katika m a j e n g o ya k e m a p ya Januari 9, 2012, ikitokea katika Msikiti wa Ibadhi, uliopo jirani na stendi ya zamani ya mabasi. Alisema, pamoja na uchanga wa Shule hiyo baada kuhamia katika majeng o mapya, kwa muda mfupi imekuwa ni kimbilio la Waislamu
madarasa ya kuanzia na kufikia maamuzi mwaka huu Shule hiyo kuhamia huko ili kutanua huduma hiyo ya elimu, huku ujenzi ukiendelea, zaidi wanatarajia kuwa na hosteli kwa Shule ya awali na msingi. Alisema, katika kujizatiti zaidi katika kuinusuru jamii ya Kiislamu, kwa sasa wana eneo la ekari 100, maeneo ya Kilimatinde, kilomita zipatazo 5, kutoka katikati ya Mji. Lengo ni kujenga sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita, ambapo ujenzi wake upo mbioni.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, amesema kuwa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Afya
afya, pia imekuwa ni mdau mkubwa wa kuiasaidia Zanzibar katika sekta ya afya kwa kuwajengea uwezo Madaktari kwa kuweza kuwasaidia Inaendelea Uk. 12
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.